Tangazo

Pages

Friday, January 30, 2015

NGUMI KUPIGWA JANUARY 31 MANZESE

Bondia Issa Nampekecha kushoto akitunishiana misuli na Nassibu Ramadhani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho jumamosi ya january 31 kwa ajili ya kugombania ubingwa wa UBO Africa katika ukumbi wa frends corner Manzese katikati ni mratibu wa mpambano huo Antony Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Mohamed Matumla kushoto akitunishiana misuli na Emilio Norfat baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa Frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu

BONDIA Nassibu Ramadhani na Issa Nampekecha wamepima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa UBO Africa

utakaofanyika katika ukumbi wa frends corners Dar es salaam siku ya jumamosi januaru 26 mpambano huo wa raundi kumi

unategemea kuwa na upinzani wa ali ja juu baada ya kila bondia kumtambia mwenzake kuwa atamshinda katika mpambano

huo na kumbwaga mwenzie

mpambano huo wa ubingwa wa raundi kumi utakuwa ukisindikizwa na bondia Mohamed Matumla na Emilion Norfati wa Mosha

ambao utakuwa wa raundi nane
mpambano huo uliobeba hisia za mashabiki wa ngumi Dar es salaam nzima haswa katika vitongoji vya Mwananyamala manzese na Mabibo

kwa upande wa Issa Nampekecha ambaye anatoka maendeo ya Kinondoni pande za mwananyamala amawaadi mashabiki zake kumsambalatisha nassibu Ramadhanikatika raundi za awari nae Ramadhani amesema kuwa ngoma ya kitoto aikeshi  kwa kuwa Issa ni bwana mdogo sana hivyo sito kaa kumfikilia yeye kwa kuwa ile ni njia ya kupita ili nipate kupambana na mabondia ambao nawaitaji kwa ajili ya kulekebisha rekodi yangu vizuri



siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za ngumi  mabingwa wa Dunia akiwemo mpya za masumbwi kati ya bondia Amir Khan vs Nichlaus Maidana na Floyd mayweather vs Nichlaus Maidana one and two Manny Paquaio, Floyd Maywether, Roy Jones,Miguel Cotto,Linox Lewis, David Haye,Mohamed Ali

na wengine wengi DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema kuwa kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.


MAYWEATHER, PACQUIAO WAKUTANA USO KWA USO NA KUSALIMIANA Pacquiao na Mayweather Mayweather akisalimiana na Manny Pacquiao Mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wameudhihirishia ulimwengu kuwa uhasama uliopo kati yao ni wa ulingoni na sio sehemu nyingine, hiyo ni baada ya kukutana uso kwa uso na kusalimiana kama vile sio mahasimu wakubwa. Mabondia hao wanaoshikilia mataji makubwa ya ndondi, walikutana katika uwanja wa American Airlines usiku wa kuamkia leo(Jan27) wakati wa mchezo kati ya timu ya mpira ya Miami Heat na Milwaukee Bucks katika mchezo uliomaliza kwa Bucks kushinda kwa jumla ya vikapu 109 – 102 dhidi ya Heat. Mbali na mchezo huo, mashabiki na wapenzi wa masumbwi Duniani kote wamekuwa wakisubira kwa hamu mpambano wa wawili hao ambao wamekuwa wakitambiana kwa kipindi kirefu unaotajwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu. Watazame hapo chini wakisalimiana Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest 2FACE ANASWA NA MCHEPUKO Mwanamuziki wa Nigeria, Innocent Idibia ‘2face’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya picha zinazomuonyesha akifanya mambo ya chumbani na mwanamke mwengine katika klabu yake ya usiku kuzagaa kama njugu kwenye mitandao mbalimbali. 2face na Annie siku ya harusi yao 2face na Annie siku ya harusi yao Kwa mujibu wa tovuti moja ya udaku nchini humo, imedai mwanamke anayeoneka katika picha hiyo ni mama wa watoto wa tatu wa 2face anayeitwa Pero Adeniyi, ambaye amekuwa akipigwa vita mara kwa mara na mke wa ndoa wa mwanamuziki huyo ‘Annie Idibia’ aliyezaa nae watoto wawili wa kike. 2face mwenye umri wa miaka 39, ameamua kuzima soo hilo kwa ku-post picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na mke wake katika siku yao ya harusi na kuwataka watu wasipende kuingilia mapenzi yao kwani watakuja kuujua ukweli na utawaweka huru. ”Our love does not have 2 make sense 2 u. pls go on with your perfect life and know the true story behind something before u judge and start making nasty comments based on an orchestrated story by some blog.U shall know the truth and the truth shall set u free.LYTID uwana idibia”,aliandika 2face 2face Idibia 2face na katika mapozi tofauti ya kimahaba na mzazi mwenzie,Pero Adeniyi. Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest MAGAZETI YA LEO ALHAMISI . . . . . . . . . . . . . . . DSC08790 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . DSC08804 . . . . DSC08807 . . . DSC08811 . . . . . DSC08810 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Newer Posts Older Posts Home Wanaotembelea Blogu hii Sparkline 2141575 MATOKEO YA KIDATO CHA PILI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA Tanzania National Flag Tanzania National Flag Time Dar es Salaam The Digital Company The Digital Company Mtayarishaji: Mtayarishaji: Richard Mwaikenda BONGO HITS Find more music like this on GongaMx Blog Archive

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin

MAYWEATHER, PACQUIAO WAKUTANA USO KWA USO NA KUSALIMIANA Pacquiao na Mayweather Mayweather akisalimiana na Manny Pacquiao Mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wameudhihirishia ulimwengu kuwa uhasama uliopo kati yao ni wa ulingoni na sio sehemu nyingine, hiyo ni baada ya kukutana uso kwa uso na kusalimiana kama vile sio mahasimu wakubwa. Mabondia hao wanaoshikilia mataji makubwa ya ndondi, walikutana katika uwanja wa American Airlines usiku wa kuamkia leo(Jan27) wakati wa mchezo kati ya timu ya mpira ya Miami Heat na Milwaukee Bucks katika mchezo uliomaliza kwa Bucks kushinda kwa jumla ya vikapu 109 – 102 dhidi ya Heat. Mbali na mchezo huo, mashabiki na wapenzi wa masumbwi Duniani kote wamekuwa wakisubira kwa hamu mpambano wa wawili hao ambao wamekuwa wakitambiana kwa kipindi kirefu unaotajwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu. Watazame hapo chini wakisalimiana Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest 2FACE ANASWA NA MCHEPUKO Mwanamuziki wa Nigeria, Innocent Idibia ‘2face’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya picha zinazomuonyesha akifanya mambo ya chumbani na mwanamke mwengine katika klabu yake ya usiku kuzagaa kama njugu kwenye mitandao mbalimbali. 2face na Annie siku ya harusi yao 2face na Annie siku ya harusi yao Kwa mujibu wa tovuti moja ya udaku nchini humo, imedai mwanamke anayeoneka katika picha hiyo ni mama wa watoto wa tatu wa 2face anayeitwa Pero Adeniyi, ambaye amekuwa akipigwa vita mara kwa mara na mke wa ndoa wa mwanamuziki huyo ‘Annie Idibia’ aliyezaa nae watoto wawili wa kike. 2face mwenye umri wa miaka 39, ameamua kuzima soo hilo kwa ku-post picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na mke wake katika siku yao ya harusi na kuwataka watu wasipende kuingilia mapenzi yao kwani watakuja kuujua ukweli na utawaweka huru. ”Our love does not have 2 make sense 2 u. pls go on with your perfect life and know the true story behind something before u judge and start making nasty comments based on an orchestrated story by some blog.U shall know the truth and the truth shall set u free.LYTID uwana idibia”,aliandika 2face 2face Idibia 2face na katika mapozi tofauti ya kimahaba na mzazi mwenzie,Pero Adeniyi. Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest MAGAZETI YA LEO ALHAMISI . . . . . . . . . . . . . . . DSC08790 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . DSC08804 . . . . DSC08807 . . . DSC08811 . . . . . DSC08810 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Posted by Richard Mwaikenda at Thursday, January 29, 2015 0 comments Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Newer Posts Older Posts Home Wanaotembelea Blogu hii Sparkline 2141575 MATOKEO YA KIDATO CHA PILI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA Tanzania National Flag Tanzania National Flag Time Dar es Salaam The Digital Company The Digital Company Mtayarishaji: Mtayarishaji: Richard Mwaikenda BONGO HITS Find more music like this on GongaMx Blog Archive

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin


Thursday, January 29, 2015

NGUMI KUPIGWA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA


BONDIA KING CLASS MAWE AJIFUA ZAIDI KUMKABILI COSMAS

Kelvin Majiba kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class ' King Class Mawe' jinsi ya kupiga up cat

Kelvin Majiba kuulia akimwelekeza bondia Ibrahimu Class ' King Class Mawe' jinsi ya kupiga up cat


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa m,asumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi kali za kidevu wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya Uhuru wasichana kwa Super D Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa m,asumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi kali za kidevu wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya Uhuru wasichana kwa Super D Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa m,asumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi kali za kidevu wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya Uhuru wasichana kwa Super D Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa m,asumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi kali za kidevu wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya Uhuru wasichana kwa Super D Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D' kulia akiwa na mabondia Omari Bai kushoto Kelvin Majiba na Ibrahimu Class 'King Class Mawe'

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wa pili kushoto akiwa na bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' katikati na bondia mkongwe wa siku nyingi mzee bonzo wa pili kushoto kulia ni Omari Bai na mtoto na Salim Mponda

MABONDIA WAPIMA UZITO KUINGIA URINGONI KESHO IJUMAA 30 JANUARY

Mabondia Julius Kisarawe kushoto akitunishiana msuli na Abdallah Mkumba baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho ijumaa january 30 katika ukumbi wa Manyara Park CCM Tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Julius Kisarawe kushoto akitunishiana msuli na Abdallah Mkumba baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho ijumaa january 30 katika ukumbi wa Manyara Park CCM Tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Abdallah Mkumba akisaini baada ya kupimwa Afya

Mabondia wakisubili kupima Afya

Mabondia SAID MAGIMBA KUSHOTO AKITUNISHIANA MSULI NA AZIZI ABDALLAH BAADA YA KUPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO UTAKAOFANYIKA KESHO IJUMAA KATIKA UKUMBI WA MANYARA PARK TANDALE CCM PICHA NA SUPER D BOXING NEWS







Sunday, January 25, 2015

KING CLASS TEAM YAENDELEA KUJITANGAZA KWA AJILI YA MPAMBANO WA FEB 28


BAADHI YA WAWAKILISHI WA KING CLASS TEAM WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA WAKATI WA KUENDELEA KUTABNGAZA MPAMBANO WA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' KUSHOTO NA COAMAS CHEKA UTAKAOFANYIKA FEB 28 KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA WENGINE KATIKATI NI KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' NA BILALI NGONYANI 'MTEMI WA JELA'
KUTOKA KUSHOTO NI KOCHA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA BILALI NGONYANI
KUTOKA KUSHOTO NI KOCHA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA BILALI NGONYANI










BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AKIMUONESHA KWENYE FLANA HASIMU WAKE COSMAS CHEKA KUWA ATAMFANYIA KITU MBAYA SIKU YA MPAMBANO WAO WA FEB 28 KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Friday, January 23, 2015

NGUMI KUPIGWA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Na Mwandishi Wetu
MPAMBANO wa masumbwi unaosubiliwa kwa hamu kubwa na washabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini kwa sasa ni kati ya bingwa wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Cosmas Cheka ambao watagombania ubingwa wa U.B.O Africa siku ya Feb 28 katika uwanja wa ndani wa Taifa 'Indoor Stadium' pia siku hiyo kutakuwa na mpambano mwingine wa mahasim wawili ni kati ya bondia Fransic Miyeyusho na Fadhili Majiha  yote ikiwa ni mipambano ya raundi kumi kila moja

akizungumza mpambano huo promota Ally Mwazoa amesema ameamua kuwakutanisha mabondia hawo vijana ili wapate changamoto ya mchezo wa masumbwi na unapokuwa bondia unaitajika kila wakati uwe unacheza angalau kwa mwaka ucheze mara nne ili kiwango chako kiweze kupanda vinginevyo kama auchezi kiwango kinashuka hivyo nimeligundua hili na nimeamua kuwaletea mpambano huu mkali wa aina yake kwa ajili ya kuondoa ubishi

aliongeza kuwa siku hiyo kutakuwa na mipambano mingine ya utangulizi ambapo bondia Ramadhani Shauri atapambana na Saidi Mundi wa Tanga na Kazaula Pius wa Morogoro atakumbana na Mwinyi Mzengela wakati Shedrack Ignas atacheza na Husein Mbonde na Sadick Abdulazizi atakumbana na Godfrey Silve na Mohamed Amir atacheza na Fadhili Chamile

siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za ngumi  mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywether, Roy Jones,Miguel Cotto,Linox Lewis, David Haye,Mohamed Ali
na wengine wengi DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema kuwa kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.

NGUMI ZA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA






Thursday, January 22, 2015

ZAINABU ‘IKOTA’ MHAMILA Yoso wa masumbwi anayefuata nyayo za baba yake

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza jinsi ya kurusha makonde bondia Zainabu 'Ikota' Mhamila ambaye ni binti yake anaependa ngumi kwa ajili ya kujiweka fiti katika mazoezi picha na SUPER D BOXING NEWS
JANUARI 14, 2015 alikuwa akisherehekea miaka 13 tangu kuzaliwa kwake, lakini moja ya rekodi nzuri aliyonayo katika ulimwengu wa masumbwi, licha ya umri mdogo alionao ni pambano lake kurushwa ‘live’ runingani miaka mitatu iliyopita.
Pambano hilo alilicheza kwenye Ukumbi wa Panandi Panandi, akiwa na umri wa miaka 10 na kuoneshwa ‘live’ runingani kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1), wakati alipopanda ulingoni kuumana na rafiki yake mkubwa Zulfa Medese.
Hapa namzungumzia bondia chipukizi wa kike nchini, anayethibitisha usemi kuwa; Mtoto wa nyoka, ni nyoka, huyu ni Zainabu Mhamila maarufu kwa jina la Ikota, ambaye ni mtoto wa nguli na kocha wa kimataifa wa mchezo huo, Rajabu Mhamila ‘Super D.’
Katika mahojiano yaliyozaa makala hii, Ikota anakiri wazi kuupenda mchezo wa masumbwi kutokana na ukweli aliouita kuwa ‘masumbwi yako katika damu yake’ kutokana na kuzaliwa katika koo ya wanamasumbwi.
“Nimekulia katika mazingira ya mchezo huu, nadhani hii ndio sababu kuu ya kuupenda. Baba yangu mzazi (Super D) ni kocha wa ndondi na bondia wa zamani, lakini pia baba yangu mkubwa Shabani Mhamila ‘Star Boy ni mwanamasumbwi,” alisema Ikota.
Ikota anayefanya mazoezi yak echini ya ukufunzi wa baba yake Super D, anabainisha kuwa, ukiwaondoa Super D na Star Boy – (ambaye alikuwa bingwa wa Taifa mwaka 2004), mkali mwingine wa mchezo huo katika ukoo wao ni baba yake mdogo.
“Baba yangu mdogo Rashidi Mhamila ‘Nature Fire’ ni mkali pia wa mchezo huu, pamoja na ndugu yetu yetu mwingine Mohammed Hemedi Kidogo ‘Ninja.’ Huo ni uthibitisho kuwa masumbwi ni mchezo ulio kwenye damu yangu,” alisema Ikota.
 
Masomo na michezo kwa mpigo
 
Mwaka huu wa 2015 Ikota ni mwanafunzi wa darasa la saba, katika Shule ya Msingi Msimbazi Mseto, Ilala jijini Dar es Salaam, hii imemlazimu kupunguza ratiba ya ushiriki wake katika ndondi ili kujipa muda zaidi wa kusoma.
“Nimepunguziwa ratiba ya mazoezi na ushiriki wangu kwa ujumla na baba yangu, ili kunipa muda wa kutosha kujisomea kuelekea mitihani ya taifa ya darasa la saba, hivyo kwa sasa nimejikita zaidi katika elimu ili kutojiangusha,” anasema Ikota.
Kwa mujibu wa baba wa binti huyu, Super D, ni kwamba kiwango cha elimu cha Ikota hakijaathiriwa kamwe na ushiriki wake katika michezo na kwamba yuko katika uangalizi salama ambao hauhatarishi umakini wake shuleni.
 
Mabondia wa nje wanaomvutia
 
Ukiondoa mabondia waliojazana katika ukoo wake, Ikota anakiri wazi kuwazimia mabondia wengine wa nje ya nchi, akiwamo mwanamasumbwi anayechanganya na siasa na Mbunge wa Sarangani, Uphilipino, Emmanuel ‘Manny’ Dapidran Pacquiao.
“Lakini pia Ikota ni shabiki wa kutupwa wa bondia tajiri kuliko wananamichezo wote duniani, Floyd Joy Sinclair ambaye anatambulika zaidi kwa jina la Floyd Mayweather Jr,” anasema baba wa Ikota, Super D katika mahojiano haya pia.
 
Changamoto anayokabiliana nayo Ikota
 
Super D anakiri kuwa, changamoto kuu anayokutana na binti yake katika mchezo wa masumbwi ni uhaba wa mabondia chipukizi wa kike, hivyo kumkosesha changamoto ya kupima uwezo wake ulingoni kupitia mapambano ya kirafiki.
“Hata katika pambano lake lililorushwa ‘live’ TBC1, alicheza na rafiki yake Zulfa kutoka na uhaba wa chipukizi wa kike. Nitoe wito kwa wazazi kuwaruhusu mabinti kushiriki masumbwi na kuachana na fikra kuwa huu ni mchezo wa wanaume,” anasema Super D.
 
KWA UFUPI
JINA KAMILI: Zainabu Rajabu Mhamila ‘Ikota’
JINA LA BABA: Rajabu Mhamila ‘Super D’
JINA LA MAMA: Asha Kamnyanga ‘Mama Ikota’
KUZALIWA: Januari 14, 2003
ALIKOZALIWA: Amana Hospitali, Ilala
MCHEZO: Ngumi za Ridhaa
SHULE: Msimbazi Mseto, Ilala Dar
DARASA: La Saba ‘Std VII’
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na binti yake baada ya mazoezi

MABONDIA FRANSIC MIYEYUSHO NA FADHILI MAJIA SASA KUPAMBANA FEB 28

Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na Fadhili Majia baada ya makubaliano ya kupambana feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa 'indoor stadium' katikati ni  mratibu wa mpambano huo Antony Rutta  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na Fadhili Majia baada ya makubaliano ya kupambana feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa 'indoor stadium'  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na Fadhili Majia baada ya makubaliano ya kupambana feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa 'indoor stadium'  Picha na SUPER D BOXING NEWS
FADHILI MAJIA

FRANSIC MIYEYUSHO

Saturday, January 17, 2015

SUPER D AENDELEA KUMNOWA BONDIA KING CLASS MAWE KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE WA UBINGWA WA U.B.O AFRICA FEB 28

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu

KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa
masumbwi nchini anaendelea kumnoa bondia bingwa wa W.P.B.F Africa Ibrahimu Class 'king Class Mawe' kwa ajili ya mpambano wake wa kugombania ubingwa wa U.B.O Africa na Cosmas Cheka  utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa taifa feb 28

akizungumzia mpambano huo Super D amesema kuwa bondia wake kwa sasa ndio bondia bora wa Tanzania baada ya mwaka jana kwenda nchini Zambia na kurudi na ubingwa wa WPBF Africa hivyo kwa nchini akuna bondia yoyote atakae mbabaisha katika uzito wake kwa kuwa yeye ni bingwa wa nje na ndani kumbuka mabondia wengi wanaokwenda nje wanapigwa raundi ya kwanza ya pili au ya tano na king class kafuta uteja wa aina hiyo kwa kumpiga bondia nyumbani kwao na kunyakuwa ubingwa

nae bondia King Class Mawe amesema kwa sasa mda wowote ule hata leo naomba tupigane tu kwa kuwa nipo fiti sana hivyo nipo tayali kwa mpambano huo ninao usubilia kwa hamu kubwa sana ambapo tangia nichukue ubingwa nchini Zambia mwaka jana sijacheza hivyo nina uchu wa kupigana hata leo

ili kuondoa utata watanzania wapate kujua nani zaidi katika mchezo huu wa masumbwi nimesikia sana Cosmas Cheka anatamba hivyo namwambia mimi ni mfalme wao katika masumbwi nchini na awezi kupigana na mimi kwa kuwa yeyey anataka kusafilia nyota ta kaka yake fransic Cheka na awezi nina kila sababu ya kumsambalatisha Cosmas hivyo aje kwa tahadhali

siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za ngumi  mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywether, Roy Jones,Miguel Cotto,Linox Lewis, David Haye,Mohamed Ali
na wengine wengi DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema kuwa kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.