Tangazo

Pages

Friday, November 15, 2013

MABONDIA WA TANZANIA WACHEZEA KICHAPO CHA K,O AUSTRALIA

KASEBA
 BONDIA Joseph Kaseba  amechezea kichapo kwa kupigwa na Jeremy Van Diemen  wa  Australia, kwa K,O ya raundi ya pili mpambano uliofanyika Metro City, Northbridge nchini Australia 
 nae bondia Jonas Segu alichezea kichapo cha K,O ya raundi ya 5 katika mpambano uliok
uwa wa raundi 6 wakati wa mpambano wa utangulizi michezo ya nchi za nje imekuwa chachu na kuwapatia mabondia wengi nchini kusafili kwenda nchi mbalimbali kwa ajili ya kushiliki mashindano ata hivyo tangia mwaka huu uanze akuna bondia aliyekwishawai kurudi na ushindi nchini kutokana na viwango vyao kuwa vidogo kimchezo na kuto pata sapoti wanapoenda kushiliki mashindano hayo  na taifa wakati wakienda kushiriki michezo hiyo ya masumbwi nje ya nchi


No comments:

Post a Comment