Tangazo

Pages

Friday, September 11, 2020

NGUMI KUPIGWA NOVEMBA 28 NEXT DOOR MASAKI

Bondia Imani Daidi Mapambano kushoto akituni shiana misuli na Japhert Kaseba Baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Novemba 28 utakaofanyika katika ukumbi wa Nextri Door Masaki katikati ni mratibu wa mpambano uho Amosi Nkondo 'Amoma'
Bondia Imani Daudi Mapambano kushoto akitunishiana misuli na Japhert Kaseba baada ya kusaini kuzipiga Novemba 28 Dar es salaam
Bondia Swalehe Mkalekwa kushoto na Ramadhani Shauli wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Novemba 28 katika ukumbi wa Next Door uliopo Masaki Dar es salaam
Mratibu wa mpambano wa masumbwi Amosi Nkondo 'Amoma' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Paul Kamata kushoto na Kanda Kabongo
Bondia Paul Kamata kushoto akitunishiana misuli na Kanda Kabongo baada ya kusaini mkataba