Tangazo

Pages

Friday, December 23, 2011

VENAS mPONJI NA CHAULEMBO PALASA KUONESHANA KAZI KESHO

 Mabondia Chaulembo Palasa kushoto na Venas Mponji wakitunishiana misuli leo baada ya kupima uzito kwa ajili yas mpambano wao kesho
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Kaike Silaju (katikati), akiinua mikono ya mabondia, Chaulembo Palasa kushoto na Venasi Mponji, baada ya kupima uzito, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa DDC Keko, Dar es Salaam kesho


 Abed Zugo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake Kesho kushoto ni Zuwena Kibene na MUstafa Buchato
 Bondia Said Zungu akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake kesho kustoto ni Zuwena KIbene na MUstafa Buchato

No comments:

Post a Comment