Tangazo

Pages

Sunday, December 18, 2011

MADA MAUGO AMGALAGAZA SELEMANI SAIDI KWA KO RAUNDI YA TATU


Refarii akimuesabia bondia Selemani Saidi Baada ya kupokea kichapo toka kwa Mada Maugo jana
Bondia Mada Maugo (kulia) akipambana na Selemani Said, wakati wa mpambano wao uliofanyika mzalendo pub jana Maugo alishinda KO raundi ya tatu
Mohamed Bawaziri katikati akiwa na Msanii Khalidi Chuma 'Chokolaa' na Fadhili Majia KUshoto
Wanenguaji wa Bendi ya Mapacha watatu wakiwajibika wakati ma mpambano wa masumbwi mzalendo Pub Dar es salaam jana
Mada Maugo akinyoshwa mkono juu kuashilia ushindi

No comments:

Post a Comment