Tangazo

Pages

Wednesday, April 25, 2012

CHEKA AJIFUA KUMKABILI MAUGO JUMAMOSI


 kocha wa ngumi Abdallah  Ilamba 'Komando'  akimsimamia
Bondia Francis Cheka kufanya mazoezi ya tumbo Dar es Salaam leo mazoezi hayo ya mwisho kwa ajili ya mpambano wake na Mada Maugo wa kugombea mkanda wa I.B.F pamoja na gari utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba, jumamosi hii

No comments:

Post a Comment