Tangazo

Pages

Sunday, October 14, 2012

BONDIA THOMAS MASHALI AMTWANGA MEDY SEBYALA WA UGANDA KWA POINT

Mchezaji wa Mpira wa Timu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania Juma Nyoso kulia akiwa wakiomba Duwa kwa ajili ya bondia Thomas Mashali katikati wa pili kulia ni msanii Maarufu wa bongo Fleva Josephe Haule Pr. J ambapo walikwenda kumpa kampani bondia huyo na kufanikisha ushindi wake na kumuenzi muhasisi wa taifa hili baba wa taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
bondia Thomas Mashali akiwa na mikanda yake ya ubingwa wa Tanzania pamoja na wa Afrika Mashariki na Kati
Rais wa TPBO Yasini Abdallah akisalimiana na Prof.J kwenye kona ya Mashali
Mchezaji wa Mpira wa Timu ya Simba na Timu ya Taifa ya Tanzania Juma Nyoso kulia akiwa amebeba bendera ya Taifa wakati ukipigwa wimbo wa taifa kwa ajili ya bondia Thomas Mashali katikati wa pili kulia ni msanii Maarufu wa bongo Fleva Josephe Haule Pr. J ambapo walikwenda kumpa kampani bondio huyo na kufanikisha ushindi wake na kumuenzi muhasisi wa taifa hili baba wa taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya Viongozi pamoja na mgeni rasmi wakisimama kwa ajili ya wimbo wa tafa kabla ya mpambano
BONDIA THOMAS MASHALI kushoto akioneshana uwezo wa kutupiana masumbwi na  MEDY SEBYALA wa Uganda wakati wa mpambano wao uliofanyika kwa ajili ya kumbukumbu ya baba wa taifa Mashali alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Medy Sebyala akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na bondia Thomas Mashali wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati Mashali alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

BONDIA THOMAS MASHALI kushoto akioneshana uwezo wa kutupiana masumbwi na  MEDY SEBYALA wa Uganda wakati wa mpambano wao uliofanyika kwa ajili ya kumbukumbu ya baba wa taifa Mashali alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Medy Sebyala akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na bondia Thomas Mashali wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati Mashali alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Charles Kenyela kushoto akiwa amekinga ngumi huku akiwa na furahaa baada ya bondia Thomas Mashali kuibuka na ubigwa kwa kumpiga bondia kutoka Uganda wakati wa maazimisho ya kumbukumbu ya baba wa taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Thomasi Mashali akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa Afrika Mashaliki katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com



Mbunge wa Kinondoni Iddy Azani akiwa katika picha na Bondia Thomas Mashali baada ya kuvishwa ubingwa wa Afrika Mashariki picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Medy Sebyala akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na bondia Thomas Mashali wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati Mashali alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment