Tangazo

Pages

Saturday, December 3, 2011

RASHIDI MATUMLA 'MTOA SUMU' AJIFUA KUMKABILI MANENO OSWARD 'MTAMBO WA GONGO DESEMBA 25


Bondia Rashidi Matumla (kulia) akioneshana ufundi wa kutupa masubwi na Mohamedi Matumla wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano na bondia Maneno Osward Desemba 25 katika ukumbi wa Henlken Kijichi Dar es salaam
ufundi wa masubwi upo hapa picha na (www.superdboxingcoach.blogspot.com)
ngumi ndonga masubwi mwanzo mwisho
Rashidi Matumla akiruka Kamba katika Kambi yake ya Mazoezi iliyopo Keko Dar es salaam leo.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Rashidi Matumla 'Mtoa Sumu' akipiga panch Bang wakati wa mazoezi yake kabla ya kumkabili bondia maneno Osward Desemba 25.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment