Tangazo

Pages

Saturday, April 30, 2016

MABONDIA KUTOKA ZANZIBA WASAINI KUZIPIKA KATIKA 'USIKU WA MAHAVY WEIGHT'

Bondia wa uzito wa juu nchini kutoka Zanzibar Ashiraf Selemani katikati akitia saini mkataba wa kuzichapa na bondia kutoka Thailand June 4 mpambano utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa kulia ni bondia Amour Mzungu nae kutoka Zanzibar akushudia kulia ni Anton Rutta katibu mkuu wa shilikisho la ngumi za kulipwa nchini PST akishudia Picha na SUPER D BOXING NEWS

ASHIRAF AKISAINI MKATABA WA KUZIPIGA JUNI
Bondia Amnour Mzungu akisaini mkataba wa kuzipiga na Japhert Kaseba kugombania ubingwa wa U.B.O Afrika June 6





BONDIA AMOR MZUNGU
BONDIA AMOR MZUNGU

Friday, April 22, 2016

MABONDIA WA TANZANIA WATAMBA KUWASAMBALATISHA WAGENI

Mabondia watakaocheza katika mpambano wa kimataifa mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kutoka kushoto ni  Abdallah Pazi  Fransic Miyeyusho, Thomas Mashali, Lulu Kayage na Swalehe Mkalekwa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia watakaocheza katika mpambano wa kimataifa mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa wakionesha mshikamano wao wakati wa kutambulisha mpmbano uho kutoka kushoto ni  Abdallah Pazi  Fransic Miyeyusho, Thomas Mashali, Lulu Kayage na Swalehe Mkalekwa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Antony Ruta akizungumza na wanahabari

BONDIA THOMAS MASHALI AKIZUNUMZIA MPAMBANO WAKE

LULU KAYAGE AKIONGEA KUHUSU MPAMBANO WAKE


Mabondia watakaocheza katika mpambano wa kimataifa mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kutoka kushoto ni  Abdallah Pazi  Fransic Miyeyusho, Thomas Mashali, Lulu Kayage na Swalehe Mkalekwa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia watakaocheza katika mpambano wa kimataifa mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kutoka kushoto ni  Abdallah Pazi  Fransic Miyeyusho, Thomas Mashali, Lulu Kayage na Swalehe Mkalekwa na mratibu Anton Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mratibu wa mpambano wa kimataifa Anton Rutta akizungumzia mpambano uho nyuma akiwa na mabondia watakaocheza Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mratibu wa mpambano wa kimataifa Anton Rutta akizungumzia mpambano uho nyuma akiwa na mabondia watakaocheza Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

HOMA ya mpambano wa kimataifa umezidi kupamba mota baada ya leo kukutanishwa mabondia wote  wa Tanzania watakaocheza na wa nje kuongea na wahandishi wa habari

akizungumza katika mkutano na waandihi wa habari mlatibu wa mpambano uho Anton Rutta amesema mabondia wote wapo safi kwa ajili ya mpambano uho wa kimataifa ambapo bondia

Thomas Mashali 'Simba Asiyefugika' atakuwa anagombea ubingwa wa dunia mkanda wa U.B.O na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani'

Wakati mapambano mengine ya kimataifa yatawakutanisha mabondia 
 
 Mwanadada Lulu Kayage atakaezichapa na Chiedza Homakoma 'Nikita' wa Malawi  wengine ni Ramadhan Shauri atakaepambana na Osgood Kayuni wa Malawi wakati Twaha Kassim atapambana na Fred Nyakese kutoka Kenya na Saleh Mkalekwa atakumbana na Jems Onyango wa Kenya na Fransic Miyeyusho atavaana na Frank Kiwalabye wa Uganda na Nassibu Ramadhani atacheza na Edwrd Kakembo wa Uganda Abdalla Pazi 'Dula Mbabe' atavaana na  Chamunorwa Gonorenda kutoka Zimbabwe
mapambano mengini ya kitaifa yatawakutanisha  Shaban Kaoneka atakaecheza na Hassan Mwakinyo na Issa Nampepeche atakumbana na Baina Mazola


mapambano hayo ya kimataifa yameandaliwa na promota mkongwe Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga

siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi



siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba shiria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo

Thursday, April 21, 2016

BONDIA ABDALLAH PAZI KUENDELEZA UBABE KWA KUWAPIGA MABONDIA KWA K.O

Na Mwandishi Wetu

Bondia Abdalla Pazi 'Dula Mbabe' baada kumsambalatisha Mada Maugo kwa TKO ya raundi ya tatu mpambano uliopita uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa

sasa ameingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake mwingine wa kimataifa utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya mei 14

Akimkabili bondia Chamunorwa Gonorenda kutoka Zimbabwe bondia Pazi  amesema kuwa yeye ni tingatinga la kuchonga barabara hivyo achagui bondia wa kucheza nae aliongeza kwa kusema kuwa vichapo vyangu vinaeleweka kuwa mabondia wote ninaokutana nao awamalizi raundi  nilianza hivyo china nikampiga bondia raundi ya nne nikaja bongo nikampiga K,O mbaya sana bondia Baraka Mwakansope

 Baada ya hapo nikapambana na Mada Maugo ambaye kwa sasa ataki ata kuniona na akisikia jina la Dula Mbabe anakaa kimyaaa hivyo nataka niendeleze rekodi yangu hii na sito waangusha mashabiki zangu

katika mpambano huo kutakuwa na mipambano mbalimbali ya kimataifa itawakaokutanisha na mabondia wa Tanzania na wa nchi nyingine mbalimbali

ambapo Thomas Mashali atakuwa akigombania ubingwa wa Dunia wa W.B.O akipambana na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' 


mapambano mengine ya kimataifa yatawakuanisha bondia mwanadada Lulu Kayage na Chiedza Homakoma 'Nikita' Malawi mabondia wengine ni  Ramadhan Shauri atakaepambana na Osgood Kayuni wa Malawi  wakati Twaha Kassim atapambana na Fred Nyakese kutoka Kenya  na Saleh Mkalekwa atakumbana na Jems Onyango wa Kenya na Fransic Miyeyusho atavaana na Frank Kiwalabye wa Uganda na Nassibu Ramadhani atacheza na Edwrd Kakembo wa Uganda



mapambano mengini ni kati ya Shaban Kaoneka atakaecheza na Hassan Mwakinyo na Issa Nampepeche atakumbana na Baina Mazola



mapambano hayo ya kimataifa yameandaliwa na promota mkongwe Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga




siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi



siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba shiria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo

BONDIA WA KIKE LULU KAYAGE AHAPA KUFIA URINGONI KATIKA MPAMBANO WAKE MEI 14 TAIFA

BONDIA CHIEDZA HOMAKOMA 'NIKITA' MALAWI  LULU KAYAGE TANZANIA


Na Mwandishi Wetu

BONDIA Lulu Kayage yupo katika mazoezi mazito na makali kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake wa kimataifa na Chiedza Homakoma 'Nikita' Malawi mpambano utakaofanyika mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa 

akizungumza wakati wa mazoezi yake anayofanya kinondoni msisiri amesema anajiandaa vizuri tu kwa ajili ya kumkabili mmalawi huyo atakaepigana nae 

aliongeza kwa kusema unajuarekodi yangu imearibika kidogo kwa kuwa nilipigwa kwa point mpambano wangu wa mwisho

hivyo sasa nimejipanga vizuri kuakikisha nafanya vema katika mpambano uho wa kimataifa nawa aidi mashabiki wagu kuwa siku hiyo nitakuwa radhi nifie uringoni ili ushindi ubaki Tanzania na siwezi kupigwa hapa nchini na nikatia aibu Taifa langu

siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mbalimbali ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi nchini

ambapobondia Thomas Mashali atakumbana na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani'  ubingwa wa Dunia mkanda wa U.B.O 

mapambano mengine ya kimataifa yatawakuanisha bondia Ramadhan Shauri atakaepambana na Osgood Kayuni wa Malawi  wakati Twaha Kassim atapambana na Fred Nyakese kutoka Kenya  na Saleh Mkalekwa atakumbana na Jems Onyango wa Kenya na Fransic Miyeyusho atavaana na Frank Kiwalabye wa Uganda na Nassibu Ramadhani atacheza na Edwrd Kakembo wa Uganda

mapambano mengini ni kati ya Shaban Kaoneka atakaecheza na Hassan Mwakinyo na Issa Nampepeche atakumbana na Baina Mazola

mapambano hayo ya kimataifa yameandaliwa na promota mkongwe Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga




siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi

siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba shiria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo

Saturday, April 16, 2016

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' ASHINDA KWA POINT AKIWA NCHINI PANAMA

BONDIA IBRAHIMU CLASS AKIWA NA MIKANDA YAKE YA UBINGWA WA AFRIKA  WPBF JUU NA CHINI NI U.B.O AFRIKA
 Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akiwa na bondia Shane Mosley ambaye alishawai kucheza na Floyd Mayweather na kuonesha upinnzani mkubwa kushoto ni Rais wa ngumi za kulipwa nchini Emanuel Mlundwa hapa ni baada ya kushinda mpambano wake na Zapir Rasulov wa Russia kwa point
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akiwa na mpinzani wake Zapir Rasulov wa Russia baada ya kumshinda kwa point 

Na Mwandishi Wetu

BONDIA Mtanzania Bingwa wa Afrika wa mikanda ya WPBF na U.B.O Afrika Ibrahimu Class 'King Class Mawe' april 15 mwezi uhuu amefanya maajabu baada ya kumtwanga bila huruma

Bondia 

Zapir Rasulov wa Russia na kufanikiwa kumpiga kwa point katika mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya

Convenciones Vasco nchini

Panama City, Panama 

 Class anakuwa bondia wa kwanza kumpiga bondia huyo katika mapambano yake 30 aliyocheza ambapo kati ya hayo mapambano 27 ameshinda kwa K.O na matatu kashinda kwa point 

 bondia huyo arikuwa na rekodi ya kutopigwa ata mpambano mmoja ambao aliocheza katika michezo yake yote

Class ameweka dowa katika michezo yake na kuwa bondia wa kwanza kutoka afrika kumpiga bondia huyo anaesifika uku ugaibuni

 Bodia King Class Mawe baada ya kuibuka na ushindi uho amesema ushindi ni wa watanzania wote kwani yeye amekuwa mtumishi wao tangia mpambano wake wa kwanza ambao ulikuwa wa ubingwa alipokwenda nchini Zambia na ufanikiwa kumdunda bondia Mwansa Kabinga  katika mpambano uliofanyika Arthur Davies Stadium, Kitwe, Zambia hii ilikuwa june 8 ,2014  na kushinda kwa TKO ya raundi ya tisa na kufanikiwa kurudi na mkanda wa WPBF Afrika

hivyo natarajia kuendeleza kuitumikia Tanzania na watu wake kupitia mchezo wa masumbwi nchini

bondia huyo anaenolewa na jopo la makocha likiongozwa na kocha mkongwe kabisa Habibu Kinyogoli akisaidiwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye amekuwa akimshauli katika mapambano yake mblimbali nchini

bondia huyo anataraji kurudi nchini wakati wowote kwa ajili ya maandalizi ya mpambano mwingine wa asumbwi utakaomkabili hivi katibuni



BONDIA VICENT MBILINYI AENDELEA KUJIFUA CHINI YA KOCHA WAKE SUPER D

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu yhamila 'Super D ' Kushoto akimfundisha bondia Vicent Mbilinyi jins ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'Upcut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa basketi Shule ya Uhuru wasichana 'Uhuru GYM' Picha na SUPER D BOXING EWS

Bondia Aloyce Kakinda kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea Uhuru GYM kariakoo Dar es salaam
Picha na SUPER D BOXING EWS

VICENT MBILINYI

Bondia Aloyce Kakinda kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea Uhuru GYM kariakoo Dar es salaam
  1. Picha na SUPER D BOXING EWS
Bondia Aloyce Kakinda kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea Uhuru GYM kariakoo Dar es salaam
Picha na SUPER D BOXING EWS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu yhamila 'Super D ' Kushoto akimfundisha bondia Vicent Mbilinyi jins ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'Upcut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa basketi Shule ya Uhuru wasichana 'Uhuru GYM' Picha na SUPER D BOXING EWS

Wednesday, April 6, 2016

EUBANK Familia ya magwiji wa ndondi *Wapiga wapinzani mpaka kuzimia *Baba alipiga 1991, mwanawe juzi

Bondia Chris Eubank JR akimwangalia mpinzani wake
Nick Blackwell baada ya kumpeleka chini kwa makonde mazito
Bondia Chris Eubank JR kushoto akipambana na Nick Blackwell  

 baba na mwana
 Bondia Chris Eubank JR


Bondia Chris Eubank SR akimwelekezaBondia Chris Eubank JR jinsi ya kupiga ngumi zito na zenye shabaha

EUBANK
Familia ya magwiji wa ndondi

 *Wapiga wapinzani mpaka kuzimia
*Baba alipiga 1991, mwanawe juzi

LONDON, Uingereza

NI karibu miaka 25 sasa tangu mwanamasumbwi, Chris Eubank alivyomwacha mpinzani wake akiwa mahututi, baada ya pambano lao lililosababisha maoni ya kutaka mchezo huo upigwe marufuku.

Mwishoni mwa wiki alionekana shujaa baada ya kuingilia kati tukio kama hilo ambapo mwanawe Chris Eubank Jr, alimjeruhi vibaya mpinzani wake  hata kumfanya apoteze fahamu ulingoni.

Nick Blackwell (25), ambaye alivuja damu kwenye ubongo, alilazimika kuondolewa kwenye ulingo katika Uwanja wa Wembley Arena akiwa kwenye machela na kukimbizwa hospitalini ambako aliendelea kufanyiwa uchunguzi.

Eubank Sr alikuwa pembeni mwa ulingo Jumamosi na alithubutu kuokoa maisha ya Blackwell kwa kumtaka mwanawe kumpiga mwilini badala ya usoni, katika raundi mbili za mwisho na kusema kuwa  mwamuzi alitakiwa kumaliza pambano hilo.

Alifikia hatua ya kupiga sakafu ya ulingo katika jaribio la kumtaka mwamuzi Victor Loughlin amalize pambano lile.

Katika raundi ya nane, Eubank Sr alimweleza mwanawe asimlenge Blackwell kichwani na badala yake ampige mwilini tu.

Pambano hilo hatimaye lilisimamishwa katika raundi ya 10 baada ya daktari kumshauri mwamuzi kwamba mtetezi wa pambano lile Blackwell hakuwa na uwezo wa kuona kwa jicho lake la kushoto na Eubank Jr (26) akatwaa ubingwa wa Uingereza.

Huku kukiwa na vilio vya wasiwasi wa kuhatarisha maisha ya wanamasumbwi, kulikuwa na sifa pia kwa Eubank Sr (49). Ujumbe kutoka kwa mtumiaji wa mtandao wa Twitter ulisema: "Chris Eubank Sr angeweza kuokoa maisha ya Blackwell usiku wa jana."

Kazi hiyo ya mwisho ya mwanamasumbwi huyo aliyestaafu, ilirejea katika kumbukumbu za usiku wa Tottenham, London Kaskazini mwaka 1991 alipomfanya Michael Watson kuzimia kwa siku 40. Watson ambaye alipata madhara kwenye ubongo, alizinduka lakini amekuwa mlemavu tangu hapo.

Jumamosi usiku Eubank Jr alikuwa akiongoza hadi raundi ya nane pale baba yake alipoingia ulingoni na kumpa ushauri.

Kamera za runinga zilimnasa akimwambia mwanawe huyo: "Kama mwamuzi hatasimamisha pambano, sijui cha kukwambia, lakini nakwambia hivi: Moja, kama hatasimamisha pambano na tukaendelea kumpiga kama hivi, ataumia; mbili, kama hataamua, sioni kwa nini asisimamishe pambano? Sielewi ni kwa nini?

"Pengine hili usimwachie mwamuzi. Ni vema usimpige zaidi usoni - mpige mwilini tu."

Makonde ya Eubank yalipungua katika raundi mbili za mwisho na mashabiki wengi wa ndondi kupitia Twitter walisema ushauri wa Eubank Sr kwa mwanawe uliokoa maisha ya Blackwell.

Mara baada ya pambano kusimamishwa, Blackwell, kutoka Wiltshire, ambaye alikuwa akivuja damu puani, ghafla alianguka ulingoni. Mara moja alianza kupewa huduma za kitabibu.

Mashabiki hao kupitia Twitter walisema mwamuzi au makocha wa Blackwell walipaswa kusimamisha pambano mapema.
 
Gwiji wa michezo Pilib de Brun aliandika kwenye Twitter: "Haiaminiki ni kwa jinsi gani pambano lile halikusimamishwa mapema! Blackwell ni kijana mgumu kwelikweli."

Wapenzi wa Best of Boxing katika ukurasa wao walisema: "Sote tunajua hatari iliyomo katika masumbwi hata hivyo mwamuzi au makocha wa Blackwell wangekuwa wamesimamisha pambano mapema."

Kikundi kinachojihusisha na majeraha ya ubongo kinachojiita Headsmatter kiliandika: "Hali ya Nick Blackwell inaongeza uzito katika hatari walizonazo wanamasumbwi ... hii ilitakiwa kusimamishwa mapema."

Eubank Sr alimshauri mwanawe kuacha kumpiga Backwell kichwani, akikumbuka uzoefu wake baada ya kumwacha Watson amezimia miaka 25 iliyopita.

Katibu Mkuu wa Bodi ya Udhibiti wa Ndondi Uingereza, Robert Smith akimzungumzia Blackwell Jumapili, alisema: "Yuko katika uangalizi maalumu, amewekewa nusu kaputi na anapumzika na kufuatiliwa.

"Ni utaratibu wa kawaida. Wanakuwekea nusu kaputi ili uvimbe upungue. hatuwezi kusema muda gani atazinduka. Ni suala la kusubiri na kuona."

Baadaye Smith alimtetea mwamuzi Loughlin, ambaye alisema alifanya 'kazi nzuri.'

Smith aliambia BBC: "Nimezungumza na mwamuzi, Loughlin, nimezungumza na Gary Lockett (Kocha wa Blackwell). Tulikuwa na mjadala kuhusu ni jinsi gani mpambano huo ulikwenda na nimeridhishwa na uamuzi wao wa usiku huo.

Aliongeza: "Kila mwanamasumbwi anayeingia ulingoni anazijua hatari zake. Huwa tuna maandalizi mazuri tu kiasi tunachoweza, lakini hatuwezi kuondoa hatari zote...hatuwezi kuwa na uhakika wa usalama kwa asilimia 100.

"Tuna wataalamu wa kila aina pale, tuna wauguzi, tuna madaktari. Tunawasiliana na vituo vya karibu vya wataalamu wa fahamu. Tunafanya kila kitu kinachowezekana. Tuko makini sana katika nchi hii.

"Ndivyo ulivyo mchezo wenyewe. Tunaishi nao hivyo na tunauelewa.  Nick Blackwell alitaka kuwa mwanamasumbwi, kama mtu yeyote anayetaka kushiriki ndondi. Sote tunajua hatari zake."

Alisema Eubank Sr alitilia shaka uamuzi wake, lakini akasema kulikuwa na watu wengi wenye uzoefu pale ambao waliona mwamuzi alichukua uamuzi mzuri.

Eubank Jr, kutoka Brighton, alisema baada ya pambano lake: "Nilimpiga ngumi nzito , yawezekana mwamuzi angesimamisha pambano mapema.  Naheshimu mtu yeyote anayepanda ulingoni. Inasikitisha kuwa aliondoka kwa machela."

Watson, ambaye alianguka na kupoteza fahamu katika pambano lake na Eubank Sr mwaka 1991 alizimia kwa siku 40 na kufanyiwa upasuaji mara sita ili kuondoa damu iliyoganda kwenye ubongo wake.

Aliandika kwenye gazeti la Telegraph: "Nilipoteza kumbukumbu kabisa. Lilikuwa jambo jipya kumwona Chris kwenye kona na mwanawe, na nimeshashuhudia mapambano mengi ya Chris. 
"Chris na Nick walipambana vikali na lilikuwa jambo la kuhuzunisha kumwona Nick amajeruhiwa mwishowe na kisha kusikia kilichomsibu baada ya pambano. Hakika lilikuwa jambo la kushtua kusikia kilichoendelea.

"Ni wazi namtakia Nick na familia yake mapenzi na maombi wakati huu mgumu ambao anahudumiwa hospitalini."

Blackwell alipambana kiume lakini hakuweza kumudu nguvu na adhabu aliyopata kutoka kwa Eubank.

Eubank alionekana kuchoka katika hatua za mwisho lakini alibadilika na kuweza kupata ushindi kirahisi.

Nike wanavyowatesa Maria Sharapova, Manny


Pacquiao
  NA MITANDAO
WANAMICHEZO wawili maarufu duniani, bondia Manny Pacquiao na mcheza tenisi, Maria Sharapova, wamejikuta wakipoteza mamilioni ya fedha walizokuwa wakiingiza kupitia udhamini wao baada ya kuingia matatani na wadhamini wao kwa mambo mawili tofauti.
Wakati Pacquiao ambaye ni mwanasiasa maarufu nchini kwao Ufilipino akijikuta matatani kutokana na kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwa kuwashambulia mashoha, Maria mapema wiki hii alilitia doa jina lake kutokana na kashfa ya kutumia dawa zilizokatazwa michezoni.
Katika maoni yake hayo dhidi ya mashoga aliyoyatoa wakati wa mahojiano na kituo cha televisheni cha Ufilipino, ambako anawania nafasi ya useneta kuelekea uchaguzi wa Mei mwaka huu, Pacquiao mwenye umri wa miaka 37, alisema: “Ni hali ya kawaida. Huwa unaona wanyama wa jinsia moja wakifanya ngono?
“Wanyama ni bora zaidi kwasababu wanaweza kutofautisha mwanamke na mwanaume. Iwapo mwanaume anafanya ngono na mwanaume mwenzake na mwanamke anashiriki tendo hilo la ngono na mwanamke mwenzake, ni wabaya zaidi ya wanyamya.”
Na akiwa anajiandaa kupanda ulingoni kwa mara ya mwisho dhidi ya Timothy Bradley Aprili 9, mwaka huu, bondia huyo amejikuta akipata pigo baada ya wadhamini wake, kampuni ya Nike kuvunja mkataba baina ya pande hizo mbili.
Nike walitoa taarifa yao huu ya uamuzi wao huo, iliyosomeka: “Tumebaini maoni ya Manny Pacquiao yamepingana na mawazo ya wengine.
“Nike tungapinga kwa nguvu zote ubaguzi wa aina yoyote na imekuwa na historia ndefu ya kusapoti kusimamia haki za jamii ya watu wenye uhusiano wa jinsia moja. Kuanzia sasa hatuna uhusiano wowote na Manny Pacquiao.”
Hata hivyo, Pacquiao aliomba msamaha uliotajwa kuwa dhaifu, akisema: “Samahani kwa kuwaumiza watu kwa kulinganisha mapenzi ya jinsi moja na wanyama. Niliowaumizi naomba wanisamehe tafadhali.
“Bado ninasimama katika imani yangu kuwa ninapingana na ndoa za jinsia moja kwasababu ya kile Biblia inachosema. Ninawapenda wote kwa mapenzi ya Mungu. Mungu awabariki wote na ninawaombea.”
Na anapojiandaa kushuka dimbani kwa mara ya mwisho, ni wazi kuwa kujitoa kwa wadhamini wake kutokana na maoni yake hayo dhidi ya mashoga, kutakuwa kumemwathiri kwa kiasi kikubwa katika suala zima la kimaslahi, lakini pia harakati zake za kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Ufilipino.
Kwa upande wake,  Maria Sharapova amejikuta kwenye hasara kubwa ya maisha yake baada ya kupoteza dili lake na Nike lenye thamani ya Dola za Marekani milioni 70 ndani ya saa moja tu baada ya kutangaza kuwa amekutwa ametumia dawa ambazo hazitakiwi kwa wanamichezo.
Maria amebainika kutumia dawa ambazo haziruhusiwi kwenye michezo ambazo amezitaja kama mildronate au meldonium kuanzia Januari mwaka huu baada ya kufanyiwa vipimo.
Baada ya habari hizo kutoka, wadhamini wake wakaanza kuvunja mikataba, kuanzia Nike ambao ndio walikua na dili kubwa la Dola hizo za Marekani milioni 70, kabla ya kampuni ya nembo za saa za mkononi za TAG Heuer nao kujitoa kumdhamini mwanadada huyo wa Urusi.
Msemaji wa Nike amesema: “Tumesitisha kufanya kazi na Sharapova kwa wakati huu tukiendelea na uchunguzi hadi hapo baadaye.”
Kutokana na takwimu za Forbes, Sharapova alikua akipokea Dola za Marekani milioni 30 kwa mwaka kutokana na mishahara mbalimbali na kwamba fedha hizo zinatarajiwa kushuka kutokana na wadhamini wake kuvunja mikataba.
Kwa upande mwingine, kitendo cha Nike kusitisha mikataba na wanamichezo hao, kimepokewa kwa hisia tofauti duniani kote, ikiwamo hapa Tanzania, baadhi wakiwasapoti, huku wengine wakiwashangaa kwa uamuzi wao huo wakidai umelenga katika kukomoana.
Mmoja wa wadau maarufu wa ndondi nchini Tanzania, Rajab Mhamila ‘Super D’, alisema: “Watu wengi wana hobi zao, Manny Pacquiao hajatoa maoni yake kwa kubuni tu, ametoa mistari katika Biblia kuwa hakuna mapenzi ya jinsia moja, kasimamia katika ukweli na uhakika, huwezi kupinga ukweli, inawezekana kuna watu ndani ya Nike hawajafurahishwa na maoni yake.
“Pacquiao ni mtu wa Mungu ndio maana hata katika mapambano yake lazima utamuona akiwa amevaa msalaba, anasimamia imani yake na ndio maana alitoa vifungu vya mistari katika utetezi wake akisema sisi binadamu tumekuwa wabaya zaidi ya wanyama ambao hawawezi kufanya vitendo hivyo wanavyofanya baadhi ya binadamu. Mimi nipo upande wa Pacquiao.”
Hata katika mitandao mbalimbali ya kijamii ya Tweeter, Instagram, facebook na mingineyo, wapo wachache mno waliosapoti uamuzi wa Nike dhidi ya Pacquiao na Maria, huku wengi wakionekana kuiponda kampuni hiyo kwa kukurupuka katika maamuzi yao, hasa kitendo cha kumtosa Pacquiao.

SALM MPONDA AIBUKA BINGWA WA NGUMI ZA WATOTO ILALA

Kocha wa mchezo wa ngumi nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' kushoto akimkabidhi tunzo bondia bingwa wa watoto Salim Mponda baada ya kumtwanga  Hemed Mrema wengine wa pili kushto ni bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kocha  Juma Mwalimu na Dickson  Tembo Picha na SUPER D BOXING NEWS



 Bondia Salim Mponda kushoto akioneshana umwamba wa kuitupiana makonde na Hemed Mrema wakati wapambano wao uliofanyika juzi katika uwanja wa club ya bar ya wazee ilala Dar es salaam Mponda alishinda kwa point Picha na SUPER D BOXING NEWS
MPONDA NA MREMA WAKISALIMIANA KABLA YA KUMALIZA MPAMBANO WAO


MABONDIA SALIM MPONDA NA HEMED MREMA BAADA YA KUPOKEA ZAWADI ZAO
HEMED MREMA AKIZUNGUMZA BAADA YA KUCHUKUA NAFASI A PILI
Mabondia said Ligila na Fadhili Boika wkati wa mpambano wao uliofasnyika katika uwanja wa club ya bar ya wazee ilala bungoni
MABONDIA WA ZANZIBAR

fadhili boika kushoto akioneshana umwamba na said ligila
KIONGOZI WA MCHEZO WA MASUMBWI ZANZIBAR AKIMPATIA ZAADI BONDIA