Tangazo

Pages

Sunday, August 28, 2011

BONDIA JAPHET KASEBA AJIFUA KUMKABILI MANENO OSWARD


Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akielekezwa jinsi ya kutupa masumbwi na Kocha wake, Sweet Kalulu wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi yake mwana nyamala ya kujiandaa kupambana na Maneno Osward mwezi ujao katikati ni bondia Kanda Kabongo

No comments:

Post a Comment