MAUGO ADUNDWA NA CHEKA
Maugo baada ya kupigwa ngumi nyingi katika raundi tatu
mfululizo, kiasi cha kutabiriwa kukaa chini wakati wowote, mwanzoni mwa raundi
ya saba hakurejea ulingoni.
Msaidizi wake, Karama Nyilawila alitupa taulo ulingoni akisema
bondia wake hataendelea na pambano.
Refa John Shipanuka kutoka Zambia aliyelimudu pambano hilo,
alimuinua mkono Cheka kumtangaza mshindi kwa TKO raundi ya saba.
“Pumzi imekata, siwezi kuendelea,”alisema Maugo ambaye leo
alionekana muungwana ingawa hakuwa tayari kusema atahitaji pambano la nne au
la.
Akiwa mwenye furaha, Cheka alisema kwamba anamshukuru Mungu
amemuwezesha kuendeleza ubabe wake kwa mabondia wa Tanzania na sasa anageuzia
makali yake kwa Japhet Kaseba ambaye naye ameomba pambano la marudiano.
Katika pambano la jana, refa Shipanuka alimdhibitu Maugo
mwenye desturi ya kuwakumbatia wapinzani wake ili kukwepa kupigwa na pia kupumzikia
kwenye miili yao.
Kila alipokuwa akimkumbatia Cheka, Shipanuka alikuwa akifika
na kuwaachanisha na kufanya mabondia hao watumie muda mwingi kupigana.
Lakini SMG aliinuka na kuendelea na pambano, ingawa
limchukua hadi raundi ya nne kuanza kuutawala mchezo.
Raundi ya kwanza hadi ya tatu, Maugo alifanya vizuri, lakini
baada ya hapo mambo yalikuwa magumu na tangu hapo wengi walijua angepigwa
wakati wowote.
Katika mapambano ya
utangulizi, mdogo wake Cheka, Cosmass Cheka alipigwa kwa pointi na Sadiki Momba
katika pambano la uzito wa Light, wakati Hajji Juma alimpiga kwa pointi Emmilio
Naffat uzito wa bantam.
Simba Watunduru alimpiga kwa KO raundi ya sita Mohamed
Kashinde katika pambano la uzito wa Feather, wakati Amos Mwamakala alimpiga kwa
pointi Said Muhiddin uzito wa Light.
.jpg)
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Email: dawnacuna314@gmail.com