Tangazo

Pages

Tuesday, September 18, 2012

Ufunguzi wa mashindano ya ubingwa wa taifa wa ndondi leo uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es salaam


 Mpambano wa ufunguzi wa kilo 56 kati ya Bashiri Salimu wa Arusha (shoto) na Omari Mrisho wa Dodoma, ambapo bondi wa Arusha alishinda katika hatua hiyo ya mtoano wa mashindano ya ubingwa wa Taifa wa ndondi leo uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es salaam
 Mgeni rasmi ambaye ni mjumbe wa Baraza la Michezo la Taifa Kamanda Jamali Rwambow  katika ufunguzi wa mashindano ya ubingwa wa Taifa wa ndondi leo uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es salaam akisalimisana na mabondia zaidi ya 100 toka mikoa mbalimbali
 Kamanda jamali Rwambow akisalimiana na waamuzi
 Kamanda jamali Rwambow akisalimiana na waamuzi
 Kamanda jamali Rwambow akivishwa glovu ili kuzindua rasmi mashindano hayo
 Kamanda Jamali Rwambow akizindua michuano
 Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ndondi Tanzania (TBF) Makore Mashanga akiongea
 Baadhi ya mashabiki
 watazamaji
 Meza kuu
 Mpambano wa ufunguzi wa kilo 56 kati ya Bashiri Salimu wa Arusha (shoto) na Omari Mrisho wa Dodoma, ambapo bondi wa Arusha alishinda katika hatua hiyo ya mtoano wa mashindano ya ubingwa wa Taifa wa ndondi leo uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es salaam
 Super D Super coach Rajabu Mhamila (wa pili kushoto) na kikosi chake cha mkoa wa Ilala



Chukua jab hiyo



No comments:

Post a Comment