Tangazo

Pages

Saturday, October 13, 2012

JUA MAANA YA NEMBO YA MNYAMA SIMBA KWENYE MIKANDA YA UBINGWA WA ECAPBA


EAST & CENTRAL AFRICA PROFESSIONAL BOXING ASSOCIATION

Technology House 35-38 Ghalla Road, P.O BOX 8307 Moshi, Tanzania

Tel / Fax: 255-54743 E-mail: ECAPBA@YAHOO.COM
TAARIFA MAALUM
13 OCTOBA, 2012
JUA MAANA YA NEMBO YA MNYAMA SIMBA KWENYE MIKANDA YA UBINGWA WA ECAPBA
Nembo ya mnyama Simba hapo juu kwenye ubingwa wa Afrika ya Mashariki na Kati ina maana ya ushupavu, uvumilivu, ukali, na hatari ya mnyama simba mwenyewe alivyo.
Nembo hii ilikubaliwa iwe ni alama ya kielelezo cha ubingwa wa ECAPBA ili iweze kuonyesha kuwa mabingwa wote wa ECAPBA wana viwango vinavyokubalika. Kesho ubingwa wa kati (Middleweight) katia ya bondia Mtanzania Thomas Mashali na Sebyala Med wa Uganda utafanyika katika ukumbi wa Friends Corner jijini Dar-Es-Salaam.
Nchi wanachama wa ECAPBA ni pamoja na Tanzania, Uganda, Kenya, Mawali, Rwanda, Burundi, Sudan, Ethiopia, Zambia na DRC Congo.
Med  na Mashali
wakipozi na Rais wa ECAPBA OnesmoNgowi

No comments:

Post a Comment