Tangazo

Pages

Tuesday, December 13, 2011

Bondia Amir Khan apoteza mikanda yake ya ubingwa

 Lamont Peterson baada ya kuvalishwa mikanda yote miwili kwa kumdunda Amir Khan

 Bondia Amir Khan akipata kichapo toka kwa Lamont Peterson mpaka sasa Amir Khan ameshapoteza game 2, kanyanganywa mikanda yote aliyokuwa nayo ya Light walter 140pound = 63.5 kg, mikanda ya WBA, IBF na WBO

No comments:

Post a Comment