Tangazo

Pages

Sunday, November 17, 2013

MABONDIA WA TANZANIA WACHEZEA VICHAPO RUSSIA

Ramadhani Shauri
MABONDIA waenderea kuchezea vichapo nje ya nchi ambapo bondia

Ramadhani Shauri kapigwa na Roman Andreev wa Russia kwa k,o raundi ya 7

na Nassibu Ramadhani kapigwa na Nikolay Potapov kwa point

na Thomas Mashali kachezea kichapo kutoka kwa Arif Magomedov wa Russia ko ya raundi ya pili

na bondia Alphonce Mchumiatumbo alipata kipigo kutoka kwa Ruslan Semenov raundi ya 4

No comments:

Post a Comment