Tangazo

Pages

Monday, September 30, 2013

MOMBA ASHINDWA KUTAMBA KWA MIYEYUSHO

BINGWA wa Kimataifa wa Ngumi za Kulipwa anayetambuliwa na IBO, Francis Miyeyusho ameendeleza rekodi yake ya kuwachakaza wapinzani wake baada ya mwishoni mwa wiki kumshinda kwa pointi Sadick Momba.Miyeyusho alipata ushindi huo siku ya Jumapili katika pambano lisilo la ubingwa lililochezwa kwenye ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam.
Miyeyusho aliyemchakaza hivi karibuni Mzambia Fidelis Lupupa, alionyesha tangu mwanzoni mwa mchezo huo dhamira yake ya kuibuka ushindi, licha ya Momba kuonyesha upinzani mkubwa.
Wakiviziana na kudonoana kwa zamu, mabondia hao walijikuta wakimaliza pambano hilo la uzito wa bantam bila mashabiki kutabiri mapema nani mshindi kutokana na waliovyoonyesha upinzani katika mchezo huo.
Hata hivyo baada ya kumalizika kwa mchezo na majaji kutoa matokeo yao, mwamuzi Sako Mtilya alimtangaza Miyeyusho kuwa ndiye mshindi na kufanya mashabiki waliofurika kwenye ukumbi huo kumshangilia bondia huyo.
Huo ni ushindi wa 12 mfululizo kwa Miyeyusho ndani ya ardhi ya Tanzania tangu Aprili 2009 akiwapiga mabondia wa ndani na nje ya nchi.
Hata hivyo katika kipindi hicho, bondia huyo mwenye rekodi ya kucheza mapambano 47 na kushinda 36 akipoteza 10 na kuambulia sare mbili alishatoka nje ya nchi mara tatu na mara zote kudundwa na wapinzani wake kwa KO.
Katika pambano jingine la utangulizi Fadhili Awadh alimshinda kwa pointi Mussa Sunga katiika pambano lililokuwa limekaa ufundi.

Sunday, September 29, 2013

FRANSIC MIYEYUSHO AMTWANGA SADIK MOMBA KWA POINT

Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa wa ubingwa uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa  Friends Coner  Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Sadiki Momba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Miyeyusho wakati wa mpambano wao usiokuwa wa ubingwa uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa  Friends Coner  Manzese Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa pointi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
refarii Sako Mtlya akimnyoosha mkono juu bondia  Fransic Miyeyusho baada ya kumgalagaza Bondia Sadiki Momba wakati wa mpambano wao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mussa Sunga kushoto akipambana na Fahiri Awadhi wakati wa mpambano wao uliofganyika jumapili Awadhi alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akitoa maelezo ya DVD zake zenye mabambano ya ngumi makali kwa ajili ya kuangalia na kujifunza ngumi nzito zenye msisimko zinazofanyika duniani kote kocha huyo wa mchezo wa masumbwi alikuwa akionesha DVD za Lenox Lewis,Manny Paquaio,Mohamedi Ali,Floyd Mayweather, na wengine kibao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akitoa maelezo ya DVD zake zenye mabambano ya ngumi makali kwa ajili ya kuangalia na kujifunza ngumi nzito zenye msisimko zinazofanyika duniani kote kocha huyo wa mchezo wa masumbwi alikuwa akionesha DVD za Lenox Lewis,Manny Paquaio,Mohamedi Ali,Floyd Mayweather, na wengine kibao picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya raia wa kigeni kutoka china waliokuja kumsapoti bondia mussa sunga wakiwa katika picha ya pamoja na bondia huyo
DVD KALI ZA MCHEZO WA NGUMI ZINAZOSAMBAZWA NA KOCHA SUPER D
Mashabiki wa mchezo wa masumbwi

Saturday, September 28, 2013

BONDIA ZUMBA KUKWE AMGALAGAZA HAMADUU MWALIMU NYUMBANI KWAKE

Bondia Zumba Kukwe kushoto akimtupia ngumi Hamaduu Mwalimu wakati wa mchezo wao uliofanyika  kwenye ukumbi wa Temeke Mikoroshini ambapo ni nyumbani kwa hamaduu Kukwe alishina kwa K,o ya raundi ya tatu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Refarii Sako Mtlya katikati akimwesabia bonia Hamadu Mwalimu baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Zumba Kukwe kulia Kukwe alishina mchezo huo ka K,O ya raundi ya tatu Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Zumba Kukwe akisagilia ushindi na Kocha wa Mkoa wa Pwani Agostin Uyaga baada ya kwisha mpambano huo
Bondia Mbena Rajabu Kushoto na Kassim Rajabu wakipambana wakati wa mpambano wao wa utangulizi
Matokeo ni Droo
Bondia Saidi Mwalimu kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Zakaria Kibwana wakati wa mchezo wao uliofanyika  katika ukumbi wea super sterio mwalimu alishinda kwa ko, ya raundi ya nne

Thursday, September 26, 2013

MPAMBANO MWINGINE WA MASUMBWI KUWAKUTANISHA CHEKA VS SHAURI OKTOBER 27

Mabondia Ramadhani Shauri na Cosmas Cheka  wakitunishiana misuri wakarti wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa UBO Dar es  salaam
utakaofanyika tarehe 27 mwezi wa kumi 
Promota wa Mpambano wa Ubingwa wa UBO Kaike Siraju katikati akiwanyoosha mikono juu mabondia Ramadhani Shauri kushoto na Cosmasi Cheka watakaopigana tarehe 27 Mwezi wa kumi  jijini Dar es salaam Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 

MPAMBANO WA mwingine wa masumbwi unatarajia kufanyika Oktoba 27 katika ukumbi wa Friends Coner  Manzese Dar es salaam litakalo wakutanisha mabondia Ramadhani Shauri na Cosmas Cheka mpambano huo ulidhaminiwa na Hotel ya Tanamera ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani
 
Akizungumza mratibu wa mpambano huo Kaike Siraju amesema amepata sapoto katika hotel hiyo ili aweze kuendereza vipaji vya vijana unakumbuka mimi ndie ninae andaaga mapambano makubwa nchini kama utakumbuka ila nilisimama kidogo kwa ajili ya kutafakali na kulekebisha mambo yangu binafsi lakini kwa sasa nimekuja kuinua mchezo huu kwa vijana chipkizi kwanza ndio msingi wa ngumi duniani kote
 
aliongeza kwa kutaja mapambano ya utangulizi kuwa ni Mohamed Matumla anamenyana na Sadiki Momba huku Amosi Mwamakula akizichapa na Hamisi Ajali na Juma Fundi atazipiga na Shabani Kilumbelumbe
 
Siku hiyo kutakuwa pia na huzwaji wa DVD kali za ngumi wakiwemo mabondia wakali wanaotamba Duniani na hapa nchini kama.Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
 
DVD hizo za ngumi kali zitakuwa zikiuzwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'
 
Pamoja na kutambua sheria na taratibu za mchezo huo siku hiyo pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo huo wa masumbwi vitakavyotolewa  zawadi kwa mabondia na Kocha Super D  ambaye ame haidi kutoa, Gum Shit ,Clip Bandeji,DVD za Mafunzo kwa mabondia, Bukta,Protector na vifaa mbalimbali kwa mabondia watakao onesha uwezo wa ali ya juu wa kutupiana masumbwi

KARAMA NYILAWILA KUZIPIGA OCTOBA 20

 

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini karama nyilawila ambaye alishawahi kuubeba ubingwa wa dunia wa  WBF –middle weight  kwa kumpiga kreshnik qato Wa Czech republic, katika ukumbi wa Sparta arena, plaque na kutwaa ubingwa  huo ambao una hadhi kama aliokuwa nao francis cheka kwa sasa, ambao baadae aliupoteza ubingwa huo kwa kutoutetea kutokana na kukosa wadhamini wa kumsaidia kuutetea ubingwa wake huo, na kushawishika kucheza na francis cheka  katika pambano alilopoteza na kukaa kimya muda mrefu bila kucheza  pambano la ndani ya nchi.
Karama anategemea kupanda ulingoni  tena tarehe 20 ya mwezi wa kumi katika ukumbi wa ccm mwinjuma.Mwananyamala  kuzipiga na sado philemon katika pambano lililoandaliwa na  bigright promotion.akilizungumzia pambano hilo Ibrahim kamwe anaeleza kuwa maandalizi mpaka sasa yanaenda vizuri pindi yapo katika mazingira magumu kwa wale watakaocheza utangulizi wanajiandaa kiukataukata kwa ajili ya pambano hilo ambalo litakuwa na mapambano mengi ya utangulizi, ukizingatia hatujapata mdhamini wa kudhamini pambano hili ili liwe katika ubora unaotakiwa , lakini tunapambana na tutajitahidi  pambano lifanyike vema tuwatie moyo hawa mabondia wanaochipukia na kuusimamisha vizuri mchezo wetu wa masumbwi.Karama na mwenzie philemon wameshasaini makubaliano ya mchezo huo na wapo katika hali nzuri ya kimchezo.
 
 
 
na
IBRAHIM ABBAS KAMWE

Tuesday, September 24, 2013

BONDIA SAIDI MBELWA AKIPAMBANA UJERUMANI



Bondia Said Mbelwa kusho to akipambana na  Kelemen Balázs  nchini ujerumani bondia huyo mtanzania aliyekuwa akitreniwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' alipoteza mpambano uho kwa point

Bondia Said Mbelwa kusho to akipambana na  Kelemen Balázs  nchini ujerumani bondia huyo mtanzania aliyekuwa akitreniwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' alipoteza mpambano uho kwa point

BONDIA SAIDI MBELWA AKIPAMBANA UJERUMANI

Monday, September 23, 2013

HAYE APASUKA JICHO, ASHINDWA KUMVAA TYSON



BINGWA wa zamani wa uzito wa juu, David Haye amelazimika kusogeza mbele mpambano wake na Tyson Fury uliopangwa kucheza Septemba 28, ambao ulitakiwa kufanyika jijini Manchester kutokana na kupasuka juu ya jicho lake la kushoto.
Haye ambaye alipoteza mkanda wake wa WBA Julai 2011 kwa bingwa Vladimir Klitschko wa Ukrain, alipasuka Ijumaa alipokuwa anafanya mazoezi na Mcroatia, Filip Hrgovic na kulazimika kushonwa nyuzi sita.
Promota wa Haye amesema katia taarifa yake kuwa kutokana na kushonwa nyuzi hizo ambazo zitatolewa baada ya siku saba ndipo watajua lini anaweza kupanda ulingoni kwa ajili ya pambano hilo, hadi sasa hakuna tarehe iliyopangwa.
"Pamoja na maandalizi kuwa yanakwenda vizuri," alisema Haye mwenye miaka 32. "Nilijiandaa vizuri sana na mambo yalikuwa yanakwenda sawa. Lakini kwa sasa, natakiwa kukabiliana na hali iliyotokea."

Sunday, September 22, 2013

ADAMU NGANGE AMTWANGA KWA K,O ISSA MATUMLA

Bondia Adamu Ngange kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Issa Matumla wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa Kilimahewa uliopo Chanika Kigogo Fresh Ngange alishinda kwa K,O ya raundi ya pili Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Adamu Ngange kwenye uringo akikaa pembeni baada ya kumwangusha chini Issa Matumla pembeni
Refarii Saidi Chaku kulia akimpa huduma ya kwanza bondia Issa Matumla baada ya kugalagazwa kwa ngumi na bondia Adamu Ngange
Bondia Antony Mathias kulia akimpiga ngumi mfululizo bondia Ismail Ninja wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa kilimahewa chanika Kigogo Mathias alishinda kwa K,O Fresh Dar es salaam picha na www.superdboxingcopach.blogspot.com
Bondia Antony Mathias AKIWA AMEBEBWA JUU JUU BAADA YA KUPATA USHINDI KWA k,O
MDAU WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI hALIMA kAUBANIKA AKIFATILIA MPAMBANO HUO


Saturday, September 21, 2013

CHAMA CHA NGUMI MKOA WA DAR ES SALAAM 'DABA' WAPATA VIONGOZI WAO

Baadhi ya viongozi waliochaguluwa kuendesha chama cha mchezo wa masumbwi Mkoa wa Dar es salaam DABA wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa uchaguzi huo Zuwena Kipingu  katikati pamoja na mwangalizi mkuu wa uchaguzi Remmy Ngabo kulia Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Add caption

Mwenyekiti wa Mkutano wa Uchaguzi wa viongozi wa mchezo wa Masumbwi Mkoa wa Dar es salaam Zuwena Kibena katikati akizungumza baada ya kumalizika uchaguzi huo na kupatikana viongozi wake Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya wajumbe kutoka klabu ya Ashanti ya Ilala wakifatilia uchaguzi huo kutoka kushoto ni Emanuel Mgaya, Hamisi Manyota na Juma Mwalimu  wakifatilia uchaguzi mkuu wa chama cha mchezo wa ngumi mkoa wa Dar es salaam 'DABA' ULIOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI KATIKA UKUMBI WA ddc mLIMANI

BONIA KALAMA NYILAWILA AKIFATILIA UCHAGUZI HUO

Mweka hazina wa klabu ya Ashanti ya Ilala Emanuel Mgaya akitumbukiza kula yake
Mngombea wa nafasi ya makamu Mwenyekiti Timithi Kingu akijinadi wakati wa kuomba kula
Baadhi ya viongozi wakipiga kula za kuchagua viongozi watakaokiongoza chama cha mchezo wa ngumi Mkoa wa ar es salaam DABA
MMOJA YA MJUMBE ALIYEOMBA  NAFASI YA KATIBU MKUU WAMBOI MANGORE AKIJINADI KWA WAPIGA KULA
MMOJA YA WAJUMBE JAFARI NDAME AKIOMBA KULA ZA KUWA MJUMBE WA KAMATI YA  UHUSIANO HABARI NA MASOKO
Juma Uwesu akiomba kuchaguliwa kwa wapiga kula  ujumbe wa maendeleo ya vijana
Arnord Ngumbi akiomba nafasi ya ujumbe wa vilabu,wilaya na taasisi za umma
Mazimbo Ali akiomba kuwa mjumbe ili awaletee maendereo ya mchezo wa masumbwi kwa upande wa wanawake wanaojiunga na mchezo huo kuhakikisha wanashiriki kama wengine


Thursday, September 19, 2013

DVD MPYA KUTOKA KWA SUPER D BOXING COACH HIZI HAPA



MPAMBANO AMBAO ULIWAKESHESHA WATU MACHO MIMI NIKIWA NI MMOJA WAO kwa MAHITAJI YA DVD WASILIANA 
Rajabu Mhamila 'Super D'
Photojournalist at Majira, Business Times
Email.superdboxingcoach@gmail.com
mhamila1@gmail.com
www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mob;+255787 406938
+255774406938, +255713406938
Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania
Saul 'canelo' alverez bondia mkari kwenye dvd hii unapata gem zake nne pamoja na historia yake ya ngumi na ndie bondia anaekubalika zaidi mexico


DVD ILIYOBEBA WABABE WA ZAMA HIZO MUHAMMAD ALI NA SUGAR RAY LEONARD