mmalawi John Massamba lilitakalofanyika ijumaa. Katika ukumbi wa Vijana Kinondoni upo pale pale si kama baadhi ya watu wanavyolipoti akizungumza na mwandishi wa habari hizi Rais wa ngumi za kulipwa Nchini PST Emanueli Mlundwa amesema Mmalawi huyo kafika na watapima uzito siku ya Alhamis katika Ukumbi wa Vijana Kinondoni Saa Nne asubui kabla ya mpambano wao utakaofanyika siku ya pili
Nae bondia kutoka malawi akizungumza kwa njia ya simu kutoka maeneo ya keko alipofikia amesema yupo tayali kwa mpambano na atahakikisha anamkalisha chini Miyayusho katika raundi ya sita tu bila kupoteza muda anajiamini kwa kuwa na rekodi nzuri ya mapambano 40 kapoteza 5 katika hayo kashinda kwa K.O, 6
Mpambano huo unausubiliwa sana kwa hamu na mashabiki wa mchezo wa masumbwi nchini kufuatia kuwa miyayusho ajacheza mda mrefu sana tangia mwaka jana alivyopambana na bondia Mbwana Matumla
Nae Miyayusho amesema atapambana kufa na kupona ili aweze kuweka rekodi yake vizuri na aweza kuwafuraisha watanzania waliomkosa kumuona mda mrefu akipambana ulingoni
Katika Mchezo huo kutakua na DVD Mpya kabisa za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja
na kutambua sheria zake mbalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha
wa mchezo huo mkoa wa kimichezo wa Ilala Rajabu Mhamila 'Super D' kwa
ajili ya kuwapa mambondia mbalimbali mbinu za mchezo na mashabiki kujua sheria za masumbwi.Ndani yake wakiwemo mabondia Floyd Mywether, Manny Paquaio, Amiri
Khani, Mohamedi Ali, Mike Tayson David Haye na wengine ambapo kutakuwa na matukio ya mazoezi yao katika mataifa yao ikumbukwe kuwa ni mabingwa wa dunia. na kutakuwa na mapambano makubwa
No comments:
Post a Comment