Tangazo

Pages

Thursday, March 31, 2016

MABONDIA WANNE WAPIGWA PINI AKIWEMO THOMAS MASHALI, FRANSIC MIYEYUSHO,NASSIB RAMADHANI NA RAMADHANI SHAULI KUCHEZA NA MABONDIA KUTOKA NJE MEI 14 DAR

Bondia THomasi Mashali kushoto akisaini mkataba mbele ya katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta kwa ajili ya mpambano wake  wa ubingwa wa Dunia na muirani Sajjad Mehrabi utakaofanyika mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia THomasi Mashali katikati akisaini mkataba mbele ya katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta kwa ajili ya mpambano wake  wa ubingwa wa Dunia na muirani Sajjad Mehrabi utakaofanyika mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa kushoto ni bondia Fransic Miyeyusho Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauli kushoto akisaini mkataba wa kuzipiga Mei 14 na bondia Salim Salim kutok Malawi katikati ni katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta na kocha wa bondia huyo  Cristopher Mzazi
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauli akisani mkataba wa kuzipiga na Salim Salim kutoka Malawi mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kulia ni kocha wa bondia huyo  Cristopher Mzazi
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kiongozi wa PST Anton Ruta akitia saini mkataba wa bondia Nassibu Ramadhani kushoto
Bondia Nassibu Ramadhani akisaini mkataba wa kuzxipiga na bondia kutoka nje ya nchi mbele ya katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta kulia na kocha  wa bondia huyo  Cristopher Mzazi 
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Katibu wa shilikisho la Masumbwi Tanzania Anton Ruta akimsainisha bondia Fransic Miyeyusho
Bondia Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' kushoto akisaini mkataba wa kuzipiga na bondia kutoka nje siku ya mei 14 katika uwanja wa ndani wa tasifa kushoto ni kulia ni katibu mkuu wa PST Anton Ruta katikati ni bondia Thomas Mashali Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu
MABONDIA wanne ambao wanatamba nchini Tanzania wamepigwa pini na promota wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Mwanzoa

Baada ya kuwasainisha mikataba mabondia hawo kwa ajili ya kucheza mpambano wa kimataifa utakaofanika jijini Dar es salaam Mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa

Mabondia hawo wenye majina na ndio tishio kwa sasa katika tasinia ya mchezo a masumbwi nchini ni Thomas Mashali atakaegomania ubingwa wa Dunia na

Sajjad Mehrabi kutoka Iran 


Bondia huyo aliemchachafya Fransic Cheka alipozipiga nae hpa nchini Aprili 19 mwaka 2014 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba na kutoka nae Droo


sasa anakuja kuzipiga kwa ajili ya ubingwa wa Dunia nchini Tanzania


Mabondia wngine waliotia saini ya kuzipiga siku hiyo ni Ramadhani hauli atakaezipiga na SalimSali kutoka Malawi


na Nassibu Ramadhani pamoja na Fransici Miyeyusho 'Chichi Mawe' watatafutiwa wapinzani kutoka nje ya nchi


nae katibu wa shilikisho la maswumbwi ya kulipwa  PST Anton Ruta aliyekuwa msimamizi kwa upande wa chama


amesema kuwa mpambano uho wa kimataifa kwa mabondia wote ambapo takribani ugeni wa nchi nne kwa pamoja utakuwa nchini Tanzania kwa ajili ya kuzipiga hapa nchini likiwemo pambano moja la ubingwa wa Dunia linalosubiliwa kwa hamu kubwa sana

 

 Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu


Monday, March 28, 2016

TUNAITAJI UKUMBI BORA WA MCHEZO WA MASUMBWI TANZANIA

Kocha wa Kimastaifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhaila 'Super D' kushoto akimnowa bondia bingwa wa Afrika wa U.B.O nA wpbf Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati akijiandaa na mpsmbano wake wa kimataifa

NDONDI ni miongoni mwa michezo maarufu mno hapa Tanzania na duniani kwa ujumla.

Wapo wanamichezo waliojipatia heshima kubwa duniani kutokana na kufanikiwa kupitia mchezo wa ndondi.

Miongoni mwa wanamichezo hao ni nguli Mohammed Ali, Mike ‘Iron’ Tyson, Evender Holyfield, Floyd Mayweather, Manny Pacquiao na wengineo wengi.
Mchezo wa ngumi katika nchi yetu ya Tanzania unazidi kushika kasi kutokana na kuchipukia kwa mabondia wengi na mapromota ambao wanapigana katika kuwania mataji mbalimbali nje na ndani ya Tanzania na kuandaa mapambano . wapo mabondia wengi katika historia ya Tanzania ambao wamewahi kupigana nje ya nchi hukiwauliza kuhusu ubora wa mchezo wa ngumi katika upande wa vifaa vya mchezo huo ndani ya nchi yetu ni imani yangu waliowengi wanaweza kukubaliana nami kuwa bado unahitaji vitu muhimu ili kuendeleza mchezo huo .

Kwa Tanzania tumekuwa na mabondia wengi ambao wameweza kutingisha nje ya Tanzania kama Stanley Mabesi 'Ninja' Joseph Marwa, Rashid Matumla, Rogers mtagwa ,Habibu Kinyogoli Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi na ni mwanaharakati wa mchezo uho kwa nyanja zote kwa sasa na Emanuel Mlundwa ambao waliweza kutwaa mataji mbalimbali ya mchezo huo.
 jambo moja kuu ambalo watanzania tunalisahau ni kukosekana kwa kumbi bora ya mchezo huo kwa upande mwingine kuna wakati baadhi ya watu wanaohusika na mchezo wa ngumi waliwahi kuwa na wazo hilo lakini nimeona nijaribu kulitilia mkazo .

Natoa mfano kama tulivyo weza kujenga uwanja wa taifa na kuziona nchi kubwa duniani zikija kucheza mechi za kirafiki kama Brazil Ivory Coast  na nyingine basi hata mchezo wa ngumi linawezekana ukitazama kama marekani ambao mchezo huu umekuwa kwa kiwango cha juu kutokana nchi hiyo kuboresha maeneo ya kuchezea kumbuka silinganishi kiwango cha mchezo bali ni namna ya kuboresha.

Kwa Tanzania vipo vyama vingi vya mchezo wa ngumi PST,TPBC,TPBO,KBF bila kusahau kile cha taifa cha BFT lakini ni mara kadhaa Makore Mashaga katibu mkuu wa BFT amekuwa akizungumzia juu ya ukosefu wa vifaa maeneo ya mazoezi na kumbi za kupigania vimekuwa ni vikwazo vikubwa kwa mchezo huo kwa Tanzania kwakuwa serikali imeweza kuleta uwanja mpya wa mpira wa miguu ambao hata mchezo wa kufukuza upepo Riada wanafaidika nao halikadharika wanamuziki kupata studio ya kisasa ya kurekodia muziki bila shaka mchezo wa ngumi nao unahitaji eneo zuri la kuchezea mchezo huo kama ilivyo Las Vegas Nevada na MGM Grand au Madson square ni dhahiri inawezakana kwa Tanzania kuwa na kumbi bora ya kisasa na imani vyama vya mchezo wa ngumi vyote nchini vinaweza kukaa chini na kujadiliana na serikali kupitia wizara ya habari utamaduni na michezo kuhakikisha tunapata kumbi bora ya kisasa ya kupigania ili kuongezea ujuzi na viwango vya mchezo wa ngumi kwa Tanzania.

Kama Ufilipino imeweza kutoa bingwa wa dunia hata Tanzania inaweza pia kwani ukiacha soka mchezo wa ngumi ndio mchezo pekee ambao unakuja kwa kasi pengine liwe ombi rasmi kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Nina maliza kwa kusema kuwa ni imani yangu kuwa kwa kujengwa uwanja huo kutawapa mabondia wa tanzania kujiaamini na kuupanua mchezo huo na unaweza pia kulitangaza jina la Tanzania katika Nyanja za utalii ndani na nje ya Tanzania kama inavyowezekana kuleta mastaa wakubwa wa muziki kutoka ulaya na amerika ni dhahiri hakuna lisilowekana kwa Tanzania .

Lakini ikumbukwe kuwa ndondi ndio mchezo uliotoa mwanamichezo anayelipwa zaidi duniani kwa sasa ambaye si mwingine bali ni Floyd Mayweather, akifuatiwa na Manny Paquaio  mwanasoka raia wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo.

Anayeshika nafasi ya tatu ni mchezaji wa mpira wa kikapu LeBron James, wakati mwanasoka anayechezea Barcelona ya Hispania, Muargentina Lionel Messi akishika nafasi ya tano,
nina mengi ya kuongelea kuhusu mchezo wa masumbwi hila kwa leo naomba nishie hapo
Na: Super D Boxing Coach www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'
--
Super D Boxing Coach
Email.superdboxingcoach@gmail.com
www.burudan.blogspot.com www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mob;+255787 406938
+255713 406938
Po.Box. 15493

Dar es Salaam Tanzania

MADA MAUGO APIGWA T.K.O YA RAUNDI YA TATU WENZAKE WOTE WAKITOKA DROO





Bondia Pus Kazaula kushoto akimrushia kunde la mkono wa kushoto mpinzani wake Seba Temba wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam mpambano uho walitoka droo Picha na SUPER D BOXING NEWS

MABONDIA PIUS KAZAULA WA PILI KUSHOTO AKIWA NA MPINZANI WAKE SEBA TEMBA

REFARII WA MPAMBANO WA MASUMBWI SAID CHAKU AKIWAINUA MIKONO JUU MAONDIA PIUS KAZAULA KUSHOTO NA SEBA TEMBA BAADA YA MPAMBANO WAO KUMALIZIKA KWA DROO Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia mohamed Matumla kushoto akioneshana uwezo wa kutupiana makonde na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano uho ulisha kwa droo  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia mohamed Matumla kushoto akioneshana uwezo wa kutupiana makonde na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano uho ulisha kwa droo  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Mada Maugo kioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Abdallah Pazi wakai wa mpambano wao Pazi alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa ndani wa Taifa  
Mabondia Nassibu Ramadhani kushoto akionshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao wa raundi nane uliofanyika katika uwanja wa ndani wa taifa siku ya jumapili ya psaka mpambano uho ulisha kwa maamuzi ya droo Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano waouliofanyika uwanja wea ndani wa taifa Dar es salaam mpambano uho ulishaa kwa Droo  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Pus Kazaula kushoto akimrushia kunde la mkono wa kushoto mpinzani wake Seba Temba wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam mpambano uho walitoka droo Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Pus Kazaula kushoto akimrushia kunde la mkono wa kushoto mpinzani wake Seba Temba wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam mpambano uho walitoka droo Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

MASHABIKI wapata burudani mashabiki waliofika uwanja wa ndani wa taifa kulikokuwa kunafanyika mchezo wa masumbwi wametoka na furaha tele baada ya kushudia mapambano waliyokuwa wakiyasubili kwa hamu kubwa hapa nchini

akizungumza baada ya kumalizika mpambano uho mratibu wa mapambano hayo Rajabu Mhamili 'Super D' amesema mashabiki wamefuraia mapambano ambayo karibia yote yalimalizika kwa droo

akitaja matokeo ya mapambano hayo amesema bondia Abdallah Pazi 'Dulla Mbabe' alimsambaratisha bondia Mada Maugo kwa T.K.O ya raundi ya tatu wakati Mohamedi Matumla na Cosmas Cheka waritoka droo
wakati Pius Kazaula alitoa Droo na Seba Temba

mpambano mwingine mkali uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabiki wa ngumi nchini 

kati ya bondia Nassibu Ramadhani na Fransci Miyeyusho nawo pia umemalizika kwa sale 

wakati uhu uhu mabondia Mfaume Mfaume na Ramadhani Shauri wanatarajia kusaini mkataba wa kuzipiga siku y mei mosi katika uwanja uho uho wa taifa

Saturday, March 26, 2016

MABONDIA DULA MBABE/MADA MAUGO/COSMAS CHEKA NA MATUMLA WAPIMA UZITO KUPIGANA J2 YA PASAKA TAIFA

NGUMI KUPIGWA KESHO MARCH27 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa katikat ni promota Kaike Siraju Picha na SUPER D BOXING NEWS

abdalla pazzi na mada maugo



ROJAS MASAM AKIPIMWA AFYA

Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


SEBA TEMA KUSHOTO NA PIUS KAZAULA

Mabondia Seba Temba kushoto akitunishiana mkisuli na Pius Kazaula baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpasmbano wao kesho march 27 uwanja wa ndani wa taifa  katikati ni mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu
 
MABONDIA wote wanaicheza siku ya jumapili ya pasaka March 27  uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam wamepima uzito wao kwa ajili ya mpambano uho

akizungumzia mpambano uho mratibu wa pambano hilo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia wote wapo tayali kwa kuwa wapo na afya tele na wameshapia uzito pamoja na afya zao kwa ajili ya mpambano uho
 
ambapo mabondia mahasimu kg 54.9 Fransic Miyeyusho na Nassibu Ramadhani wanakutana kwa mara nyingine kwa ajili ya mpambano wao mwingine baada ya ule wa mwanzo Miyeyusho kuibuka Mbabe

mpambano mwingine mkali utakuwa ni kati ya bondia Mada Maugo kg 79 na Abdallah Pazi ambao wametafutana kwa mda mrefu na sasa wamaliza ubishi siku ya jumapili hii ya march 27 katika uwanja wa ndani wa taifa

Super D aliongeza kwa kusema mabondia wote wamepima uzito pamoja na kuangaliwa afya zao katika ukumbi wa Mango Garden Kinondoni  na mpambano utafanyika jumapili ya Pasaka March 27 uwanja wa ndani wa Taifa

'Super D' aliongeza kwa kusema kuwa mipambano hiyo inayosubiliwa kwa hamu na mashabiki lukuki
 
 kutakuwa na mipambano ya kukata na shoka mingine bondia  

 Pius Kazaula atakumbana na Seba Temba mpambano mwingine utawakutanisha Cosmas Cheka na Mohamed Matumla
 
Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu

NGUMI KUPIGWA KESHO MARCH27 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa katikat ni promota Kaike Siraju Picha na SUPER D BOXING NEWS

abdalla pazzi na mada maugo




Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


SEBA TEMA KUSHOTO NA PIUS KAZAULA

Mabondia Seba Temba kushoto akitunishiana mkisuli na Pius Kazaula baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpasmbano wao kesho march 27 uwanja wa ndani wa taifa  katikati ni mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu
 
MABONDIA wote wanaicheza siku ya jumapili ya pasaka March 27  uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam wamepima uzito wao kwa ajili ya mpambano uho

akizungumzia mpambano uho mratibu wa pambano hilo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia wote wapo tayali kwa kuwa wapo na afya tele na wameshapia uzito pamoja na afya zao kwa ajili ya mpambano uho
 
ambapo mabondia mahasimu kg 54.9 Fransic Miyeyusho na Nassibu Ramadhani wanakutana kwa mara nyingine kwa ajili ya mpambano wao mwingine baada ya ule wa mwanzo Miyeyusho kuibuka Mbabe

mpambano mwingine mkali utakuwa ni kati ya bondia Mada Maugo kg 79 na Abdallah Pazi ambao wametafutana kwa mda mrefu na sasa wamaliza ubishi siku ya jumapili hii ya march 27 katika uwanja wa ndani wa taifa

Super D aliongeza kwa kusema mabondia wote wamepima uzito pamoja na kuangaliwa afya zao katika ukumbi wa Mango Garden Kinondoni  na mpambano utafanyika jumapili ya Pasaka March 27 uwanja wa ndani wa Taifa

'Super D' aliongeza kwa kusema kuwa mipambano hiyo inayosubiliwa kwa hamu na mashabiki lukuki
 
 kutakuwa na mipambano ya kukata na shoka mingine bondia  

 Pius Kazaula atakumbana na Seba Temba mpambano mwingine utawakutanisha Cosmas Cheka na Mohamed Matumla
 
Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu

Monday, March 21, 2016

SUPER D AENDELEA KUWANOWA VIJANA KATIKA MCHEZO WA MASUMBWI


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwafundisha jinsi ya kutupa makonde mabondia Isihaka Lusinde  wa pili kushoto, Castory Manjulungu na Miraji Issa wakati wa mazoezi yao yanayofanyika katika GYM ya Uhuru iliyopo kariakoo Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbi ncgini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwafundisha jinsi ya kutupa makonde mabondia Isihaka Lusinde  kushoto, Castory Manjulungu na  naMiraji Issa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia chipkizi Castory ManjulunguPicha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini akiwasimamia kwa makini mabondia Mohamed Muhuzi kushoto na Yusufu Bahati wakati wakiwa mazoezini Picha na SUPER D BOXING NEWS

MABONDIA KUPIMA UZITO MANGO GARDENI JUMAMOSI KWA AJILI YA KUCHEZA MARCH 27 JUMAPILI YA PASAKA


Na Mwandishi Wetu

MABONDIA waendelea kutambiana kuelekea mpambano wao wa Pasaka march 27 uwanja wa ndani wa Taifa Dar es salaam 

akizungumzia mpambano uho mratibu wa pambano hilo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia wote wapo tayali kwa kuwa wapo na afya tele na wanaendelea na mazoezi yao ya mwisho mwisho kila mmoja akijitamba kumsambalatisha mwenzake 

ambapo mabondia mahasimu Fransic Miyeyusho na Nassibu Ramadhani wanakutana kwa mara nyingine kwa ajili ya mpambano wao mwingine baada ya ule wa mwanzo Miyeyusho kuibuka Mbabe

mpambano mwingine mkali utakuwa ni kati ya bondia Mada Maugo na Abdallah Pazi ambao wametafutana kwa mda mrefu na sasa wamaliza ubishi siku ya jumapili hii ya march 27 katika uwanja wa ndani wa taifa

Super D aliongeza kwa kusema mabondia wote watapima uzito siku ya jumamosi pale katika ukumbi wa Mango Garden Kinondoni  na mpambano utafanyika jumapili ya Pasaka Matrch 27 uwanja wa ndani wa Taifa

'Super D' aliongeza kwa kusema kuwa mipambano hiyo inayosubiliwa kwa hamu na mashabiki lukuki
 
 kutakuwa na mipambano ya kukata na shoka mingine bondia  

 Pius Kazaula atakumbana na Seba Temba mpambano mwingine utawakutanisha Cosmas Cheka na Mohamed Matumla
 
Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu

SALIM MPONDA

SALIM MPONDA

 SALIM MPONDA
SALIM MPONDA

BONDIA SHABANI KAONEKA

BONDIA SHABANI KAONEKA
 BONDIA SHABANI KAONEKA

 SHABANI KAONEKA

BONDIA SHABANI KAONEKA