tag:blogger.com,1999:blog-63103138214706699982023-12-03T23:04:46.722-08:00SuperD Boxing CoachSuperd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.comBlogger1626125tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-17945182323211694722021-11-18T02:08:00.000-08:002021-11-18T02:08:51.885-08:00BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA NA HABIBU PENGOBONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na atacheza na bondia machachali kutoka mlandizi Albano Clement Desema 3 mpambano wa raundi nae utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango jijini Dsar es salaam
akiongea wakati wa kutambulisha mpambano wa rasmi Migwede amesema kuwa yeye ni bondia hivyo uwezo wake una mruhusu kucheza na mtu yoyote atakaekuwa mbele yake ili mradi walingane uzito tu
aliongeza kwa kusema unajua mimi ni bondia hivyo kazi yangu mimi ni kupigana hivyo siwezi kuacha kupigana kwa sababu Pengo kanikimbia hii ni kazi kama kazi nyingine nimepewa kazi na Albano hivyo ajipange kwa kuwa kipigo nitakachompa ni cha mbwa mwizi mimi ni mtu mwingine kabisa niwapo ulingoni hivyo ajitahalishe sasa sijui mwenzie kaona nini mpaka kakimbia na mimi naishi huyu kadandia treni kwa mbele sasa kipigo nitakachompatia atashindwa kuhadithia
nae Clement amesema kuwa yeye ni bondia na ngumi ni kazi yake hivyo kazi kazi watakutana ulingoni sdiku hiyo mimi nimewapiga mabondia wakubwa kuliko yeye nimempiga Saidi Mundi kutoka Tanga bondia ambaye ni hatari sana kwa tanzania lakini nimemkalisha na cha moto kakiona nimemtwanga bila huruma bondia Seba Temba kutoka Morogoro na yeye alikuwepo katika mpambano huo sasa sidhani katika raundi nane hizo hatamaliza yote kwa yote mikono yangu ndio itakayo amua mpambano uho
mbali na mpambano uho unaosubiliwa kwa hamu siku hiyo pambano ilingine kali litawakutanisha mabondia machachali Muksin Swalehe ;Alkasusu; na Cosmas cheka mabondia ambao walikuwa wakitafutana kwa mda mrefu sasa kumaliza ubishi Desemba 3 katika uwanja wa kinesi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7ivXUEQ-Hc1xjKTjj4kixtLEmA_8U5zszje3RKLY1GklfGHKhPwD7VSHs-xJiKlzunGyPUWewuamxu1mSHGPwHLzZyUR-vcFYKrGOkeQlRYb3b8EC8Q1ONZ5NohX8xRo4xcn9tAkcz7Jg/s1600/IMG_7446.JPGSuperd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-89268128653579864652021-10-11T05:46:00.003-07:002021-10-11T05:46:15.459-07:00BONDIA RAMADHANI MIGWEDE ASAINI KUZIPIGA NA HABIBU PENGO OKTOBA 12 AWAITA MASHABIKI WA CHANIKA KUJITOKEZA SIKU HIYONA MWANDISHI WETU
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE amesaini mkataba wa kuzipiga na Habibu Pengo Novemba 12 mpambnano wa raundi kumi utakaofanyika jijini Dar es salaam
akizungumza na wahandishi wa habari kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa Migede kasaini mkataba uho mbele ya katibu wa kamisheni ya ngumi za kulipwa Yahya Poli
mpambano utakaofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao bondia huyo mwenye maskani yake chanika nje kidogo ya jiji la Dar es salaam atapambana na Pengo mpambano ambao utakuwa autabiliki kwani mabondia wote hawo wana uzoefu mkubwa katika mchezo wa masumbwi mbali na uzoefu waliokuwa nao pia wamekuwa
wakiwapa vipondo wapinzani wao kadri wakutanapo nao ulingoni ambapo bondia migwede hivi karibuni alimchakaza vibaya tena bila huruma bondia keis ally kwa k,o ya raundi za awali
nae Pengo amekuwa tishio katika kipindi cha hivi karibuni kwani alikuwa akicheza mapambano makubwa na yenye msisimko zaidi na kufurahisha mashabiki awapo ulingoni
Pengo mwenye mashabiki luluki katika kitongoji cha mabibo na viunga vyake vya jirani amewataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuja kuangalia mchezo uho bila ya kukosa
nae Migwede amesema alikuwa anamtafuta sana Pengo kwa udi na uvumba hivyo kwa sasa kaingia katika choo cha watoto hivyo kaingia katika 18 zangu hivyo nawaomba mashabiki wake wote wajitokeze kwani siku hiyo atafanya atakachotumwa na mashabiki zake wa chanika pamoja na vitongoji vya jirani hivyo wasikose kuja
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-91205609147138759342021-10-04T03:15:00.003-07:002021-10-04T03:15:31.760-07:00DULA MBABE ULINGONI TENA OKTOBA 9 P.T.A SABASABA CHEKA NDANI NAE SIKU HIYO<div class="separator" style="clear: both;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiKyOv8fIqW2e2JHnWPJVDfUAVhjwiAAF2dSb7vJdUQiiE-Puyt04gsV3CGiZWyfdimi2j3XM31_Fm1FtdAWoES6vO0Mar2K1XvhjGPZI9XJmkUC9F3Iad62EHa4y99MsyoEhdhrJRKqR0z/s640/super+d.JPG" style="display: block; padding: 1em 0; text-align: center; "><img alt="" border="0" width="600" data-original-height="430" data-original-width="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiKyOv8fIqW2e2JHnWPJVDfUAVhjwiAAF2dSb7vJdUQiiE-Puyt04gsV3CGiZWyfdimi2j3XM31_Fm1FtdAWoES6vO0Mar2K1XvhjGPZI9XJmkUC9F3Iad62EHa4y99MsyoEhdhrJRKqR0z/s600/super+d.JPG"/></a></div>NA MWANDISHI
BONDIA ABDALLAH PAZI 'DULLA MBABE' atapanda ulingoni kwa ajili ya mpambano wake mwingine zidi ya Alex Kabangu kutoka DRC YA kONGo katika mpambano wa Raundi kumi
akizungumza jijini Dar es salaam promota wa mpambano uho Kaike Siraju amesema kuwa pambano hilo la kimataifa litafanyika katika ukumbi wa P.T.A Saba saba siku ya kumamosi hivyo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi wanapaswa kujitokeza kwa wingi siku hiyo kwani wameandaa ngumi zitakazoleta burudani ya kutosha siku ya Oktoba 9
Kaike aliongeza kwa kusema kuwa siku ya jumatano bondia kutoka Kongo Alex Kabangu atapokelewa na kufanya mahojiano na wahandishi wa habari za michezo siku hiyo hiyo katika uwanja wa ndege wa kimataifa hivyo amewaomba mashabiki kujitokeza katika mpambano uho
aliongeza kwa kusema kuwa siku ya ijumaa itakuwa ni kwa ajili ya kupima uzito na afya kwa mabondia hawo ambapo eneo la kupimia uzito ni katika viwanja vya Las Vegas vilivyopo mabibo sokoni hivyo mashabiki wotenaopmbwa kuja kushudia tukio hilo la upimaji uzito pamoja na Afya kwa mabondia ambapo tutaanza saa nne kamili asubui mpaka saa sita na nusu tutakuwa tumesha maliza
mbali na mpambano uho kutakuwa na pambano lingine machachali litakalo wakutanisha bondia Cosmas Cheka kutoka Morogoro na Issa Nampepeche kutoka Dar es salaam
wakizungu8mza kuhusu mpambano wake uho bondia Nampepeche amesema yeye ni bondi hivyo amejiandaa vizuri na matarajio yake ni ukushinda kwa .K.O ambayo aita wapa tabu majaji nae cheka amesema kuwa yeye ana wasiwasi kwani mazoezi kwake kama dawa kutwa mara tatu hivyo mpinzani wake ajipangeSuperd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-58283797879474559932021-08-30T02:36:00.002-07:002021-08-30T02:36:54.110-07:00BONDIA IBRAHIMU CLASS AMTAMBIA NASSIBU RAMADHANI KUWA SEPTEMBA 24 ATAMPIGA KWA K,O<p> <img border="0" data-original-height="532" data-original-width="492" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikfTVqi-I-LOjwTeT8MzNJqjaB-Mm2svU-WRsmIQ0PLor7LV371tn6WVuvvJjad4rwUWhTAEXfdT85hvqcFQgZTnTo_dnbd2r-9MCkPII2WpGYBSqBgnbNI3cnRzbecWj6j71adGJQX7Zi/w592-h640/superdclass.jpg" style="border: none; position: relative;" width="592" /></p><p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">NA MWANDISHI WETU<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">BONDIA Ibrahimu Class
‘king Class Mawe’ amesema kuelekea katika mpambano wake na Nasibu Ramadhani
Septemba 24 atokuwa na msalie mtume kutokana na Nasibu kuwa na maneno sana
hivyo baasi anataka akate ngebe kwa kumpiga K.O mbaya sana ambayo aijawai
kutokea<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Katika maisha ya
ngumi kwani ndio itakuwa mwisho wake wa kucheza mchezo wa masumbwi nchini hivyo
basi naomba wapenzi wa mchezo wa masumbwi waje kuangalia mpambano wa kihistoria
nitakaopambana na nasibu mana nimepania kucheza mchezo mzuri ambao utawafurahisha
na kuwaburudisha wapenzi wa mchezo wa masumbwi nchini<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Alijimwambafai Class
ata hivyo mpambano uho wa raindi kumi unaosubiliwa kwa hamu kubwa sana na mashabiki
wa ngumi nchini umekuwa ukoingelewa kila kukicha na wapenzi mbalimbali wa
mchezo huo wa masumbwi<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Nae bondia Nassibu
Ramadhani alijibumapigo kwa kusema kuwa kwa sasa Class atoboi kwani mpambano wa
mara ya kwanza alibebwa na majaji hivyo kwa sasa nimemuandalia kipigo
kitakatifu ambacho ato kisaau maishani mwake<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Na mimi uwaga kwangu
ni vitendo tu sinaga mambo mengi katika mchezo wa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ngumi mimi ndio sinaga mda wa kuongea ongea
kumaliza maneno na kubwabwaja hovyo<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Nae promota wa
mpambano huo Rajabu Mhamila ‘Super D’ kutoka katika kampuni Tanzu ya Kizalendo
ya Super D Boxing Promotion wamejipanga kuwaletea mapambano yenye tija kwa
mabondia na yenye upinzani mkubwa ili wapenzi wa mchezo wa masumbwi wapate
burudani<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Aliongeza kwa kusema
kuwa siku hiyo wameandaa mapambano saba yatakayopigwa siku hiyo uku tukiwa
tumesha wasainisha mabondia Juma Choki atakaezipiga na Issa Nampepecvh mpambano
wa raundi nane<o:p></o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;"><o:p> </o:p></p>
<p align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">Na tatali wamesha
wasainisha mabondia vicent mbalinyi atakaezipiga na Shedrack Ignas wakati
Waziri Rosta atakuwa akizipiga na Anuary Mlawa na Albano Clement atazipiga na
Ramadhani Migwede na kwa upande wa kina dada bondia Agnes Kayange atazichapa na
Lulu Kayage mpambano wa raundi siti na bondia Daudi Mwita atakuwa akizipiga na
Saidi Ndilimo<o:p></o:p></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-83180320370541987442021-08-03T04:24:00.001-07:002021-08-03T04:24:43.296-07:00MABONDIA CLASS NA NASSIBU WAPIGWA PINI NA SUPER D BOXING PROMOTION<p> </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA4uk4-dl7NwniGV26nQWyo1cK9WNZla5EaBp0WeQueDbu0grOx3-jEFTIveNulOjlF0usKfqYrdxR8X4caecoxm2lDJMgrvrTQekIQ8FndPDGfktnAtY8NH6V_qbaUH7R5wsFUyUyjs_K/s495/superdpromotion.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="495" data-original-width="455" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA4uk4-dl7NwniGV26nQWyo1cK9WNZla5EaBp0WeQueDbu0grOx3-jEFTIveNulOjlF0usKfqYrdxR8X4caecoxm2lDJMgrvrTQekIQ8FndPDGfktnAtY8NH6V_qbaUH7R5wsFUyUyjs_K/s320/superdpromotion.jpg" width="294" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikfTVqi-I-LOjwTeT8MzNJqjaB-Mm2svU-WRsmIQ0PLor7LV371tn6WVuvvJjad4rwUWhTAEXfdT85hvqcFQgZTnTo_dnbd2r-9MCkPII2WpGYBSqBgnbNI3cnRzbecWj6j71adGJQX7Zi/s532/superdclass.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="532" data-original-width="492" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikfTVqi-I-LOjwTeT8MzNJqjaB-Mm2svU-WRsmIQ0PLor7LV371tn6WVuvvJjad4rwUWhTAEXfdT85hvqcFQgZTnTo_dnbd2r-9MCkPII2WpGYBSqBgnbNI3cnRzbecWj6j71adGJQX7Zi/s320/superdclass.jpg" width="296" /></a></div></div><br />NA MWANDISHI WETU<p></p><p><br /></p><p>PROMOTA wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amewapiga pini mabondia Ibrahimu class na Nasibu Ramadhani kwa kuingia nao Mkataba wa kuzipiga Septemba 24 jijini Dar esa Salaam </p><p><br /></p><p>Akizungumza baada ya kuingia mkataba na mabondia hao uliotiwa saini mbele ya rais wa kamisheni ya ngumi za kulipwa TPBRC Agapeter Basili zilizopo keko Dar </p><p><br /></p><p>Super D amesema kuwa anapenda kufungua milango kwa wafadhili mbalimbali kujitokeza kudhamili mpambano uhu kwani mpambano ulikuwa unasubiliwa kwa hamu kubwa sana na mashabiki wa mchezo wa masumbwi kwa kuwa hii ni dabi ambayo ina kila kitu katika mchezo wa masumbwi mana mabondia wana uwelewa wa mchezo wa ngumi pamoja na kujulikana kimataifa zaidi</p><p><br /></p><p>aliongeza kwa kusema kuwa mchezo wa masumbwi sio uhadui kwani michezo ujenga urafiki pamoja na kujenga udugu, mabondia hawa ambao wamekuwa wakifanya kazi za uchambuzi wa mchezo wa ngumi katika TV </p><p><br /></p><p>ata hivyo kwa sasa wanaingia katika vita ya kutafuta heshima katika mchezo wa ngumi ambao wanaupambania kila kukicha</p><p><br /></p><p>mbali na mabondia hao mabondia wengine waliokwisha saini mkataba kupitia kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ni Issa Nampepeche ambaye atavaana na Juma Choki katika mpambano wa kugombania ubingwa wa taifa</p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-90537321159695099582021-08-03T03:54:00.002-07:002021-08-03T03:54:34.755-07:00SUPER D AWACHONGANISHA TENA IBRAHIMU CLASS NA NASIBU RAMADHANI KUZIPIGA SEPTEMBA 24<p><br /><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJshXWVFwiyoethisY5uh263GEk7MxeucEnhxllIZgdO6kuwPu6y-0ipvgeq1FzHT2i152ikLFBA651FNzru7yC0uEjzeue3F0oINEx84lT-5xxcpVt40s83Vrzy_jOuwkW1RYKG2P5zUA/s554/super+d.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="385" data-original-width="554" height="444" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJshXWVFwiyoethisY5uh263GEk7MxeucEnhxllIZgdO6kuwPu6y-0ipvgeq1FzHT2i152ikLFBA651FNzru7yC0uEjzeue3F0oINEx84lT-5xxcpVt40s83Vrzy_jOuwkW1RYKG2P5zUA/w640-h444/super+d.jpg" width="640" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiwanyoosha mikono juu mabondia Nasibu Ramadhani kushoto na Ibrahimu Class mara baada ya kusaini mkataba wa kuzichapa Septemba 24 jijini Dar esa Salaam</td></tr></tbody></table></p><p> Na Mwandishi Wetu</p><p>MABONDIA Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Nassibu Ramadhani wamesaini mkataba wa kuzipiga kwa mara nyingine tena kupitia kampuni tanzu ya kizarendo ya Super D Boxing Promotion mpambano unaotarajia kuzipiga septembar 24 jijini Dar es salaam akizungumza mara baada ya kuwasainisha mikataba mabondia hawo promota wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' </p><p><br /></p><p>Amesema kuwa mpambano uho unakwenda kuweka historia mpya ya mchezo wa masumbwi nchini Tanzania kwa kuwa viwango vya mabondia hawo ni vya kimataifa hata hivyo mabondia hawo wenye wa penzi wengi wa mchezo huo kwa kuwa na vigezo vikubwa vya kujua mchezo wa ngumi</p><p>Katika mpambano wa kwanza uliopigwa miaka kadhaa iliyopita Class alibuka na ushindi wa point na Nassibu akakubali mpambano uho ameshindwa hivyo alikuwa anaomba marudiano<br /></p><p><br /></p><p>ahidha kampuni hiyo imeingia mkataba wa mpambano mwingine tena kati ya Issa Nampepecha na Juma choki ikiwa pia mpambano huo ni wa marudiano</p><p><br /></p><p>hata hivyo katika mpambano wa kwanza katika chezo uho Choki alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu na kuibuka na ushindi mara ya Nampepeche kupigwa na kuvuja Damu nyingi sana katika mchezo huo</p><p><br /></p><p>ambapo mpambano uhuo ulikuwas ukichezeshwa na refarii Antoni Ruta wakigombania mkanda wa ubingwa wa P.S,T mpambano uliokuwa uchezwe kwa raundi kumi</p><p><br /></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-43345872357448424862021-06-17T02:03:00.001-07:002021-06-17T02:03:21.742-07:00HAMADI FURAHISHA KUZIPIGA NA KOCHA WAKE GODFREY POLINO JUNE 27 KIFA MBURAHATI<p><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4WWZWVQqb5xLb3xuWjzcIbmH_XJ-ZGK1TpcX81KmNtLVot1Zv_0nPe9wrgPE2hLeWl65zdBn_vSSUqPOBzihgvipa7u4ftkBcmdH-Muq4wslymKibUG4M5iFB5hE3o9FXKdLBGgpOKL2K/s960/super+d+furahisha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="808" data-original-width="960" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4WWZWVQqb5xLb3xuWjzcIbmH_XJ-ZGK1TpcX81KmNtLVot1Zv_0nPe9wrgPE2hLeWl65zdBn_vSSUqPOBzihgvipa7u4ftkBcmdH-Muq4wslymKibUG4M5iFB5hE3o9FXKdLBGgpOKL2K/s320/super+d+furahisha.jpg" width="320" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">HAMAD FURAHISHA<br /><br />BONDIA HAMAD FURAHISHA ambaye ya sasa ameingia katika ngumi za kulipwa kwa mara ya kwanza june 27 atapanda ulingoni kuzichapa na Godfrey Polino mpambano wa raund 4 kg 55 katika uwanja wa Kifa uliopo Mburahati<br /><br />Mpambano huo utafanyika katika uwanja wa kifa uliopo Mburahati umekuwa ukisubiliwa kwa hamu kubwa sana ambapo mabondia hawo ni mtu na kocha wake zamani wakati Polino alikuwa kocha uku Furahisha alikuwa bondia katika ngumi za Ridhaa wote wakiwa katika kam,bi ya JKT<br /><br />Mabondia hawo watapigana kwa mara ya kwanza wakiwa na historia kubwa ya mchezo wa masumbwi katika ngumi za ridhaa na kuliletea sifa Taifa lakini kwa sasa watapigana katika ngumi za kulipwa uku kila mmoja akitaka kukuonesha<br /><br />Umwamba wake katika ulingo jinsi anavyozipiga kwa ufundi zaidi majina ya Polino na Furahisha sio mageni katika ulimwengu wa masumbwi nchini ila ni mageni katika ngumi za kulipwa ambapo kupitia mabondia hawo mashabiki watapata burudani ya kutosha ya mchezo wa masumbwi nchini<br /><br />akizungumza na mwandishi wa habari hizo Hamadi Furahisha anasema kuwa ngumi alianza mwaka 2009 Yombo dovya boxing Clab iliyopo chini ya kocha haji Pela ambaye mpaka leo hii wapo pamoja <br /><br />alishiriki katika mashindano mbalimbali ya masumbwi ya Ridhaa yakiwemo mashindano ya clab bingwa pamoja na ya taifa na kufanikiwa kuchaguliwa na timu ya Taifa ya ngumi mwaka 2016 ambapo alidumu katika timu ya Taifa mpaka mwaka 2018 ambapo alipata nafasi ya kujiunga na JKT hata hivyo baada ya miaka kazaa akakosa ajira na sasa yupo mtaani na ameamua na kujiunga na ngumi za kulipwa <br /><br />anakumbuka kipindi hicho yupo JKT walipita mabondia ambao ni maarufu na mashughuli kwa sasa akiwepo Hassani Mwakinyo Salim Matango na wengine ambao nao waliachana na JKT na kujiunga na ngumi za kulipwa mara moja <br /><br />katika mchezo wa masumbwi yeye alivutiwa zaidi na Ismail Galiatano ambae nae ni bondia wa jeshi mpaka hivi sasa ndio aliekuwa akimpenda tangu anaanza ngumi mpaka sasa na kwa nje anamkubali zaidi<br /><br />Bondia Manny Paquai ambaye amekuwa akimkubali zaidi kwa mapigo yake ya kasi na jinsi anavyo zitendea aki ngumi apiganapo ulingoni<br /><br />Furahisha amemwambia Polino kuwa supu aitiwi nazi ikitiwa nazi inakuwa mchuzi hivyo kipigo atakachompa ni cha pekee kwani kipigo hicho akijawai kutokea tangu aanze mchezo wa masumbwi nchini<br /><br />akizungumza mabondia wa Tanzania amewasii mabondia wasiwe wanaingia mitini pindi wanapopewa mapambano na yeye kwani yeye anamikono miwili na wao miwili <br /><br />pia ilitoa wito kwa wazazi kuwaruhusu vijana wao pamoja na watoto kuwapa sapoti ili wacheze mchezo wa masumbwi kwani kwa sasa ni ajira na inaweza kukutoa sehemu moja kwenda nyingine hii ni kazi kama zilivyo kazi zingine wanazofanya watu maofisini<br /><br />aliongeza kwa kusema anampiga kocha wake pia mabondia wengine wajipange foleni ambao watakuwa katika uzito wa kg 55 kuwa hizi ni salam kwao<br /><br />asesema anawaomba sapoti kwa mashabiki zake wote wa dabo kibini wakionozwa na Habib Othumanbig kuja kumunga mkono na kumsapoti kwa ali na mali<br /><br />mpambano huo ulioratibiwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka kampuni Tanzu ya Kizalendo ya Super D Boxing Promotion umeandaliwa na Kwame Sports Promotion chini ya Promota mkuzaji wa Vipaji Kwame Hamisi Matwani mpambano utafanyika june 27</td></tr></tbody></table><br /> </p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-78499183073651114412021-03-12T02:59:00.003-08:002021-03-12T02:59:37.522-08:00BONDIA JONAS SEGE NA TWAHA KIDUKU KUPANDA ULINGO MMOJA MARCH 19 NA MABONDIA WA MATAIFA MENGINE<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjaMWRUtkJtNJBwAu-COE3axLWPvyjvzkqQpdGaHf4uQaB9a4dH_MaPSjlzsfQPBUL8fR1eSaHwGXLfoulNQFQcv15Pxp1u5ot_h8_FYH55mSh6gxieuR0fxAP3iELK5nPQ9bdN6vh7aGa3/s960/ubungo+plaza.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="780" data-original-width="960" height="520" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjaMWRUtkJtNJBwAu-COE3axLWPvyjvzkqQpdGaHf4uQaB9a4dH_MaPSjlzsfQPBUL8fR1eSaHwGXLfoulNQFQcv15Pxp1u5ot_h8_FYH55mSh6gxieuR0fxAP3iELK5nPQ9bdN6vh7aGa3/w640-h520/ubungo+plaza.jpg" width="640" /></a></div><br /> Na Mwandishi Wetu<p></p><p><br /></p><p>BONDIA Jonas Segu 'Black Mamba' ametamba kumpiga mpinzani wake Hanock Phili kutoka Malawi akizungumza mbele ya wahandishi wa habari kusiana na mpambano wake uho utakaofanyika March 19 katika ukumbi wa Ubungo Plaza</p><p><br /></p><p>Segu amesema kuwa yeye alienda nchini Africa ya kusini na kuhishi uko kwa ajili ya mchezo wa ngumi na kufanikiwa kuchukuwa ubingwa wa WBF ambao ata utetea siku hiyo ata hivyo amekuwa apati mapambano ya ndani kutokana na mabondia wengi kumkwepa baada ya kutembeza kipigo kwa mabondia kadhaa wa Tanzania</p><p>ambapo alishawai kumchapa Habibu Pengo Idd Pialali na alifanikiwa kumchapa Mfaume Mfaume ata hivyo kutokana na Figisu majaji wakatoa Droo sasa nimeruni nchini Tanzania na mpambano huu ndio utakuwa wa kwanza kwangu kucheza baada ya miaka mitano iliyopita ambapo sijacheza katika ardhi ya Tanzania naomba mashabiki wa ngumi morogoro dar es salaam pwani Tanga na mikoa mingine yote waje kuona ngumi ambazo zenye radha na manufaa katika mchezo huu wa tarehe 19 march</p><p><br /></p><p>nae promota wa mpambano huo Evalist Elnest 'Mopao' amesema mbali na mpambano huo kutakuwa pia na mpambano wa Twaha Kiduku na Tishibangu Kayembe wa Kongo na mpambano wa kina dada utakao wakutanisha Najma Isike na Halima Bandola pia kutakuwa na takribani jumla ya mapambano nane tu kwa siku hiyo</p><p><br /></p><p>hivyo naomba wapenzi wa ngumi waje mapema kuangalia ngumi nzuri zilizo andaliwa vema kabisa kwa galama nafuu kabisa</p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-56460281995698664572021-02-18T06:08:00.001-08:002021-02-18T06:08:33.133-08:00BONDIA JEMS KIBAZANGE AMTILIA MKWALA MZITO HAMIDU KWATA WATAZIPIGA APRIL 2 P.T.A SABA SABA<p><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgc2PSKquN7v0Bx7CphGGvPkwqQUODLFVKsZfEFgsY6ITfZ_jqE4T0J4riC8DqhpexH4KDPA-HIoeB58kVhHrfQOlwUzm78T3NCkSPNhEyIzaeKulIUIjShLDSK-Pk6ltZic3EWSK0IpCMQ/s499/138211063_3655843831128400_4746399989610888518_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="499" data-original-width="434" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgc2PSKquN7v0Bx7CphGGvPkwqQUODLFVKsZfEFgsY6ITfZ_jqE4T0J4riC8DqhpexH4KDPA-HIoeB58kVhHrfQOlwUzm78T3NCkSPNhEyIzaeKulIUIjShLDSK-Pk6ltZic3EWSK0IpCMQ/w556-h640/138211063_3655843831128400_4746399989610888518_n.jpg" width="556" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">JEMS KIBAZANGE 'DOG LA KIVITA'</td></tr></tbody></table><span style="font-size: x-large;"> Na Mwandishi Wetu</span></p><p><span style="font-size: x-large;"><br /></span></p><p><span style="font-size: x-large;">BONDIA Jems Kibazange 'Dog la Kivita' ameapa kuwa lazima amsambalatishe Hamidu Kwata ifikapo April 2 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba mpambano uho uliopewa jina la 'No Pain No Gain Nigth Fight' kuwa ana uwakika wa kumchakaza Kwata kama mfuko wa mazoezi</span></p><p><span style="font-size: x-large;">akizungumza wakati wa mazoezi yake katika GYM, ya kocha Maneno iliyopo Manzese Midizini amesema kuwa mimi ndio kiboko ya mbwa koko na kwata ajakutana na viama mimi nimesha wapiga mabondia wote waliopo katika uzito wangu ndio<br /> mana natamba na kwa Tanzania hii mimi sina mpinzani kwani mabondia wote kwangu ni viande nashangaa huyu amekubali vipi kupigana na mimi</span></p><p><span style="font-size: x-large;">naisi njaa tu inamsumbua hivyo naona pesa zake atakazo zipata zitaisha katika matibabu yake kwa kuwa nitampiga bila ya huruma kwani mimi ni kamanda katika mchezo huu wa masumbwi na akuna mtu asiejua uwezo wangu niwapo ulingoni</span></p><p><span style="font-size: x-large;">nakuwa mtu mwingine kabisa ndio mana mtaani kwetu wananita Dog la Kivita na vita hii itaenda kumwangamiza Kwata na kumsababishia kilema cha maisha kwani ngumi ni mchezo wangu nilio uwekea nadhiri ya kuendesha maisha yangu hivyo sito kubali bondia mdogo kama huyu aje kuniaribia kiraisi tu</span></p><p style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif;"><u><b><span style="font-size: x-large;">Nae Promota wa Mpambano Uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka ambapo bondia</span></b></u></p><p style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif;"><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></p><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><span style="font-family: inherit;"><u><b><span style="font-size: x-large;">vicent Mbilinyi vs Deo samweli rd 10 </span></b></u></span></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;"> Ramadhani Mbegu "Migwede" vs Albano Clement Rd 8</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">4.Daudi Mwita vs Abdul Ubaya Rd 6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">5. Hamidu kwata vs James kibazange 10 rd </span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">6.Mustafa Khalidi vs Mrisho mzezele rd 6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">7.kassim Ahmad vs Gabriel Chola rd 8</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">8.Juma Abdul vs Hamza Mchanjo rd6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">9.Veronika Thomas vs Fatima Yazidu rd6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">10.Frank Lucian vs Juma Kaiza rd8 </span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">pia kutakuwa na burudani mbalimbali kwa ajili ya kusapoti mchezo uho utakao kuwa siku ya Ijumaa kuu ya Pasaka</span></b></u></div></div><p><span><br /></span></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-76175544602681672112021-02-17T05:21:00.000-08:002021-02-17T05:21:05.314-08:00SUPER D AWASAINISHA MABONDIA MAONO ALLY KUZIPIGA NA MESHACK MWANKEMWA APRIL 2<blockquote style="border: none; margin: 0px 0px 0px 40px; padding: 0px; text-align: left;"><p> </p><p><u><b><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj13uVN22q7Ilx3sLSDYADA08Kf-67fOIZnb6NEk6GRk-xdzSw42-ZQEzQZsLuEtn1d1FqcySYz7fCsrwJSKT3Jyb33f2TTLUnr-JF_wYh6RB8VWOjIZntwfnR4q63ptKRjcME3vBsnCkup/s1040/super+d+promotion.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1040" data-original-width="488" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj13uVN22q7Ilx3sLSDYADA08Kf-67fOIZnb6NEk6GRk-xdzSw42-ZQEzQZsLuEtn1d1FqcySYz7fCsrwJSKT3Jyb33f2TTLUnr-JF_wYh6RB8VWOjIZntwfnR4q63ptKRjcME3vBsnCkup/s16000/super+d+promotion.jpg" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">MAONO ALLY</td></tr></tbody></table><br /></b></u><u><b><span style="font-size: x-large;">Na Mwandishi Wetu</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">BONDIA Maono Ally kutoka Bagamoyo mkoa wa Pwani amesaini mkataba wa kuzipiga na Meshack Mwankemwa kutoka Mbeya mpambano utakaofanyika April 2 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba mpambano wa raundi kumi uzito wa kg69 kutafuta nani zaidi kati yao</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">mpambano uliopewa jina la No Pain No Gain Fight Night mabondia hawo watazipiga siku hiyo katika mpambano ulio andaliwa na kiampuni Tanzu ya Kizarendo ya Super D Boxing Promotion</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">Maono amesema kuwa katika mpambano uho atokuwa na msalia mtume kwani ngumi kwake ni kazi kwa kuwa mabondia wengi wamekuwa wakimkimbia pindi wanapo pangiwa mapambano na yeye hivyo Mwankemwa akae tayari kwa kipigo tu</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">Na afanye mazoezi ili apunguziwe kipigo ingawa kipigo kipo pale pale nitampiga mwankemwa kama mfuko wa mazoezi kwani nimejiandaa vya kutosha na sina wasiwasi na pambano hilo</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">kwa upande wa Mwankemwa amesema asnashukuru kupata mpambano uho utakaofanyika Dar hivyo nipo vizuri na nategemea ushindi ambao sito washirikisha majaji ambapo nitampiga K,O mbaya sana aikuwai kutokea</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;">Nae Promota wa Mpambano Uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka ambapo bondia</span></b></u></p><p><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></p><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><span style="font-family: inherit;"><u><b><span style="font-size: x-large;">vicent Mbilinyi vs Deo samweli rd 10 </span></b></u></span></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;"> Ramadhani Mbegu "Migwede" vs Albano Clement Rd 8</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">4.Daudi Mwita vs Abdul Ubaya Rd 6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">5. Hamidu kwata vs James kibazange 10 rd </span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">6.Mustafa Khalidi vs Mrisho mzezele rd 6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">7.kassim Ahmad vs Gabriel Chola rd 8</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">8.Juma Abdul vs Hamza Mchanjo rd6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">9.Veronika Thomas vs Fatima Yazidu rd6</span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">10.Frank Lucian vs Juma Kaiza rd8 </span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;"><br /></span></b></u></div></div><div class="o9v6fnle cxmmr5t8 oygrvhab hcukyx3x c1et5uql ii04i59q" style="animation-name: none !important; background-color: white; color: #050505; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; margin: 0.5em 0px 0px; overflow-wrap: break-word; transition-property: none !important; white-space: pre-wrap;"><div style="animation-name: none !important; font-family: inherit; transition-property: none !important;"><u><b><span style="font-size: x-large;">pia kutakuwa na burudani mbalimbali kwa ajili ya kusapoti mchezo uho utakao kuwa siku ya Ijumaa kuu ya Pasaka</span></b></u></div></div></blockquote>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-51971151687201564502021-02-09T01:59:00.003-08:002021-02-09T01:59:41.324-08:00SUPER D AMSAINISHA DEO SAMWELI KUZIPIGA NA VICENTI MBILINYI APRIL 2 P.T.A SABA SABA<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWpbb_M1VPmIOUPSyZkghQ2p_NQBMZVd0diZLX5nQrWkfwqi0BXZ-zPvMSE2iYBN5wC3U6ZPFFkhPB2bwkE9Lbu4C0ukOKTKf0RaZITd9ktj_U6jq0-ch23PSlCkmoWGX090ExnNQjqLjM/s2048/DSC_9182.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1358" data-original-width="2048" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWpbb_M1VPmIOUPSyZkghQ2p_NQBMZVd0diZLX5nQrWkfwqi0BXZ-zPvMSE2iYBN5wC3U6ZPFFkhPB2bwkE9Lbu4C0ukOKTKf0RaZITd9ktj_U6jq0-ch23PSlCkmoWGX090ExnNQjqLjM/w640-h424/DSC_9182.JPG" width="640" /></a>Bondia Deo Samweli kushoto akibadilishana mkataba na Promota wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga na Vicent Mbilinyi mpambano utakaofanyika April 2 katika ukumbi wa P.T.A SABASABA siku ya Ijumaa kuu ya Pasaka<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6r01jm96gv0bBgY8x2BQ7jLbLhdDnI1-7J8hIFKMdNypy-_GPyoWQVwpjrwdnrs_Dvg-37N2xpOzLMkH2YFOunqDqglOZ75tLJOOBKGEfndD1nAFdu9s2uFqt3M1znI8y-gOZqTwZdS9l/s2048/DSC_9168.JPG" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" data-original-height="1358" data-original-width="2048" height="406" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6r01jm96gv0bBgY8x2BQ7jLbLhdDnI1-7J8hIFKMdNypy-_GPyoWQVwpjrwdnrs_Dvg-37N2xpOzLMkH2YFOunqDqglOZ75tLJOOBKGEfndD1nAFdu9s2uFqt3M1znI8y-gOZqTwZdS9l/w640-h406/DSC_9168.JPG" width="640" /></a></div></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">Bondia Deo Samweli akisaini mkataba wa kuzipiga na Vicent Mbilinyi mbele ya promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' mpambano utakaofanyika April 2 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba</div><p><br /></p>Na Mwandishi Wetu<p></p><p><br /></p><p>BONDIA DEO SAMWELI amesaini mkataba wa kuzipiga na Vicenti Mbilinyi mpambano wa raundi kumi kumi utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Saba saba siku ya Ijumaa Kuu April 2</p><p>Akisaini mkataba uho mbele ya mkurugenzi wa kampuni Tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa amekuja kufanya kazi hivyo mashabiki waje kwa wingi kwani kazi atakayo ifanya siku hiyo si ya kitoto</p><p>aliongeza kwa kuserma kwa sasa anarudi upya katika masumbwi kwani mwishoni mwa mwaka jana alijeruhiwa kidogo hivyo ame mtahadharisha mbilinyi kufanya mazoezi kweli kweli kwani siku hiyo akuto kuwa na msalie mtume</p><p>Katika mpambano uho atampiga kipigo cha mwana ukome ambapo mbilinyi ato weza tena kumtaka Deo Samweli warudiane nae tena</p><p>Nae Promota wa mpambano uho Super D amesema kuwa siku hiyo kutakuwa na burudani ya masumbwi ni vitasa kwa kwenda mbele katika mpambano uliopewa jina la 'No Pain No Gain Fight Nigth'</p><p>pia kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi ya mabondia mbalimbali ambapo Jemsi Kibazange atazipiga na Hamidu Kwata wakati kassim ahamdi atazidunda na Gabriel Chola na Ramadhani Migwede atazichapa na Albano Clement na mpambano mwingine wa kutisha utakuwa kati ya Maono Ally kutoka bagamoyo atazipiga na Meshacki Mwankemwa kutoka Mbeya na Abdul Ubaya kutoka Mlandizi atazidunda na Daudi Mwita wa Dar</p><p> </p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-70950168300814975522021-01-09T01:59:00.001-08:002021-01-09T01:59:18.496-08:00BONDIA AMOSI MWAMAKULA KURUDI KIVINGINE KUZIPIGA FEB 6<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRV-D9SK3yss8Tka-T61X76bWFY1QoPF33BB1Rq2RiGqFXUpchi6LaIxIHFdQ7mruERJEsSSAn2be6gA0o3jqp6zD7CjxKLnmGHzaWG-DrBvsqgkPBunMsr7yixWO9JCmTk_WVSeFd9b7h/s1600/IMG_0950.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRV-D9SK3yss8Tka-T61X76bWFY1QoPF33BB1Rq2RiGqFXUpchi6LaIxIHFdQ7mruERJEsSSAn2be6gA0o3jqp6zD7CjxKLnmGHzaWG-DrBvsqgkPBunMsr7yixWO9JCmTk_WVSeFd9b7h/w640-h480/IMG_0950.JPG" width="640" /></a></div>Kocha wa mchezo wa masumbwi na mateke /kicki Boxing Esmail Abdallah 'Van Dame' kushoto akimwinua mkono juu bondia Amosi Mwamakula kwa ajili ya kumtambulisha katika mpambano wake wa kuzipiga Feb 6 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba na Hashimu Kilaga<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRkgjnMUH1nEZ4aKWm_ZhcN9x8zYDLkFAriE2mAVzw1QS21UQzSRVdCFByFUYn-nYhLd_fmXB44ytxJCHoWPF7sIZ5wiPFI03cVhsU3pG8ZkOz0IkaGBboJZoynVof11i0pr_m9o-qYJJS/s1600/IMG_0955.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRkgjnMUH1nEZ4aKWm_ZhcN9x8zYDLkFAriE2mAVzw1QS21UQzSRVdCFByFUYn-nYhLd_fmXB44ytxJCHoWPF7sIZ5wiPFI03cVhsU3pG8ZkOz0IkaGBboJZoynVof11i0pr_m9o-qYJJS/w640-h480/IMG_0955.JPG" width="640" /></a></div><br /> Kocha wa mchezo wa masumbwi na mateke /kicki Boxing Esmail Abdallah 'Van Dame' kushoto akimtambulisha bondia Amosi Mwamakula kwa ajili ya mpambanmo wake wa kuzipiga Feb 6 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba na Hashimu Kilaga<p></p><p><br /></p><p>Na Mwandishi Wetu</p><p><br /></p><p>BONDIA AMOSI MWAMAKULA ametambulisha mpambano wake wa kuzipiga na Hashimu Kilaga mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Saba saba SIKU YA FEB 6 Dar es salaam</p><p><br /></p><p>akizungumza na waandishi wa habari juu ya mpambano uho kocha wa masumbwi na Mateke Kicki Boxing Esmail Abdallah 'Van Dame' amesema kuwa mwamakula amejiandaa vya kutosha hivyo mpinzani wake nae ajiandae vya kutosha kwani kwa sasa amerudi kivingine</p><p><br /></p><p>ameongeza kwa kusema kwa sasa wanaendelea na mazoezi kwa ajili ya pambano hilo ambalo linandaliwa kwa ubora wa aina yake kwani maandalizi ya mpambano uho sasa yamepamba moto</p><p><br /></p><p>alieleza kuwa mbali na pambano hilo la masumbwi pia kutakuwa na mapambano mengine ya ngumi ambapo bondia Lulu Kayage atazipiga na Agnes Kayange na Jitu Rajabu kutoka kwa Super D Coach atazipiga na Daniel Mwakafyale na Shabani kaoneka atazipiga na Butel Obedi mambano huo unaletwa na Jamukaya kwa kushilikiana na Black Panda utakuwa na kingilio cha shilingi 10,000 TU kwa siku hiyo </p><p><br /></p><p>pia kutakuwa na ngumi za mateke kick Boxing na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa waziri wa Sanaa Michezo Na Utamaduni </p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-47487536738895550342021-01-01T06:06:00.001-08:002021-01-01T06:06:52.041-08:00SUPER D BOXING PROMOTIOBN KUMRUDISHA HAMISI MAYA ULINGONI APRIL 2 SABASABA<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjigVld1xccybU0Q4t6VCuoXUYa7BKza9OmLlhmM-MI9fAhoQdS8iPoaQZ7DOdpTj_ntFrMWBPgRmLBOnB-SAuMXplHj_PzE9qcDqQrNeZbL2NQJdjUHOfqfs7wUDchEwsvv0p9va8w_u8V/s945/29571224_433798130411920_1293767486896045748_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="945" data-original-width="717" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjigVld1xccybU0Q4t6VCuoXUYa7BKza9OmLlhmM-MI9fAhoQdS8iPoaQZ7DOdpTj_ntFrMWBPgRmLBOnB-SAuMXplHj_PzE9qcDqQrNeZbL2NQJdjUHOfqfs7wUDchEwsvv0p9va8w_u8V/w486-h640/29571224_433798130411920_1293767486896045748_n.jpg" width="486" /></a></div><br /> BONDIA HAMISI MAYA<p></p><h3 class="post-title entry-title" itemprop="name" style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 18px; font-stretch: normal; font-variant-east-asian: normal; font-variant-numeric: normal; font-weight: normal; line-height: normal; margin: 0px; position: relative;"><br /></h3><div class="post-header" style="color: #999999; line-height: 1.6; margin: 0px 0px 1.5em;"><div class="post-header-line-1"></div></div><div class="post-body entry-content" id="post-body-8795339184176849313" itemprop="description articleBody" style="font-size: 14.85px; line-height: 1.4; position: relative; width: 688px;"><p> </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSxrHyDkR2KPwkdu9N9v0RDEiMND7GYwnS_DU2-V1r3ni4VlByMHuCJGfsDjkJ0Kqb3_ruouK3OAbh0FnYtg3XzrbeIu6uqtn-EpCIJUDCMWaB6baYDmAgISPulom-iTlXMoPoBRV_5YQP/s960/80841600_838558033269259_4188460615389413376_n.jpg" imageanchor="1" style="color: #6699cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-decoration-line: none;"><img border="0" data-original-height="960" data-original-width="960" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSxrHyDkR2KPwkdu9N9v0RDEiMND7GYwnS_DU2-V1r3ni4VlByMHuCJGfsDjkJ0Kqb3_ruouK3OAbh0FnYtg3XzrbeIu6uqtn-EpCIJUDCMWaB6baYDmAgISPulom-iTlXMoPoBRV_5YQP/w640-h640/80841600_838558033269259_4188460615389413376_n.jpg" style="border: none; position: relative;" width="640" /></a></div><span style="font-size: 14.85px;">Hamisi Maya ambaye ni bingwa wa GBC mkanda unaotambulika Duniani akwa amevalishwa mkanda baada ya kumdunda </span><a class="personLink" href="https://boxrec.com/en/proboxer/833474" style="background-color: #fdfdfd; color: #2f2f2a; font-family: Roboto, sans-serif; font-size: 13px; font-weight: 700; text-decoration-line: none;">Piergiulio Ruhe</a><span style="font-size: 14.85px;"> wa ujerumani na kufanikiwa kurudi na mkanda</span><br /><br />NA MWANDISHI WETU<p></p><p>BONDIA HAMISI MAYA sasa kupanda ulingoni rasmi April 2 katika ukumbi wa Sabasaba Hall uliopo katika viwanja vya Sabasaba akimvaa bondia Alvin Omondi wa Kenya mpambano wa Raundi 8 utakaopigwa katika uzito wa KG 66</p><p><br /></p><p>Akizungumza kuusu mpambano uho Mratibu wa pambano hilo Chaurembo Palasa amesema kuwa baada ya muda mrefu kukaa kimya kwa bondia huyo sasa anaibuliwa upya na kampuni tanzu ya kizarendo ya Super D Boxing Promotion ambao ndio waandaaji wa mpambano uho kwa sasa</p><p><br /></p><p>Hamisi Maya ambaye ni bingwa wa GBC mkanda unaotambulika Duniani ambapo mpaka sasa anasifika kwa kuwapiga mabondia mbalimbali akiwa nje ya nchi ambapo alishawai kumpiga K,O mbaya sana Jems Onyango wa Kenya mpambano uliofanyika <span style="background-color: #fdfdfd; color: #2f2f2a; font-family: Roboto, sans-serif; font-size: 13px;">Charter Hall, Nairobi</span> Kenya na kurudi na ubingwa wa Afrika na kumgalagaza bila ya huruma bondia <a class="personLink" href="https://boxrec.com/en/proboxer/833474" style="background-color: #fdfdfd; color: #2f2f2a; font-family: Roboto, sans-serif; font-size: 13px; font-weight: 700; text-decoration-line: none;">Piergiulio Ruhe</a> wa ujerumani na kufanikiwa kurudi na mkanda</p><p><br /></p><p>Alisema Palasa ata hivyo mapromota wengi wamekuwa wakimkwepa Maya kutokana na uchezaji wake awapo ulingoni ni kama bondia aliyekusudia kuuwa mtu akiwa mchezoni ndio mana ajapata mapambano tangu mwaka 2019 hata hivyo kupitia kampuni yetu ya Super D Promotion tunampa nafasi ya kuonesha Kipaji chake kwa mara nyingine kwa mwaka uhu 2021</p><p>aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho pia kutakuwa na mapambano mengine ya lkukata na shoka ambapo bondia machachali awapo ulingoni Vicent Mbilinyi atazipiga na George Onyango na Fransic Miyeyusho atazipiga na Gabriel Chola wakati Hamidu Kwata atazidunda na Jems Kibazange na juma Abdul wataoneshana kazi na Hamza Mchanjo na Bakari Magona atazipiga na Emanuel Mwakyembe</p><p><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px;" /></p></div>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-87953391841768493132021-01-01T05:55:00.003-08:002021-01-01T05:55:27.672-08:00SUPER D BOXING PROMOTIOBN KUMRUDISHA HAMISI MAYA ULINGONI APRIL 2<p> </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSxrHyDkR2KPwkdu9N9v0RDEiMND7GYwnS_DU2-V1r3ni4VlByMHuCJGfsDjkJ0Kqb3_ruouK3OAbh0FnYtg3XzrbeIu6uqtn-EpCIJUDCMWaB6baYDmAgISPulom-iTlXMoPoBRV_5YQP/s960/80841600_838558033269259_4188460615389413376_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="960" data-original-width="960" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSxrHyDkR2KPwkdu9N9v0RDEiMND7GYwnS_DU2-V1r3ni4VlByMHuCJGfsDjkJ0Kqb3_ruouK3OAbh0FnYtg3XzrbeIu6uqtn-EpCIJUDCMWaB6baYDmAgISPulom-iTlXMoPoBRV_5YQP/w640-h640/80841600_838558033269259_4188460615389413376_n.jpg" width="640" /></a></div><br /><br />NA MWANDISHI WETU<p></p><p>BONDIA HAMISI MAYA sasa kupanda ulingoni rasmi April 2 katika ukumbi wa Sabasaba Hall uliopo katika viwanja vya Sabasaba akimvaa bondia Alvin Omondi wa Kenya mpambano wa Raundi 8 utakaopigwa katika uzito wa KG 66</p><p><br /></p><p>Akizungumza kuusu mpambano uho Mratibu wa pambano hilo Chaurembo Palasa amesema kuwa baada ya muda mrefu kukaa kimya kwa bondia huyo sasa anaibuliwa upya na kampuni tanzu ya kizarendo ya Super D Boxing Promotion ambao ndio waandaaji wa mpambano uho kwa sasa</p><p><br /></p><p>Hamisi Maya ambaye ni bingwa wa GBC mkanda unaotambulika Duniani ambapo mpaka sasa anasifika kwa kuwapiga mabondia mbalimbali akiwa nje ya nchi ambapo alishawai kumpiga K,O mbaya sana Jems Onyango wa Kenya mpambano uliofanyika <span style="background-color: #fdfdfd; color: #2f2f2a; font-family: Roboto, sans-serif; font-size: 13px;">Charter Hall, Nairobi</span> Kenya na kurudi na ubingwa wa Afrika na kumgalagaza bila ya huruma bondia <a class="personLink" href="https://boxrec.com/en/proboxer/833474" style="background-color: #fdfdfd; color: #2f2f2a; font-family: Roboto, sans-serif; font-size: 13px; font-weight: 700;">Piergiulio Ruhe</a> wa ujerumani na kufanikiwa kuruni na mkanda</p><p><br /></p><p>Alisema Palasa ata hivyo mapromota wengi wamekuwa wakimkwepa Maya kutokana na uchezaji wake awapo ulingoni ni kama bondia aliyekusudia kuuwa mtu akiwa mchezoni ndio mana ajapata mapambano tangu mwaka 2019 hata hivyo kupitia kampuni yetu ya Super D Promotion tunampa nafasi ya kuonesha Kipaji chake kwa mara nyingine kwa mwaka uhu 2021</p><p>aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho pia kutakuwa na mapambano mengine ya lkukata na shoka ambapo bondia machachali awapo ulingoni Vicent Mbilinyi atazipiga na George Onyango na Fransic Miyeyusho atazipiga na Gabriel Chola wakati Hamidu Kwata atazidunda na Jems Kibazange na juma Abdul wataoneshana kazi na Hamza Mchanjo na Bakari Magona atazipiga na Emanuel Mwakyembe</p><p><br /></p><div><span style="background-color: #0084ff; color: white; font-family: "Segoe UI Historic", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 15px; white-space: pre-wrap;"><br /></span></div>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-75080233166169979672020-12-15T02:40:00.002-08:002020-12-15T02:40:31.022-08:00SUPER D AMSAINISHA BONDIA HAMISI MAYA KUZIPIGA NA MMISRI FEB 14 SABA SABA HALL<p><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ0ibQMpwjqjMAYWzeHwi1RSrw-R_Y5U3OlBKvmn4Fdj2r08RZ4En4xsERU2P6Kysbuce0c94V8aCkklVqEtx33WG-cQ6MIKrjYxVX3rqRhNVs2UccjrVpRWnE_stldfWQKF0qYdbz_p7q/s1080/131036753_3571800956199355_8425915430917802054_o.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ0ibQMpwjqjMAYWzeHwi1RSrw-R_Y5U3OlBKvmn4Fdj2r08RZ4En4xsERU2P6Kysbuce0c94V8aCkklVqEtx33WG-cQ6MIKrjYxVX3rqRhNVs2UccjrVpRWnE_stldfWQKF0qYdbz_p7q/w640-h426/131036753_3571800956199355_8425915430917802054_o.jpg" width="640" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bondia Hamisi Maya baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga 14 february 2021 katika ukumbi wa Saba saba Hall uliopo katika viwanja vya maonesha Saba saba Maya atacheza na Ahmed Hendy kutoka Egypt</td></tr></tbody></table><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRNkkbAyzFuzEx66eVJ2kHoMES1nvzqQhxkabFIp-JDYDW5ZuGrIihe1s05FQWPuRFmQ_49MTCeBhunxFMR7ALaHUm2fMFkE3MwBUWjMRS5N3DOtZgdiOBE-WoVdzJ9LpUXEaUIPxY2YA-/s562/mhamila+rajabu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="562" data-original-width="562" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRNkkbAyzFuzEx66eVJ2kHoMES1nvzqQhxkabFIp-JDYDW5ZuGrIihe1s05FQWPuRFmQ_49MTCeBhunxFMR7ALaHUm2fMFkE3MwBUWjMRS5N3DOtZgdiOBE-WoVdzJ9LpUXEaUIPxY2YA-/w640-h640/mhamila+rajabu.jpg" width="640" /></a></div>Bondia Hamisi Maya kulia akisaini mkataba wa kuzipiga na Ahmd Hendy kutoka Egpty mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa sabasaba hall uliopo katika viwanja vya maonesho ya biashara Saba Saba kushoto ni promota wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka katika kampuni ya Super D Boxing Promotion<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHU7CxvxE5t8IjOucCxI-gmlpcdw9fcunJ6qXbOgNWZyNYfAXI_jhHZS1DuGTYvFgu5IHIHk83OQ40_bnIDv6A0H8hPZn-bOZDICgAQbQr_t-WWE4blfzGBIBzuHHPzIntwmh0hDnPib3Y/s1080/mhamila.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHU7CxvxE5t8IjOucCxI-gmlpcdw9fcunJ6qXbOgNWZyNYfAXI_jhHZS1DuGTYvFgu5IHIHk83OQ40_bnIDv6A0H8hPZn-bOZDICgAQbQr_t-WWE4blfzGBIBzuHHPzIntwmh0hDnPib3Y/w640-h426/mhamila.jpg" width="640" /></a></div><br /> Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wa pili kushoto akibadilishana mkataba na bondia Hamisi Maya baada ya usaini mkataba uho kushoto ni kocha wa Maya Salum Lusasi<p></p><p><br /></p><p><br /></p><p>Na Mwandishi Wetu</p><p><br /></p><p>PROMOTA wa mchezo wa masumbwi nchni Rajabu Mhamila 'Super D' amemsainisha bondia Hamisi Maya kwa ajili ya kuzipiga na Ahmed Hendy kutoka Egyty mpambano wa raundi 8 utakaofanyika katika ukumbi wa saba saba hall uliopo katika viwanja vya maonesha vya sabasaba</p><p><br /></p><p>akizungumza mara baada ya kutiliana saini katika mkataba wa kuzipiga promota Super D amesema kuwa Maya ni bondia bora mchini ambapo mwaka jana alinyakuwa ubingwa wa mabara wa GBC aliounyakuwa nchini Ujerumani</p><p><br /></p><p>na kufanikiwa kurudi na ubingwa uho hata hivyo mpaka sasa ajautetea hivyo kampuni ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion tumeamua sasa kumuinua kwa kumuandalia mpambano wa kimataifa hapa hapa nyumbani ili aoneshe uwezo wake na kipaji alicho nacho</p><p>hili apate kukionesha mbele ya jamii bondia huyo bingwa wa Ulaya atazipiga nchini kwake mara ya kwanza baada ya kunyakuwa ubingwa uho</p><p><br /></p><p>nae Maya ameshukuru kwa kampuni ya Super D Boxing Promotion kumsainisha kwa ajili ya mpambano wake mwingine wa kimataifa utakaofanyika hapa nchini </p><p><br /></p><p>hivyo naomba mashabiki wangu waje kwa wingi ili niwaoneshe radha ya mchezo wa masumbwi walio ikosa kwa muda mrefu sasa nitacheza kwa kujivunia kwa kuwa nitakuwa katika uwanja wa nyumbambani alisema Maya</p><p><br /></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-52557237474908879822020-10-27T00:59:00.003-07:002020-10-27T00:59:42.958-07:00SUPER D AMNOWA VICENT MBILINYI KUMKABILI SHEDRACK IGNAS NOVEMBA 28 MASAKI<p><br /><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZZRr2jAty7Pgsk_FnBdIDW8NtLjHAQSmz3am4jsWXEVgEB-uFKIiloZs0aGpvE1fanBbSD9TgurffJMD1FMtcm4g6F0hTUJyKbGDc5a4KDWYqx0kJ8uD8_cvxbO3xUTtoW4ofRcvVs7jo/s1008/super+d+mbilinyi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="756" data-original-width="1008" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZZRr2jAty7Pgsk_FnBdIDW8NtLjHAQSmz3am4jsWXEVgEB-uFKIiloZs0aGpvE1fanBbSD9TgurffJMD1FMtcm4g6F0hTUJyKbGDc5a4KDWYqx0kJ8uD8_cvxbO3xUTtoW4ofRcvVs7jo/w640-h480/super+d+mbilinyi.jpg" width="640" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimfundisha bondia Vicent Mbilinyi kupiga ngumi yenye mkunjo wa chini 'UPCAT' kwa ajili ya maandalizi yake na Shedrack Ignas litakalofanyika Novemba 28 katika ukumbi wa Nexrt Door Arena<br /></td></tr></tbody></table><br /> <span style="font-size: x-large;">Na Mwandishi wetu</span></p><p><span style="font-size: x-large;"><br /></span></p><p><span style="font-size: x-large;">BONDIA Vicent Mbilinyi yupo katika maandalizi mazito sana katika kujiandaa kwake kwa mpambano wake na Shedrack Ignas utakaofanyika Novemba 28 katika ukumbi wa Nextri Door Arena Masaki Dar es salaam</span></p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="text-align: left;"><span style="font-size: x-large;">akizungumza wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na pambano hilo Mbilinyi amesema kuwa yeye ngumi ni kazi yake hivyo anaiheshimu kwa kufanya mazoezi kwa bidii na wakati muhafaka kabisa kwani ndio moja na yaisha yake ya kila siku</span></span></div><p></p><p><span style="font-size: x-large;">alivyo ulizwa amejipangaje kumkabili bondia Shedrack Ignas ambaye ni mgumu pia ni nunda kwa uvumilivu wa ngumi hapa nchini</span></p><p><span style="font-size: x-large;">amesema ajakutana na ngumi kali hivyo ajipange kwa kipigo kitakatifu ambacho atampatia bila huruma yani hakika katika ngumi nimejifunza mambo mengi hususani nilivyokwenda safari za nje hivyo siwezi kukubali kupigwa kizembe na kwa uraisi hapa Tanzania</span></p><p><span style="font-size: x-large;">Nae kocha wake ambaye ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kwamba ana shaka na bondia wake huyo kwani yupo fiti na mtiifu wa mazoezi hivyo ushindi kwake kama kumsukuma mlevi kwani ngumi ni kipaji nae anacho hivyo anatumia kipaji </span></p><p><br /></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-57271440618653217242020-10-03T05:15:00.047-07:002020-10-03T05:35:15.042-07:00IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA SIMON NGOMA WATAMBULISHA MPAMBANO WAO WA NOVEMBA 27 PTA<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_md1FfP0AFq_Xuw9RLGxgOPZK8LUKtKnBJ7kShqaXe5jRXFkaNLsbefgZinRFLqcQ8B2NDabudWTIEGJUIrFfPzVBcgDN09dnn2Zwoxyl2RAl0r16FAQReOu_Z46zMWUjGBzn5bl1VF3D/s1296/super+d+class.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="864" data-original-width="1296" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_md1FfP0AFq_Xuw9RLGxgOPZK8LUKtKnBJ7kShqaXe5jRXFkaNLsbefgZinRFLqcQ8B2NDabudWTIEGJUIrFfPzVBcgDN09dnn2Zwoxyl2RAl0r16FAQReOu_Z46zMWUjGBzn5bl1VF3D/w640-h426/super+d+class.jpg" width="640" /></a></div>Promota Ernest Evarast kutoka kampuni ya Mopao katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Simon Ngoma kutoka Zambia kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa GBC utakaofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam novemba 27<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjbGnHeGfQzjaiM_hQbDc5adUc6E82LCljHNiIREuzzXIc1S0k-g9_w-sGaVUJss_tDOBWgzVq_yW65rjRr8LqXWh_FJy19G2neljPQYzklFiGb-OQvnFopcCodqP7Fxu4gOBZZjVeCKEvg/s593/120773542_3385127464866706_1512498709146448560_o.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="395" data-original-width="593" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjbGnHeGfQzjaiM_hQbDc5adUc6E82LCljHNiIREuzzXIc1S0k-g9_w-sGaVUJss_tDOBWgzVq_yW65rjRr8LqXWh_FJy19G2neljPQYzklFiGb-OQvnFopcCodqP7Fxu4gOBZZjVeCKEvg/w640-h426/120773542_3385127464866706_1512498709146448560_o.jpg" width="640" /></a></div><br /> Mabondia pamoja na makocha wao wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutambulisha mpambano wao wa novemba 27 katika ukumbi wa PTA Sabasaba kulia bondia Simon Ngoma kocha wake Antoni Mwaba Kocha wa wa kimataifa wa mchezo wa ngumi Tanzania Rajabu Mhamila 'Super D' Bondia Ibrahimu Class King Class Mawe Dkt Hadija Hamisi Promota Everist Ernes na Ubwa Salumu<p></p><div><br /></div><div><br /></div><div>NA MWANDISHI WETU</div><div><br /></div><div>BONDIA Ibrahimu class 'King Class Mawe' amekutanishwa uso kwa uso na mpinzani wake Simon Ngoma kutoka Zambia ambaye alikuja kusaini mkataba wa kuzipiga Novemba 27 katika ukumbi wa PTA Sabasaba</div><div><br /></div><div>akizungumzia mpambano huo Class amesema kuwa yeye yupo fit ata kwa sasaivi kwa kuwa moto wake bado aujazimika unajua hivi karibuni nimetoka kucheza mchezo na Nassibu Ramadhani na nikafanikiwa kumtwanga bila huruma hivyo na huyu nampiga kama bag naomba watanzania wani sapoti kwa hali na mali na sito wahangusha</div><div><br /></div><div>ata hivyo naomba wadhamini wajitokeze kwa wingi kwani kwa sasa mchezo wa ngumi unaonekana live katika Luninga na umekuwa kwa kira hidara hivyo wadhamini mjitokeze kupromoti mpambano wa masumbwi nchini usonge mbele</div><div><br /></div><div>nae Simoni Ngoma kutoka Zambia amesema kuwa kati ya Tanzania na Zambia ni ndugu hila kwa hili udugu utakaa pembeni na nitamtwanga bila huruma Class</div><div><br /></div><div>nae promota wa mpambano huo Evarist Elnest aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine yenye upinzani zaidi ya hiro ambapo bondia Said Chino atapambana na Haidari Mchanjo na Abdi Kivu atapigana na Maisha Samsoni</div><div><br /></div><div>ameomba mashabiki kujitokeza kwa wingi ili waujaze ukumbi pia ameomba wadhamini wajitokeze kwa wingi kwani nafasi zipo kwa ajili ya udhamini na mpambano bodo tuna utangaza nae kocha wa bondia Class Kocha wa Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa sasa class yupo vizuri na tunaitaji kumbadilisha kidogo katika upiganaji wake ili arete furaha kwa nchi ya Tanzania unajua amebeba watanzania wote watakuwa wanamuangalia Dunia nzima kwa njia mbalimbali hivyo tunategemea ushindi wa mapema alisema Super D</div>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-20098246621545842122020-09-11T05:23:00.001-07:002020-09-11T05:38:18.303-07:00NGUMI KUPIGWA NOVEMBA 28 NEXT DOOR MASAKI<p></p><div style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDbOUPB6PI_-_XGK36Q94UapIwmpGnlHEYMpFr4S0wP1bhV-S5CqZW_zxFAomj4FcVchDktTMIEtMqiB9r7E83nCy8DhoeEmhmuvjAk50M-L1DqWouuo3LoRD0y3kpx3fvkgHiEXxRWdso/s2048/IMG_0355+-+Copy.JPG"><img border="0" data-original-height="1536" data-original-width="2048" height="586" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDbOUPB6PI_-_XGK36Q94UapIwmpGnlHEYMpFr4S0wP1bhV-S5CqZW_zxFAomj4FcVchDktTMIEtMqiB9r7E83nCy8DhoeEmhmuvjAk50M-L1DqWouuo3LoRD0y3kpx3fvkgHiEXxRWdso/w781-h586/IMG_0355+-+Copy.JPG" width="781" /></a></div>Bondia Imani Daidi Mapambano kushoto akituni shiana misuli na Japhert Kaseba Baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Novemba 28 utakaofanyika katika ukumbi wa Nextri Door Masaki katikati ni mratibu wa mpambano uho Amosi Nkondo 'Amoma'<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ_bsLV898-Qtq0dp2TFOEQFUyWloLH7JPi1XG0HJrEKnzXBxwbUT-Uesm6LzCPDWilCXnY2zb1nsjUUXYp_h43btVV2XFlhm2XqWWwzDwJKIN-QWoKy4KxXthCDd7OGPmasQrcxYoXnS7/s2048/IMG_0359+-+Copy.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1536" data-original-width="2048" height="586" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ_bsLV898-Qtq0dp2TFOEQFUyWloLH7JPi1XG0HJrEKnzXBxwbUT-Uesm6LzCPDWilCXnY2zb1nsjUUXYp_h43btVV2XFlhm2XqWWwzDwJKIN-QWoKy4KxXthCDd7OGPmasQrcxYoXnS7/w781-h586/IMG_0359+-+Copy.JPG" width="781" /></a></div>Bondia Imani Daudi Mapambano kushoto akitunishiana misuli na Japhert Kaseba baada ya kusaini kuzipiga Novemba 28 Dar es salaam<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdTJn-dzTblxG8XIJKWQI7rOaEexo_6lE0srT6xkNZlgwC_K1RVYw8THpgzsMqhYLjvXgMQ0xo5yuZQCyqB2x-MkcjOCt6KRC_TnUGZaZK02Zdx356cAwI81MTDslsU292qEymcL-6MYY9/s2048/IMG_0362+-+Copy.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1536" data-original-width="2048" height="586" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdTJn-dzTblxG8XIJKWQI7rOaEexo_6lE0srT6xkNZlgwC_K1RVYw8THpgzsMqhYLjvXgMQ0xo5yuZQCyqB2x-MkcjOCt6KRC_TnUGZaZK02Zdx356cAwI81MTDslsU292qEymcL-6MYY9/w781-h586/IMG_0362+-+Copy.JPG" width="781" /></a></div>Bondia Swalehe Mkalekwa kushoto na Ramadhani Shauli wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Novemba 28 katika ukumbi wa Next Door uliopo Masaki Dar es salaam<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjoj_P8K2pWgK2xLBIZ0ji30WLYdjHBSfS0PXs1ByMKk8uqGBb0iJLJN7x1RRSjHPnUNJU_lK2aOJeGwh2BHZP4etajaEIdT4hD2rfK9ar0568sm01-rgZr4x32Lq4Opmnt6DcylVYslXa-/s2048/IMG_0371+-+Copy.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1536" data-original-width="2048" height="586" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjoj_P8K2pWgK2xLBIZ0ji30WLYdjHBSfS0PXs1ByMKk8uqGBb0iJLJN7x1RRSjHPnUNJU_lK2aOJeGwh2BHZP4etajaEIdT4hD2rfK9ar0568sm01-rgZr4x32Lq4Opmnt6DcylVYslXa-/w781-h586/IMG_0371+-+Copy.JPG" width="781" /></a></div>Mratibu wa mpambano wa masumbwi Amosi Nkondo 'Amoma' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Paul Kamata kushoto na Kanda Kabongo<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left;"><tbody><tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiF-R8TcIo-b5UY3X9I9ZVUld6cnVKlI_ThssuEnsSi1x1dkYg3Xh3N4iqZPxOd78EYWGAzTNX4MKQpDKH_pOG06K0_6sj05tFsCoQJ_5IqXsbXQI8t2pgSqvuLL58XrqS2n8Wv56pJqpVt/s2048/IMG_0374+-+Copy.JPG" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1536" data-original-width="2048" height="586" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiF-R8TcIo-b5UY3X9I9ZVUld6cnVKlI_ThssuEnsSi1x1dkYg3Xh3N4iqZPxOd78EYWGAzTNX4MKQpDKH_pOG06K0_6sj05tFsCoQJ_5IqXsbXQI8t2pgSqvuLL58XrqS2n8Wv56pJqpVt/w781-h586/IMG_0374+-+Copy.JPG" width="781" /></a></td></tr><tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Bondia Paul Kamata kushoto akitunishiana misuli na Kanda Kabongo baada ya kusaini mkataba </td></tr></tbody></table><br /> <p></p>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-85304723498741008842020-07-30T06:03:00.000-07:002020-07-30T06:08:34.658-07:00MABONDIA ABDALLA PAZI NA TWAHA KIDUKU WATAMBULISHA MPAMBANO WAO WA AUGUST 28 UWANJA WA UHURU<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5EjMy3mvzB9_dKjB4UClSh6XW3CGFSztIAX3K4VZ4dCaAlYbRr-3gLl37vL7s3jKQezCGyDy04ssbqWWCw6zfAYbkEDeBDFbAWVvmpt30moFiTTiLI4NchO_8FUO7EFngukO3M9Pt-QKH/s1600/116439889_3191462770899844_8016154512615599784_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="614" data-original-width="920" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5EjMy3mvzB9_dKjB4UClSh6XW3CGFSztIAX3K4VZ4dCaAlYbRr-3gLl37vL7s3jKQezCGyDy04ssbqWWCw6zfAYbkEDeBDFbAWVvmpt30moFiTTiLI4NchO_8FUO7EFngukO3M9Pt-QKH/s640/116439889_3191462770899844_8016154512615599784_n.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-large;">Mabondia Abdallah Pazi kushoto na Twaha Kiduku wakiangaliana kwa usongo wakati wa kutambulisha mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Uhuru August 28 katikati ni Promota wa mpambano uho Jay Msangi 'Jiwe Gumu'</span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixTHelgDUsr-DYSfqIS0oWp9akvbC62QDEEWdiobjLUcGEP5avM1_Fm-PDfvnnrTK-GR_bT7fzQZdHGkIZrcYT5hx2h6qZsHLmjL8O7yosHHhMEomPhgwOld8PMs0b4Y2aAFMx6lwSxi4A/s1600/116798492_3191463207566467_7973120315254596562_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="614" data-original-width="920" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixTHelgDUsr-DYSfqIS0oWp9akvbC62QDEEWdiobjLUcGEP5avM1_Fm-PDfvnnrTK-GR_bT7fzQZdHGkIZrcYT5hx2h6qZsHLmjL8O7yosHHhMEomPhgwOld8PMs0b4Y2aAFMx6lwSxi4A/s640/116798492_3191463207566467_7973120315254596562_n.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Jay Msangi 'Jiwe Gumu' katikati akiwatambulisha mabondia Abdallah Pazi kushoto na Twaha Kiduku watakaopambana August 28 katika uwanja wa Uhuru Dar esa Salaam</td></tr>
</tbody></table>
<br />Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-62222575182935454812020-07-30T05:05:00.001-07:002020-07-30T05:12:07.487-07:00SUPER D AMNOWA JUMA CHOKI KUJIANDAA KUMKABILI EMANUEL MWAKYEMBE AUGUST 14 MLIMAN CITY<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJXRSI_rh0JgoYjn-cklVeIkYxXJ1bD9vvJiC7FdTP9GjMeP7Cw-mD5EJR0Ge5cXbO-tPfAGl5CsTCWq022EGkWdFRtwCUU_kytGZZgvmTYs4Uy7WUIufpyqHrQl_W9hWMYHwtufqTFMb9/s1600/IMG_0174.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJXRSI_rh0JgoYjn-cklVeIkYxXJ1bD9vvJiC7FdTP9GjMeP7Cw-mD5EJR0Ge5cXbO-tPfAGl5CsTCWq022EGkWdFRtwCUU_kytGZZgvmTYs4Uy7WUIufpyqHrQl_W9hWMYHwtufqTFMb9/s640/IMG_0174.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-large;">Bondia Juma Choki kushoto askioneshana Umwamba wa kutupiana makonde na bondia wa kimataifa Ibrahimu Class wakati wa mazoezi yake katika Kambi ya Super D Coach Shule ya Uhuru ya kujiandaa na mpambano wake na Emanuel Mwakyembe utakaofanyika Augost 14 Mlimani City Dar Es Salaam</span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrL585qoc0_-N47WASCp59TLbLfrPjSKpVQI_jr3yBRJe6HIDjjjQNYU-lnjLCqQb8hk4__6g5ACseWaDT2RQpEkOTov34IksQnh09HEvsImWg8Ekyg6TbwLYwL9XtLHhnX78W1YEMyJEQ/s1600/IMG_0168.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrL585qoc0_-N47WASCp59TLbLfrPjSKpVQI_jr3yBRJe6HIDjjjQNYU-lnjLCqQb8hk4__6g5ACseWaDT2RQpEkOTov34IksQnh09HEvsImWg8Ekyg6TbwLYwL9XtLHhnX78W1YEMyJEQ/s640/IMG_0168.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akipambana na Juma Choki katika mazoezi yaliyofanyika katika Kambi ya Super D Coach Shule ya Uhuru Dar Esa salaam Choki anajiandaa na mpambano wake na Emanuel Mwakyembe utakaofanyika augost 14 katika ukumbi wa Mlimani City</td></tr>
</tbody></table>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Na Mwandishi Wetu</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Bondia Juma Choki anaye jiandaa na mbambano wake dhidi ya Emanuel Mwakyembe AUgust 14 katika ukumbi waMlimani City jijini Dar es es salaam amejinasibu kumpiga bondia huyo na kuendeleza ubabe baada ya mara ya kwanza kumpiga na kuwa bingwa wa ubingwa wa king of The Ring katika mashindano yaliyofanyika mwaka jana</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">akijinasibu bondia huyo alivyotembelewa kambini kwake kwa Super D Coach iliyopo shule ya Uhuru Jijini Dar es salaam </span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Amesema kuwa mwakembe ana uwezo wa kukanyaga moto wake ata siku moja kwani kichapo alichompa mara ya kwanza kitakuwa zaidi ya kile </span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">naomba mashabiki waje kuangalia kichapo nitakachompa ulingoni </span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"> kwani ndipo pa kuoneshana uwezo kama anavyosemaga kocha Super D Kazi Kazi No Pain No Gain yani siku hiyo patachimbika hivyo mwakyembe ajipange sana kwana mazoezi ninayofanya na mbinu ninazofundishwa sio za kitoto hatari tupu</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Nae kocha wa bondia huyo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema hii ni vita kubwa sana kwa kuwa kocha wa mwakyembe Edward Lwiyakwipya wamesoma nae pamoja katika ngazi kubwa ya kozi ya kimataifa hata hivyo mimi nina mbinu nyingi zaidi yake ndio mana nilimtwanga katika mpambano wa kwanza na sasa naenda kupiga begi langu tena ata hivyo nita akikisha napata ushindi usiokuwa wa kuwachosha majaji hivyo matumaini yangu ni kumpiga k,o mbaya zaidi</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">ikumbukwe kuwa mabondia wote wenye viwango vya juu nchini wanatoka kwangu ukiangalia mabondia wote wakubwa wanatoka kwangu</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">wanakuwa na viwango vya kimataifa hivyo najivunia kwa hilo ukiangalia mabondia wanaotoka kwangu akuna ata mchovyu mmoja alijinasibu Super D</span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.85px; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Aliongeza kwa kusema mikono yake wamepita mabondia wengi sana akiwemo Sanday Kiwale, Idd Mkwera Vicent Mbilinyi Ibrahimu Class' King Class Mawe' Shomali Milundi Shabani Kaoneka na mabondia mbalimbali nchini wote wamepita katika mikono yangu kwa njia moja au nyingine hapa ndio No Pain No Gain kazi kazi hivyo wapenzi wa ngumi muje kwa wingi kuangalia kazi hii ambayo aita muacha mtu salam siku hiyo katika viwanja vyua mlimani City</span></div>
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-67182882843450059402020-07-09T04:35:00.002-07:002020-07-09T04:54:12.019-07:00BONDIA HASSANI MWAKINYO ATANGAZA MPAMBANO WAKE WA AGOST 14 MLIMANI CITY ATAMVAA TSHIBANGU KAYEMBE WA DRC YA CONGO<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpbG_lncVGQi_u4AokB4mXMKcEJeMywAGGDxq-zLpe_Ev1KKGMQJtJ6fGVOzwfZWju7R1ntzqFAlwrEGtprDaCh4kuDgwmH9znWwfiXO1i-EZoG69AVclsiT8vpO4lE7K04xtW-tGrZnUP/s1600/IMG_1463.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpbG_lncVGQi_u4AokB4mXMKcEJeMywAGGDxq-zLpe_Ev1KKGMQJtJ6fGVOzwfZWju7R1ntzqFAlwrEGtprDaCh4kuDgwmH9znWwfiXO1i-EZoG69AVclsiT8vpO4lE7K04xtW-tGrZnUP/s640/IMG_1463.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Bondia Hassani Mwakinyo kushoto akizungumza na wahandishi wa habari wakati akitangaza mpambano wake wa Agost 14 utakaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Dar Esa Salaam Tanzania wa pili ni Mlatibu wa mpambano uho Beatrice Said na kulia ni bondia Tonny Rashidi nae atamsindikiza Mwakinyo siku hiyo Picha na Super D</td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbcFnMD3Uz2yZy2L-Kt-zK5Mo4UgIscYHD9-k-pvJ1JqAHknu_fpwk-9d9ZQHsirYunbqEIM-_yIIiMVXjel4W9z_hra5S-sqzr6UnPeSX0LH0l3opSg4DAHTLbdlY5AWnRee9vd849j4v/s1600/IMG_1507.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbcFnMD3Uz2yZy2L-Kt-zK5Mo4UgIscYHD9-k-pvJ1JqAHknu_fpwk-9d9ZQHsirYunbqEIM-_yIIiMVXjel4W9z_hra5S-sqzr6UnPeSX0LH0l3opSg4DAHTLbdlY5AWnRee9vd849j4v/s640/IMG_1507.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mlatibu mkuu wa mapambano Beatrice Said kulia ambaye ameandaa mchezo wa masumbwi yatakayofanyika Agost 14 akiwa na bondia Tonny Rashidi atakae tetea ubingwa wake huo na Gabriel Ochieng wa Kenya </td></tr>
</tbody></table>
<br />
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2hTKFXkKvQD2Qs5gT7_nmbAd5LSRK9TUFNpEJ4wb4LvBswdymf6uzWsO2V4ZTDQbh-8ZhKL7KlLyIZ9UhqpOD-4cbiGIopQSbGDfKklDw7hs-i5-lXOLRoY6AnxX5o2vABCzT10w-yNEy/s1600/IMG_1510.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2hTKFXkKvQD2Qs5gT7_nmbAd5LSRK9TUFNpEJ4wb4LvBswdymf6uzWsO2V4ZTDQbh-8ZhKL7KlLyIZ9UhqpOD-4cbiGIopQSbGDfKklDw7hs-i5-lXOLRoY6AnxX5o2vABCzT10w-yNEy/s640/IMG_1510.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mratibu wa mpambano wa masumbwi Beatrice Said akiwa na bondia Hassani Makinyo wakati wa kutangaza mpambano wake wa agost 14 utakaofanyika katika ukumbi wa mlimani city<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<div style="text-align: center;">
<span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><span style="font-size: x-large;">BONDIA Mtanzania Hassan Mwakinyo anatarajia kupanda ulingoni Agosti 14 mwaka huu kumenyana na Bondia kutoka DRC ya Congo Tshibangu Kayembe.</span></span></div>
<span style="font-size: x-large;"><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Pambano hilo la aina yake la kuwania ubingwa wa WBF linatarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Mlimani city ambapo mabondia hao watapambana raundi 12.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Akizungunzia mtanange huo Mwakinyo amesema yuko tayari kwa pambano hilo kwani amejiandaa vya kutosha kuhakikisha anamaliza pambano hilo mapema.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Amesema, maandalizi mazuri ambayo ameyafanya na kuendelea kuyafanya yanazidi kumpa morali zaidi kuelekea pambano hilo ambalo hatokubali kuiangusha Nchi.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
"Tarehe 14 mwezi ujao natamani sana pambano lifike hata siku zikimbie ziwe tano tano, nimejiandaa na naendelea kujiandaa sina shaka wala hofu na bondia yoyote yule aje tu tukutane ulingoni,"</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Aidha Mwakinyo alimuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuri kuunga mkono jitihada za mabondia hapa nchini kama ambavyo amefanya mambo makubwa katika kuendeleza nchi na jina lake kuzidi kuwa kubwa.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Anasema Rais akisapoti mchezo huo hata wao mabondia itakuwa vyema kwao na itazidi kuwapa morali ya hali ya juu kuzidi kulitangaza Taifa.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
"Naimani kubwa na Rais wetu pia nawaomba wadhamini nao wasiutupe mchezo wetu huu unapeperusha vyema bendera ya Tanzania kupitia sisi na hiyo Agosti 14 nitawahahakikishia Watanzania mimi ni nani,"</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Kwa upande wake Mratibu wa matukio kuelekea pambano hilo Beautrice Said amesema katika pambano hilo kutakuwa na mapambano ya utangulizi nane ya utangulizi ambayo yatawakitanisha mabondia wa hapa Tanzania.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Baadhi ya mapambano hayo ni Seleman Kidunda ambaye ataumana na Shaban Kaoneka uzito kg 72, Issa Nampepecha na Khareed Manjee kg 61.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Pia katika pambano hilo kutakuwa na pambano lingine la Kimataifa ambalo litamkutanisha Tony Rashid atakayemualika Mkenya Gabriel Ochieng pambano la raundi 12 kutetea ubingwa wa ABU.</div>
</span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; text-align: start;"><div style="text-align: center;">
Mwakinyo amepambana mapambano 18 na kupoteza mawili huku mpinzani wake Kayembe amecheza mapambano 12 kashinda 9 na kutoka sare 3. </div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
aliongeza kwa kusema kuwa mapambano mengine yatawakutania bondia Juma Choki dhidi ya Emanuel Mwakyembe na Baina Mazola atamkabili Haidari Mchanjo mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano kumi kabla ya mpambano mkubwa wa Mwakinyo</div>
</span></span><br />
<span style="font-size: x-large;"><br /></span>
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-21966013632683873372020-01-25T04:49:00.001-08:002020-01-25T05:09:15.846-08:00SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Na Mwandishi Wetu</span></div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-xyyub5LJL5v-CfErFGVbwaYHJoweCF7FvvUsTrGx5xfIyZAzPBb9CnUx1SdWvhCkQcYcWsxMQKUuZmN8N3syH06QKcCZ_-2pwKSVBB0jLvZprPr0kGDvurvh3pj7GxJb5W4XW9pJ_sF5/s1600/IMG_0909.JPG" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-xyyub5LJL5v-CfErFGVbwaYHJoweCF7FvvUsTrGx5xfIyZAzPBb9CnUx1SdWvhCkQcYcWsxMQKUuZmN8N3syH06QKcCZ_-2pwKSVBB0jLvZprPr0kGDvurvh3pj7GxJb5W4XW9pJ_sF5/s400/IMG_0909.JPG" width="400" /></a><span style="font-size: x-large;">KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa ajili ya mpambano wake wa kugombania ubingwa wa Dunia na Yohana Mchanja mpambano utakaofanyika January 31 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Akizungumza wakati wa mazoezi ya kumuandaa Kiwale amesema kuwa kiwale yupo fiti sana hivyo mashabiki waje kwa wingi wangalie mchezo wa masumbwi yaliyokwenda shule kwa kuwa Kiwale yupo vizuri kwa asilimia mia moja sina shaka nae</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">aliongeza kwa kusema kuwa ushindi wa Kiwale ni K,O tu kwani sisi tunaenda Tanga kama wageni hivyo tunamtaka Mchanja ajiandae kweli kweli kwani sisi tunakuja na moto wenye kazi kubwa sana hivyo atutofanya ajizi katika mpambano huo wa ubingwa wa dania wa U.B.O lazima tutarudi n mkanda Dar es salaam kwa mazoezi tuliyofanya </span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">aliongeza kuwa katika mpambano huo pia ataenda na bondia wake mwingine Hassani Mgaya atakaezipiga na Saidi Mundi mpambano wa raundi sita hivyo mashabiki wa tanga waje kuona timu ya Super D inafanya nini siku hiyo ya january 31 katika uwanja wa Mkwakwani</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">na bondia Sunday Kiwale amesema yeye kama bondia amejiandaa na yupo tayali kwa mchezo ata sasaivi kwani yupo fiti sana ata hivyo tuataanza safari ya kutoka dar siku ya alhamisi na tukifika siku hiyo tutamima uzito kwa ajili ya mpambano siku ya pili yake naomba wakazi wa tanga na vitongoja vyake waje kuangalia ngumi mawe masumbwi</span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnq7rGyRPVl-i5T0oMl1nF0IISRTY9cu_gOr1hTcy_YRbEemRcY48xmzmLi1ktMG__HHGo6q-tz3eJtYaM9e0CAa9YYBE2R2OxtHNRDJ3ejncjM5BMogz-gg1Bx_eF5mAyqWH8kfMmnn9s/s1600/IMG_0904.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnq7rGyRPVl-i5T0oMl1nF0IISRTY9cu_gOr1hTcy_YRbEemRcY48xmzmLi1ktMG__HHGo6q-tz3eJtYaM9e0CAa9YYBE2R2OxtHNRDJ3ejncjM5BMogz-gg1Bx_eF5mAyqWH8kfMmnn9s/s640/IMG_0904.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: x-large;">Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimfundisha bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'UPCAT' kwa ajili ya maandalizi ya mpambano wa bondia huyo utakaofanyika january 31 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga ambapo atazipiga na Yohana Mchanja </span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiQxZf9tFOtL9x557-P43OrBofYLjQWH-8lOHZ97vPb2_R7NB82_3gfUmh1aezu6_rvxXSVUufeMXLWppPwRGsuZNUfW5lF3Rot3NEOcOv_y-YwfPdzYfLpR8nx-PDadMT_-cXss-RZ8DB/s1600/IMG_0905.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1200" data-original-width="1600" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiQxZf9tFOtL9x557-P43OrBofYLjQWH-8lOHZ97vPb2_R7NB82_3gfUmh1aezu6_rvxXSVUufeMXLWppPwRGsuZNUfW5lF3Rot3NEOcOv_y-YwfPdzYfLpR8nx-PDadMT_-cXss-RZ8DB/s640/IMG_0905.JPG" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimwelekeza jinsi ya kupiga ngumi zilizo nyooka bondia Sundasy Kiwale 'Moro Best' ambaye anajiandaa na mpambano wake na Yohana Mchanja utakaofanyika January 31 katika uwanja wa mkwakwani Tanga</td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<br /></div>
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-5533740662124945132019-09-27T02:36:00.000-07:002019-09-27T02:37:14.020-07:00BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;">Na Mwandishi wetu </span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgq7D6cH8li1hOYBFhxL_keWOJciOXw4lQ9qUmE0_K3Yihyx9vWJrdVp9UJXnmALobKn-mli9Sqd7wenfXYtq9KU5N0OwK6Otf1j9-UvluDCtdgNTdaobqEq181zeaT4Gx4coUDAkdxfXHx/s1600/56920224_2202709839775147_9086589659328282624_n%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" data-original-height="960" data-original-width="677" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgq7D6cH8li1hOYBFhxL_keWOJciOXw4lQ9qUmE0_K3Yihyx9vWJrdVp9UJXnmALobKn-mli9Sqd7wenfXYtq9KU5N0OwK6Otf1j9-UvluDCtdgNTdaobqEq181zeaT4Gx4coUDAkdxfXHx/s640/56920224_2202709839775147_9086589659328282624_n%25281%2529.jpg" width="450" /></a></div>
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;">Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano lake litakalo fanyika Oktoba 4 katika ukumbi wa 361 uliopo mwenge jeshini mpambano huo ambao umewekwa kwa ajili ya kupandisha viwango mabondia mbalimbali litakuwa ni sehumu moja ya kuwapongeza mabondia</span><br />
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;">waliofanya vizuri nje ya nchi na kurudi na mikanda mikubwa nchini </span><span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: large; text-align: center;">miongoni mwa m</span><span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: inherit; font-size: large; text-align: center;">abingwa hao ni Abdalah Pazi ,Tonny Rashidi ,Bruno Vifua Viwili mabondia hawo wameleta mikanda hiyo nchini ndani ya mwezi mmoja tu</span><br />
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: inherit; font-size: large; text-align: center;"><br /></span>
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: inherit; font-size: large; text-align: center;">Makubi ametamba kumsambalatisha bila huruma yoyote ile Abdalah wa morogoro kwani ushindi wake ndio utakao msafishia njia ya kwenda juu zaidi katika mapambano ya ngumi anajua kuwa ngumi sio mchezo raisi kama ilivyo kwa michezo mingine</span><br />
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: inherit; font-size: large; text-align: center;"><br /></span>
<span class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: inherit; font-size: large; text-align: center;">nae kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' anaemnowa na kumtafutia mambambano kwa ajili ya kumpandisha Daraja bondia huyo amesema kwa sasa makubi kila pambano lake kwake ni fainal kwani hapa kazi tu No Pain No Gain tutaakikisha tunashinda kila pambano na mpaka atakuwa bingwa wa mabingwa nchini na Duniani alisema Kocha Super d</span>Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-33158358094841293342019-09-27T02:09:00.000-07:002019-09-27T02:09:33.060-07:00BONDIA JUMA CHOKI SASA AWAZIA UBINGWA WA TAIFA BAADA YA KUWA KING OF THE RING<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRcBZN-2tPb1W73XGm3HqkYJu4qxCNZwlmZGgFUpjIlSXqlI1j5OWczzjwR6q0DKcsK5H60pDelhK7pJIyjtqfDQcPXZEhwNZ8iPbgHXrqYBO_dtzHSOnYQJeTBVvn3zGeqaxtebJiOXWA/s1600/71090409_424365208218805_6802758610909659136_n.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" data-original-height="600" data-original-width="480" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRcBZN-2tPb1W73XGm3HqkYJu4qxCNZwlmZGgFUpjIlSXqlI1j5OWczzjwR6q0DKcsK5H60pDelhK7pJIyjtqfDQcPXZEhwNZ8iPbgHXrqYBO_dtzHSOnYQJeTBVvn3zGeqaxtebJiOXWA/s640/71090409_424365208218805_6802758610909659136_n.jpg" width="512" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">NA MWANDISHI WETU</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">BONDIA Juma Choki Baada ya kumgalagaza bila ya huruma Emanuel Mwakyembe na kuchukua ubingwa wa King Of The Ring 2019 katika uzito wa KG 58 amesema ato bweteka kwa kuwachua ubingwa huo </span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">ambapo alipewa zawadi ya pikipiki pamoja na kitita cha shilingi laki tano amesisitiza ato bweteka kwa kuwa bingwa wa mashindano hayo ata hivyo ameomba kuwa andaliwe ubingwa wa taifa ndio matarajio yake kwa sasa akichukuwa ubingwa wa taifa kisha ataenda juu kuchukuwa ubingwa wa Afrika arafu ubingwa wa Dunia</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Bondia huyo mwenye ndoto ya kuwa bingwa wa Dunia kupitia mchezo wa masumbwi nchini Tanzania kwa kuchukuwa mikanda nje ya nchi na kuletea sifa Tanzania </span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Akizungumza kocha wake ambaye ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa choki ni bondia mzuri na malengo yake ni kufika mbali na kweli atafika anapo pataka kwani kwenye nia pana njia</span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">ikumbukwe kuwa mimi ndio nimewatoa mabondia mabingwa wa dunia ambao wamepita katika mikono yangu kama vile Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Idd Mkwela Vicent Mbilinyi Sunday Kiwale Ibrahimu makubi ambaye kwa sasa yupo mazoezini akijiandaa na mpambano wake na <span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; text-align: center;">abdallah kingolwira wa morogoro pambano litakalofanyika Oktoba 4 katika ukumbi wa 361 mwenge pale jeshini</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; text-align: center;"><span style="font-size: x-large;"><br /></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; text-align: center;"><span style="font-size: x-large;">hivyo nina uwakika na mabondia wangu wote ninaowafundisha na siku zoto sinaga kazi mbovu</span></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<br /></div>
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6310313821470669998.post-41466713913058338772019-09-27T01:34:00.001-07:002019-09-27T01:36:45.846-07:00NGUMI KUPIGWA IJUMAA OKTOBA 4 UKUMBI 361 MWENGE<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOYdIQmWNYxikpbECJa0-vcaUG8gBfzbDPY0KrR8uF7HBVLD1yznCaiSO-2Mx27KYjHb9J_WzgPq8nkSbqLJMTjRLKpAluvWFmoDhvA9rBQls7qj_H3oaqAEuwVFYIOen6-p1b-ti7v7kh/s1600/71822034_169481634230702_5502841867777081344_n.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" data-original-height="960" data-original-width="678" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOYdIQmWNYxikpbECJa0-vcaUG8gBfzbDPY0KrR8uF7HBVLD1yznCaiSO-2Mx27KYjHb9J_WzgPq8nkSbqLJMTjRLKpAluvWFmoDhvA9rBQls7qj_H3oaqAEuwVFYIOen6-p1b-ti7v7kh/s320/71822034_169481634230702_5502841867777081344_n.jpg" width="226" /></a></div>
<div style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; margin-bottom: 6px; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Mabondia wa mgumi za kulipwa nchini walioibuka na ushindi wanatarajia kushiriki katika sherehe za kupongezwa na mashabiki wao Oktoba Nne Club 361Mwenge Jijini Dar es Salaam.</span></div>
<div style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Akizungumza na Mwandishi wa Habari hizi Mratibu mkuu wa Pambano la kuwapongeza mabondia hao Selemani Semunyu alisema mipango imekamilika ikiwemo mabondia watakaocheza ingawa maombi ni mengi ya mabondia wengi kutaka kushiriki kuonyesha furaha yao na kuwaunga mkono mabondia wenzao .</span></div>
<div style="background-color: white; color: #1c1e21; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Aliwataja miongoni mwa m<span class="text_exposed_show" style="display: inline; font-family: inherit;">abingwa hao ni Abdalah Pazi ,Tonny Rashidi ,Bruno Vifua Viwili na Nassib Ramadhani kwa pamoja na bondia yeyote bingwa na wameletea taifa heshima kubwa wadau na mashabiki hakuna budi kuwapongeza.</span></span></div>
<div class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1c1e21; display: inline; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif;">
<span style="font-size: x-large;"></span><br />
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">" Serikali na Wabunge wamewapongeza lakini wadau na mashabiki sasa huu ndio wasaa wa kuwapongeza hata kama kuna zawadi ya kuwapa hii ndio sehemu moja lakini sie tunawapongeza kwa pambano" Alisema Semunyu.</span></div>
<span style="font-size: x-large;">
</span>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;">Aliongeza kuwa pambano hili pia litatumika kupata mabondia watakaowania mikanda mwezi Desemba ambapo litafanyika pambano la funga mwaka.</span></div>
<span style="font-size: x-large;">
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
" Watakaofanya vizuri katika pambano hili wataweza kupata nafasi katika pambano la mwezi wa 12 ambapo historia ya Ngumi nchini kwa kipindi cha hivi karibuni itawekwa " Alisema Semunyu.</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
Pia amewashukuru kamisheni ya ngumi za kulipwa kutoa kibali kwa wadhamini Smart Gin na kuomba wadhamini wengine kujitokeza kwa wingi ili kufanikisha kurejesha hadhi ya mchezo wa ngumi nchini.</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
Kwa upande wake mratibu wa kiufundi wa mapambano hayo Yassin Abdalah Ustaadh aliwataja mabondia watakaosindikiza sherehe hiyo kuwa ni issa nampechehe (Dsm) vs alli hamisi (morogoro )</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
Ibrahim Makubi (Dsm)vs abdallah kingolwira ( morogoro )Maganga kulwa (mbagala) vs Said Sudi (M'nyamala) )Hashimu msungo vs Epson john Lewis Salumu omari vs ramadhani chicho</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px; text-align: center;">
Aliongeza kuwa mapambano yanaweza kuongezeka kutokana na mabondia wengine kutafuta nafasi ya kutaka kushiriki Desemba lakini wengine nao wanataka kushiriki kuonesha furaha ya ushindi huo</div>
</span></div>
Superd Boxing Coachhttp://www.blogger.com/profile/07489149405666309224noreply@blogger.com1