Tangazo

Pages

Thursday, February 27, 2014

Miyeyusho ‘alia’ kuandamwa na madeni



Bondia huyo amebainisha hadi jana mchana tayari alikuwa ametumia Sh2 milioni kwa ajili ya maandalizi ya pambano hilo la uzani wa super bantam huku pambano likihirishwa zaidi ya mara mbili.
Dar es Salaam. Bondia Francis Miyeyusho amesema kuahirishwa mara kwa mara kwa pambano lake na Viktor Chernous wa Ukrane kumemuingiza katika deni na kocha wake.
Bondia huyo amebainisha hadi jana mchana tayari alikuwa ametumia Sh2 milioni kwa ajili ya maandalizi ya pambano hilo la uzani wa super bantam huku pambano likihirishwa zaidi ya mara mbili.
“Hadi sasa sijui kama pambano litakuwepo hiyo Jumamosi au la kwani nimekuwa nikijifua, lakini sijaambiwa chochote kuhusu kuwepo kwa pambano hilo,” alisema Miyeyusho.
Alisema kuahirishwa mara kwa mara kwa pambano hilo kumemuingiza katika gharama kubwa za maandalizi yake.
Hadi jana mchana Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBF) halikuwa limetoa kibari cha pambano hilo ambapo rais wa TPBF, Chatta Michael alisema wanasubiri agizo la Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ili kutoa kibari cha pambano hilo.
Kwa mujibu wa promota wa pambano hilo, Jay Msangi huenda pambano hilo likasogezwa tena mbele endapo hakutapatikana kwa mwafaka kati yake na BMT ambayo ilimpa sharti la kulipa madeni yote ambayo anadaiwa licha ya kueleza tayari ametimiza masharti hayo na BMT bado inaendelea na msimamo wa kumfungia.

Wednesday, February 26, 2014

MAYWETHER KUPAMBANA NA MAIDANA MEY 3 MGM USA

Mayweather Chooses Maidana
  1. Moja ya picha za kutengeneza alizoziweka bondia Floyd Mayweather Jr kulia akimwazibu
    Marcos Rene Maidana siku itakapo fika mpambano wao ambao umepagwa kufanyika mey 3
  1. BONDIA Floyd Mayweather Jr amesaini mkataba wa makubaliano wa kupambana na bondia Marcos Rene Maidana  Mpambano utakaofanyika siku ya May 3 katika ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena, Las Vegas, Nevada, USA 

  2. Mpambano huo uliokuwa ukigombaniwa na  mabondia wawili akiwemo Amir Khani ambaye kula zake azijatosha kupambana na Floyd Mayweather Jr aliye omba mashabiki wake wampigie kula nani wa kupigana nae ambapo nafasi imemwangukia Maidana

Sunday, February 23, 2014

NGUMI ZAPIGWA MBAGALA

BONDIA Mussa Shuza kushoto akioneshana umwamba na Dackson Kawiani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Amenya Pub mbagala rangi tatu Kawiani alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Ibrahimu Ahmed kushoto na Mohamed Kashinde wakioneshana ubabe wakati wa mpambano wao uliofanyika mbagala Dar es salaam Kashinde alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Hassani Kidebe kushoto akioneshana ufundi wa kutupa makonde na Shabani Mtengela wakati wa mpambano wao Mtengela alishinda kwa point mpambano huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Friday, February 21, 2014

KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI

Bondia Kalama Nyilawila katikati akitia saini ya kucheza pambano siku ya mei mosi atacheza na Thomasi Mashali au Japhert Kaseba inategemea na mshindi wa mechi hiyo ya March 29 itakayofanyika PTA Sabasaba kulia ni Alli Mwazoa na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi' Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Promota wa ngumi nchini Ali Mwazoa akipeana mkono na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi baada ya kumsainisha bondia Kalama Nyilawila katikati anaetarajia kuzipiga mei mosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Promota wa ngumi nchini Ali Mwazoa akipeana mkono na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ostadhi baada ya kumsainisha bondia Kalama Nyilawila katikati anaetarajia kuzipiga mei mosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Na Mwandishi Wetu

Bondia Kalama Nyilawila Ameingia mkataba wa makubaliano na promota Ali Mwazoa wa Tanga kwa ajili ya mpambano wa Mei Mosi mwaka huu ambapo  anasubili mshindi wa mpambano kati ya Thomasi Mashali na Japhert Kaseba ambao watazichapa March 29 katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atacheza na

Kalama Nyilawila siku ya  mei mosi akizungumza baada ya kusaini mkataba huo bondia Kalama Nyilawila alijitapa kwa kusema iwe Mashali awe Kaseba yoyote atakae kutana nae ato kuwa na masiara nae atampiga kipigo cha mbwa mwizi kwani nafasi hiyo alikuwa anaitafuta siku nyingi baada ya kupoteza huwezo wake katika masumbwi hivyo sasa wakae mbali na mimi kwani nakuja kwa nguvu mpya kabisa akisema atakuwa hatari kama 'Mbeya City' timu ambayo inatoka mkoani kwao na kufanya maajabu kwa kuitawala ligi kuu ya Tanzania bara ndivyo na mimi nitakavyofanya

Kalama katika harakati zake za kuhakikisha anarudi katika chati kama zamani mechi yake ya mwisho katika kuukaribisha mwaka 2014 alimsambalatisha bondia Ibrahimu Maokola bila huruma kwa kumpiga K,o ya raundi ya pili mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Msasani klabu

Nae promota wa mpambano huo Mwazoa amesema kila kitu kinaendelea vizuri ikiwemo mapambano ya utangulizi yenye mabondia bora wanaotamba kwa sasa ambao wapo kwenye kiwango cha ali ya juu kwa kuwa mwaka huu ni wa masumbwi nchini Tanzania nimeanza na nitaendelea kusapoti na kupromot mchezo wa ngumi popote nchini

akizungumza kwa niaba ya chama kilichopewa dhamana ya kusimamia mchezo huo wa mei mosi Rais wa TPBO Yassini Abdallah 'Ostadhi' amesema watanzania wana bahati sana kwa kujitokeza promota mwenye uchu wa maendeleo kwa mabondia kwana mabondia wote wame saini mkataba na kupewa posho ya kufanyia mazoezi isipokuwa bondia mmoja tu kati ya watakaocheza march 29 ni Kaseba au Mashali jibu ndio tunasubili siku hiyo nani zaidi na atakaepata nafasi ya kuchapana na Kalama

Thursday, February 20, 2014

MABONDIA WA TIMU YA TAIFA WATAJWA BILA WAKONGWE

SHIRIKISHO la mchezo wa ngumi za ridhaa limetaja majina ya mabondia KUMI na SABA watakaounda kikosi cha timu ya taifa cha ngumi za ridhaa.

Msemaji wa shirikisho la mchezo, SALUM VIDUKA katika majina hayo hakuna mabondia wakongwe .
Baadhi ya mabondia wakongwe ambao hawakuitwa ni SELEMAN KIDUNDA, EMILIAN PATRICK, GERVAS ROGASIAN ambaye aling`ara katika tuzo za ngumi za ridhaa za mwaka huu na JOSEPH MARTIN.

Mabondia hao hawakuitwa katika kikosi hicho kutokana na kutoshiriki kwenye mashindano ya kitaifa ya kumuezi hayati NELSON MANDELA.

Tuesday, February 18, 2014

NGUMI KUAMIA KISARAWE APRIL 26

Bondia Mbaruku Heri kushoto akimkabidhi barua ya maombi ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi katika Wilaya ya Kisarawe Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba
ambapo imepagwa April 26 kutakuwa na ngumi za wazi kwa ajili ya kuhamasisha mchezo huo uliopotea wilayani humo wengine wa pili kushoto ni Masudi Bakari na Saidi Chaku picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba kushoto akitaniana na Masudi Bakari mara baada ya kuletewa barua kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa ngumi Wilayani humo Jana ambapo imepagwa April 26 kutakuwa na ngumi za wazi kwa ajili ya kuhamasisha mchezo huo uliopotea wilayani humo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba
Bondia Mbaruku Heri kushoto akimvisha gloves Mwenyekiti wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba wengine kulia ni Masudi Bakari na Said Chaku
mara baada ya kuletewa barua kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa ngumi Wilayani humo Jana ambapo imepagwa April 26 kutakuwa na ngumi za wazi kwa ajili ya kuhamasisha mchezo huo uliopotea wilayani humo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Na Mwandishi Wetu

MWENYEKITI  wa halimashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adam Ng'imba amepokea maombi ya kuhamasishwa mchezo wa masumbwi katika halimashahuri hiyo baada ya mchezo huo kufutuka kwa kipindi hiki

Maombi hayo yaliyopelekwa na kamati ya kufufua mchezo wa masumbwi Kisarawe ikiongozwa na Bondia Mbaruku heri, Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa ngumi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' pamoja na wadau wengine wa masumbwi nchini Saidi Chaku na Masudi Bakari ambao wamepereka barua hiyo kwa ajili ya kurudisha hamasa ya mchezo wa masumbwi

akizungumza mara baada ya kusoma maombi yaliyopo katika barua hiyo alijibu kwa kusema nimepokea kwa moyo mmoja maombi haya na ngumi zitapigwa kama zamani nakumbuka mabondia wengi akiwemo Habibu Kinyogoli 'Masta' ametokea hukuhuku Kisarawe na mkumbuke kuwa bondia wa ngumi za ridhaa anaetamba kwa sasa na aliyetuwakilisha katika mashindano ya Olimpic yaliyomalizika hivi karibuni Selemani Kidunda naye anatoka hapa hapa katika wilaya ya Kisarawe hivyo tunaweza  kuhakikisha ngumi zinarudia enzi zake

na naku aididi ngumi hizi zitapigwa katika viwanja vya wazi ili kila mtu ashudie mchezo wa ngumi unavyorudi upya katika wilaya hii naomba wapenzi mashabiki wa mchezo wa masumbwi wakae mkao wa kula siku ya April 26 ngumi zitapigwa katika uwanja wa bomani ili kila mtu ajionee mwenyewe

aliongeza kwa kusema ataendelea kutafuta wafadhili ili walete hamasa ya mchezo wa ngumi katika wilaya hiyo ambayo imejinyakulia umaarufu mkubwa mpaka sasa kupitia mchezo wa ngumi nita akikisha tunanunua vifaa vya mchezo ili vijana wapate kuendelea kushiriki mazoezi na atimae waje kurudia enzi za Kinyogoli

nae mkuu wa msafara wa kuhamasisha mchezo wa ngumi katika wilaya  hiyo, Mbaruku Heri amesema atakikisha siku hiyo analeta vijana wengi wakali wanaotamba katika ulimwengu wa masumbwi kwa sasa kama vile Ibrahimu Class 'King Class Mawe',Hamza Mchanjo,Thobias Adaut, Husein Pendeza,Said Uwezo,Adamu Ngange,Ambokile Chusa,Georgr Dimoso,Twalibu Mchanjo na wengine wengi wanaofanya vizuri katika ulimwengu wa masumbwi kwa sasa   


Sunday, February 16, 2014

BONDIA TWALIBU MCHANJO AMSAMBALATISHA ELIYA NGOZI KWA POINT

Bondia Twalibu Mchanjo kulia akimpiga mpinzani wake Eliya Ngozi, konde zito ambalo lilimpeleka mpaka sakafuni na kuhesabiwa hata hivyo alirudi uringoni kupambana Mchanjo alishinda kwa pooint picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Twalibu Mchanjo kulia akimpiga mpinzani wake Eliya Ngozi, konde wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki iliyopita, Mchanjo alishinda kwa pooint picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Twalibu Mchanjo kulia akiamuliwa na refarii Saidi Chaku aende kona nyeupe ili aenderee kumuhesabia mpinzani wake Eliya Ngozi, baada ya kumtandika konde na kwenda sakafuni

Bondia Twalibu Mchanjo

Bondia Twalibu Mchanjo akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake
Bondia Lulu Kayage kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fadhira Adam wakati wa mpambano wao uliofasnyika wakati wa sikukuu ya wapendanao katika ukumbi wa Mpo Afrika Tandika Dervis Corne Dar es salaa mpambano huo walitoka Droo PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Lulu Kayage kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fadhira Adam wakati wa mpambano wao uliofasnyika wakati wa sikukuu ya wapendanao katika ukumbi wa Mpo Afrika Tandika Dervis Corne Dar es salaa mpambano huo walitoka Droo PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Adam Yahaya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Mohamed Kikolekwa wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika mwishoni mwa wiki iliyopita Yahaya alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Mohamed Kikolekwa kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Adam Yahaya wakati wa mpambano wao uliofanyika Chanika kwa mama Rajabu mwishoni mwa wiki iliyopita Yahaya alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Fadhili Awadhi kushoto akipambana na Mfaume Jumanne wakati wa mpambano wao Awadhi alishinda kwa K,O ya raundi ya pili ya mpanmbano huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Fadhili Awadhi akiwa amemgalagaza chini Mfaume jumanne

Friday, February 14, 2014

KASEBA MASHALI WACHIMBIANA MKWALA

Bondia Japhert Kaseba kushoto na Thomas Mashali wakitunishiana misuli baada ya kutambiana mbele ya mashabiki kuhusu kuwepo kwa mpambano wao unaotafutiwa Promota kwa ajili ya kuandaa gem hiyo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Tuesday, February 11, 2014

SUPER D AIPIGA TAFU GYM YA UHURU KARIAKOO VIFAA VYA NGUMI

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akikabizi vifaa vya mchezo wa masumbwi Gloves pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo kwa Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo  Mohamed Chipota kwa ajili ya kuamasisha mchezo  wa masumbwi katika eneo ilo na kuwapa moyo wa kuendelea na mazoezi wanaoshudia wengine wa pili kushoto ni Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago na Mussa Sindano Vifaa hivyo pamoja na Dvd vina thamani ya shilingi laki mbili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na baazi ya mabondia wanaofanya mazoezi katika
GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo kutoka kushoto ni
Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago ,
Mussa Sindano Vifaa na kocha wa GYM hiyo
Mohamed Chipota
picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akikabizi vifaa vya mchezo wa masumbwi Gloves pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo kwa Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo  Mohamed Chipota kwa ajili ya kuamasisha mchezo  wa masumbwi katika eneo ilo na kuwapa moyo wa kuendelea na mazoezi wanaoshudia wengine wa pili kushoto ni Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago na Mussa Sindano Vifaa hivyo pamoja na Dvd vina thamani ya shilingi laki mbili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa katika picha ya pamoja  na baadhi ya mabondia wanaofanya mazoezi katika
GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo baada ya kuwakabizi vifaa vya mchezo huo kutoka kushoto ni
Atanasi kibwe,Raymond Mbwago,kocha wa GYM hiyo
Mohamed Chipota,Mussa Sindano na
Omari Bai,  ,
 Vifaa na
picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ameipiga tafu 
GYM ya mchezo wa ngumi ya  Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo Dar es salaam kwa kuwapati vifaa vya mchezo huo

akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo Super D alisema amevutiwa na uanzishwaji wa GYM hiyo ambayo ina uwezo mkubwa wa kuwatoa mabondia wazuri kipindi kijacho

aliongeza kwa kusema kuwa unajua hizi GYM za mtaani zipo chache sana na wana uhaba wa vifaa vya kufundishia hivyo mimi nimeamua kujitolea gloves mikono mitatu kwa kuanzia ili  wapate moyo wa kuendelea na mazoezi pamoja na DVD za mafunzo mana ndio timu ambazo tunazitegemea kwa siku za usoni kutuletea mabondia wakali watakaoweza kutuletea medali na kutupa sifa nchi hii

Akizungumza mara baada ya kupokea vifaa hivyo  Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo  Mohamed Chipota amesema vifaa hivi pamoja na DVD za mafunzo ya ngumi zimekuja wakati muhafaka kwa kuwa tulikuwa na huaba wa vifaa kama hivi

hivyo tunaomba wadau mbalimbali wajitokeze kutupa sapoti kama alivyofanya Super D yeye ni kocha wa Mkoa wa Kimichezo Ilala sasa hapa kama amewekeza mabondia wa ilala sasa watatokea hapa kwa siku za usoni

tumeanza hivi karibuni lakini mategemeo yangu ni kuibua vipaji vyipya kabisa vya mchezo wa masumbwi nchini alisema Chipota 

Super D ambaye ujihusisha na uhuzaji wa DVD za mafunzo ya ngumi pamoja na vifaa vya mchezo huo ikiwemo, Gloves,Gum shit, Clip bandeji dambel,Protecta,bukta, singrend na vifaa vyote vya mchezo wa masumbwi

Sunday, February 9, 2014

MASHINDANO YA NGUMI KATIKA GYM YA NDAME


Bondia Kassimu Gamboo kushoto akimtupia makonde bondia Omari Tambwe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese midizini Kilimahewa Dar es salaam Gamboo alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza katika mchezo huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Faraji Sayuni kushoto akipambana na Fredy Sayuni wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Fredy alisjhishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Haji Gamba kushoto akipambana na Julius Kisarawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Kisarawe alisjhishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ibrahimu Tamba kushoto akipambana na Baraka Ali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Tamba alishishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Saturday, February 8, 2014

SUPER D AJIVUNIA ZIARA YAKE YA MWAKA JANA


Na Mwandishi Wetu

Rajabu Mhamila Super D'
KOCHA wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D' anajivunia mafanikio yake katika  mchezo
wa ngumi nchini baada ya mwanzoni mwa mwaka jana 2013 kufanya ziara ya mikoa 16 ya Tanzania bara

Aliyasema hayo wakati wa kufunga mashindano ya mchezo wa ngumi  yanayokwenda kwa jina la Nelson Mandela OpenChampion ship 'Unajua mimi mwaka jana nilifanya ziara ya kuamasisha mchezo wa masumbwi nchini nikiwa na lengo moja tu la ngumi zienee Tanzania nzima sasa naisi kazi niliyofanya imefanikiwa kutokana na mashindano haya kuja kushiliki watu wengi wa mikoani'

Super D ambaye katika kufuraishwa kwake kwa vijana wengi waliojitokeza mikoani kuja kushiliki alitoa DVD za Mafunzo ya mchezo wa masumbwi nchini kwa kila bondia aliyeshiliki kwa ajili ya kwenda kujifunza mbinu mbalimbali

pamoja na baadhi yao kuwapatia flana zenye nembo yake kama ishala ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi ambazo amebuni mwenyewe zikiwa na mcholo wa  Glove pamoja na mahandishi yanayosomeka Super D Boxing Coach

aliongeza kwa kusema unajua mikoani kuna vipaji vingi sana hata hivyo bado awajawezeshwa kwa kuwa kwanza upatikanaji wa vifaa vya kufundishia ni tabu sana kwa watu wa mikoani hivyo wakiwezeshwa au wadau mbalimbali wakijitokeza kuwekeza kwenye mchezo huu unaweza ukapanda chati nchini
Super D ambaye anajishughulisha na uhuzaji wa vifaa vya mchezo huo amekuwa kiungo muhimu katika upatikanaji wa vifaa hivyo kwa mabondia na makocha kwa wepesi wa hali ya juu na kuufanya mchezo wa ngumi uzidi kusonga mbele kila kukicha nchini Tanzania


--
Super D Boxing Coach
Email.superdboxingcoach@gmail.com
www.burudan.blogspot.com
www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Mob;+255787 406938
        +255774406938
        Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania

MASHINDANO YA NGUMI YA NELSONI MANDELA OPEN CHAMPIONSHIP YAMALIZIKA KAWE


Bondia Rudia Mashala kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ratifa Khalidi wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Open Champion Ship yaliyo malizika katika viwanja vya Kawe Dar es salaam Ratifa alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ezira Paur wa Kigoma akipambana na Hafidhi Kassimu wa Ngome wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Open CHampion Ship yaliyomalizika kawe Dar es salaam Paur alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Baadhi ya watu waliofulika kuangalia michuano hiyo

Meya wa Kinondoni akizungumza wakati wa kufunga mashindano hayo

Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis katikati akiwa na mabondia wa kike waliopigana na kunyakuwa zawadi mbalimbali

Meya wa Manspaa ya Kinondoni Yussuph Mwenda akimkabizi  Mwenyekiti wa timu ya Mkoa wa Kigoma  Eddie Kikwesha  baada ya kuibuka timu yenye Nidhamu katika mchezo wa masumbwi katikati ni Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis

Katika picha ya pamoja
Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare akimzawadia kocha wa timu ya kawe baada ya kuibuka washindi wa tatu katika mashindano hayo

THE FIRST IBF FEMALE WORLD TITLE FOR AFRICA - HELEN JOSEPH READY TO LOCK HORNS WITH SANTANA IN THE "RUMBLE OF THE BEAUTIES"

FOR THE IMMEDIATE PRESS RELEASES                 IBF AFRICA & MIDEAST: onesmongowi@gmail.com
INTERNATIONAL BOXING FEDERATION AFRICA, MIDDLE EAST & PERSIAN GULF

ACCRA, REPUBLIC OF GHANA, FEB. 08, 2014: The Ghanaian GoldenMike Boxing Promotions Syndicate managed by Michael Tetteh a.k.a "Muttu"  has made history that will be written in golden ink for many years to come. Upon winning the first bid for the African continent to host the First Female IBF World Title, GoldenMike Boxing Promotion Syndicate is on the whirlwind to setup one of the major tournament Ghana and in deed Africa has ever staged.


This come on the wheels of its victory for the IBF Female featherweight championship of the world between Ghanaian based Nigerian Princess of Africa boxing Helen  Joseph against IBF Female Featherweight champion Dahianna Santana from the city of San Domingo in the the Dominican Republic.


The GoldenMike Bixing Promotions Syndicate a subsidiary of Goldenconcept Busjness Conglomerant has scheduled the tournament to take place April 25, 2014 at the Accra Sports Stadium. This is the same place where Helen Joseph annihilated Marriana Gulays from Hungary to snatch the IBF Feameke Fetherweight Intercont8ennatkl Title last year.
The weigh-in will take place April 24, 2014 at the famous Press Center.


The Princess of African Boxing Helen Joseph is in the hands of Kofi Daku-Rickets who is regarded as one of the greatest professional boxing trainers in Ghana today. Kofi Daku-Rickets has bigger plans for Helen as she aim to the great heights.

The derby to be fought on 10 rounds of 2 minutes each has been heralded as one of the greatest news that Africa has every received in recent years. For a boxer to win the world title under IBF is a golden opportunity for those who would climb that stairs.
Helen, a boxer who has gone through the IBF Africa & Middle East's progression path is young, beautiful, calm and has the serenity to charm anyone around her. She is typical African Princess the like of Princess Cleopatra who harbors great ambitions for her and her continent of Africa.
Nigeria
home to the Princess of African boxing Helen Joseph
is known for producing the first world boxing champion from Africa. Dick Tiger, the man who sent fear shivers to many of his opponents across the Atlantic
ocean
is the Africa's pride whose history and achievements in boxing are written by the golden ink.

Africa
continent
is known as home and bedrock for boxing because many years ago, boxing started in Abyssinia now Ethiopia and was used to measure manhood and heroes. That Africa has been home to several world class boxing champions; it is not a surprise at all.


Helen Joseph (Left) Pummeling Dahianna Santana (right)

In the 21st century boxing cannot be written without the inclusion of female boxing. Women have brought feminine favor to boxing which was missing before. Nowadays boxing is more attractive than during the days of bareknuckle and all this thanks to the inclusion of women to the sweet science which makes it sweeter!

We have already read stories of the meticulous rise and dominance of Dick Tiger, Azumah Nelson, Welcome Ncita, Harry Simon and other boys in the ring but, it is time now we read about the role of women in the sport of professional boxing and most particularly, the story of Helen Joseph, known as "The Princess of boxing in Africa" or "Iron Lady" from Nigeria.


Helen Joseph is a beautiful young lady who found her calling to boxing early on when she was still a toddler. She wanted to be a nurse so that she could attend to the needs of others but then, there was desires of being a protector to others and particularly women. Helen could not stand when she saw other girls from South West Nigeria being mistreated. For that she swore that one day she would do something about it.

Her desires to help and protect other women drove to boxing and as fate would have it, she climbed the ladders so quick that she would realize that time was running so fast with her.

He
r
first duty was in January 10, 2004 when she met Margaret Ibiam in Lagos, Nigeria and did a hurried work by KOed her in the 1st round. The bout became an eye opener to the Nigerian boxing promoters that the champion has arrived.

Three months later on 03, Mrch 2004, she met and disposed Ndidi Okafor in Lagos, Nigeria only 2 rounds of their 4 rounder bout.

The Princess of African Boxing Helen Joseph (Right) Zeroing Dahianna Santana (Left)

Victim number three was Esther Haruna when Helen did her in the third round of their 4 rounder bouts on June 16, 2004 before she met and mauled  Toyin Omorayi by points on 29th January 2005.

Helen continued her meticulous rise in professional boxing and this was apparent when she met Busola Obi on 25 June 2005 by stopping her in the 4th round of their 6 rounder bout in Lagos Nigeria before travelling to Ibadan, Nigeria on October 15, 2005 only to knock out Mariam Joseph in 2nd round of their 6 rounder bout.

Helen's first foreign bout came calling in June 03rd, 2006 when she travelled to the Capital City of Lome in Togo and met Yarkor Chavez Annan for the 4 rounder bout which ended in Helen's favor by points.

Her whirlwind tour of West African took her to Burkina Faso in August 05, 2006 where she met Kahide Kazeem at the Maison du Peuple, Ouagadougou, Burkina Faso and outpointed her in their 6 rounder bout.

The Burkinabe boxing stakeholders demanded that she went back to the country of the Stallion again to showcase her prowess and she did so in July 28, 2007 when to meet Ameley Turkson at the same venue the Maison du Peuple, Ouagadougou, Burkina Faso. Ameley Turkson would lose the fight on points to Helen in their 6 rounder bout.

Time now to the Southern African Hemisphere when Helen calling saw her putting camp in Lusaka, Zambia to meet their national pride Mable Mulenga for the minor WIBF Intercontinental Bantamweight Title at the famous Nationalist Stadium, Lusaka, Zambia. Mable Mulenga could not stand Helen onslaught and she lost on points in their 10 rounder duel.

Helen next outing took her to the Rainbow nation of South Africa in the city of Igoli (JoBurg) when she met and lost controversially on points to Unathi Myekeni in their minor World Boxing Foundation International Female featherweight title.

Namely Emilia of Ghana had to take all of Helen's fury in September 23, 2011 at the Prison's Canteen, Accra, Ghana when she was TKOed in round 6 of their 6 rounder bout.

The Princess of African Boxing Helen Joseph (Left) Santana (Right)


Helen's other controversial bout in the Rainbow nation and in the same Igoli city of JoBurg came in March 24, 2012 when she met Unathi Myekeni at the Carnival City Casino, Brakpan, Gauteng, South Africa and the fight was declared a draw to the amazement of all the attending boxing stakeholders.

But, the world's top boxing body the IBF saw her ability and gave her a shot at its world featherweight title against the title holder Dahiana Santana of Dominican Republic. Helen's trip to The Dominican Republic was rescheduled twice because of the visa problems and her team led by her promoter Henry Manly-Spain, the CEO of GoldenConcept Business Group that owns GoldenMike Boxing Promotion Syndicate of Accra, Ghana.

In the end Helen arrived in The Dominican Republic after traveling long way from Ghana, to Spain, Brazil and then Dominican Republic. She has no time to rest and on arrival she was whisked to the weigh-in to face her nemesis Santana who was fighting on her home turf.

The fight was held at the Dominican Fiesta Hotel & Casino, Santo Domingo, Dominican Republic in December 17, 2012 under the supervision of the IBF Chairman of ratings Committee Anibal Miremontes. The fight saw both boxers kissing the carpet and at the of it Santana came better of the two and retained her title.

The IBF rewarded Helen's courage with the I/C Featherweight title and in May 03, 2013 she had to show the boxing fraternity the type of the boxer she was when she met the stubborn Hungarian Iron Lady Marianna Gulyas and sent her packing in the shortest fight of the year  0:28 second in the first round.

The win and her IBF I/C Featherweight title on hand enabled Helen to retain her number one contender to the Featherweight world title.


The Princess of Africa Boxing Helen Joseph with Onesmo Ngowi, IBF Africa & Mideast President (Left) and her trainer Kofi Daku-Ricketts (Right)  after winning the IBF Inter Continental Title last year

Africa is excited with the news of
Helen Joseph stab at the
world title and many boxing fans across the continent are planning to travel to Ghana to watch the awesome fight.

Africa's hopes are highly invested on Helen Joseph, the "Princess of African Boxing" to bring back the honors that her predecessors Dick Tiger, Azumah Nelson, Welcome Ncita, Harry Simon and others brought to Africa some years ago.

They call it Africa. We call it HOME