Tangazo

Pages

Thursday, March 7, 2013

MTOTO SUZAN KASEBA ASHEREKEA SIKUKUU YAKE YA KUZALIWA

Bingwa wa ngumi za kulipwa uzito wa kati Japhert Kaseba kulia akiwa amemshika mtoto wake Suzan Kaseba wakati wa sherehe ya mtoto huyo kutimiza umri wa miaka 11 iliyofanyika shuleni kwao wengine ni mama yake mzazi Wema Kaseba pamoja na wanafunzi wanaosoma nao darasa moja katika shule ya msingi ST.Josepher .Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mtoto Zuzan Kaseba akimlisha keki mama yake Wema Kaseba wakati wa kushelekea sikukuu yake ya kuzaliwa iliyofanyika shuleni kwao ST Josephe juzi katikati ni baba yake mzazi Japhert Kaseba bingwa wa taifa wa mchezo wa masumbwi nchini picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bingwa wa Taifa mchezo wa Masumbwi nchini, Japhert Kaseba Katikati   akilishwa keki na mwanae Suzan Kaseba wakati wa sherehe ya mtoto huyo kutimiza miaaka 11 iliyofanyika katika shule ya msingi ST. Josephe Dar es alaam juzi kulia ni mama yake mzazi Wema Kaseba nae akilishwa keki hiyo.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bingwa wa ngumi za kulipwa uzito wa kati Japhert Kaseba kulia akiwa amemshika mtoto wake Suzan Kaseba wakati wa sherehe ya mtoto huyo kutimiza umri wa miaka 11 iliyofanyika shuleni kwao wengine ni mama yake mzazi Wema Kaseba pamoja na wanafunzi wanaosoma nao darasa moja katika shule ya msingi ST.Josepher .Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
BABA MWANA NA MTOTO KATIKA PICHA YA KUMBUKUMBU

Mtoto Zuzan Kaseba

No comments:

Post a Comment