Tangazo

Pages

Wednesday, February 26, 2014

MAYWETHER KUPAMBANA NA MAIDANA MEY 3 MGM USA

Mayweather Chooses Maidana
  1. Moja ya picha za kutengeneza alizoziweka bondia Floyd Mayweather Jr kulia akimwazibu
    Marcos Rene Maidana siku itakapo fika mpambano wao ambao umepagwa kufanyika mey 3
  1. BONDIA Floyd Mayweather Jr amesaini mkataba wa makubaliano wa kupambana na bondia Marcos Rene Maidana  Mpambano utakaofanyika siku ya May 3 katika ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena, Las Vegas, Nevada, USA 

  2. Mpambano huo uliokuwa ukigombaniwa na  mabondia wawili akiwemo Amir Khani ambaye kula zake azijatosha kupambana na Floyd Mayweather Jr aliye omba mashabiki wake wampigie kula nani wa kupigana nae ambapo nafasi imemwangukia Maidana

No comments:

Post a Comment