Tangazo

Pages

Sunday, September 11, 2011

PACQIAO ATAKIWA KUMCHAPA MARQUEZ

PROMOTA maarufu wa mjini New York Marekani, Bob Arum Amemshauri bondia Manny Pacquaio kupigana kufa na kupona ili aweze kumchapa Juan Mrquez pindi watakapokutana Novemba 12 mwaka huu.

Alisema kuwa hafikirii kama Pacquiao ataweza kushinda kirahisi kama wengi wanavyofikilia pamoja na kukiri kuwa Pacquiao ni mzuri, lakini alimshauli kuwa macho na Marquez kwa sababu naye si wa kumpuuza 

'Namtambua Manny Pacquiao hana uwezo wa kujibu mashambulizi kwa uwezo mkubwa kama anavyofikiriwa; alisema
Aliongeza kuwa wakati  Pacquiao anapokutana na mpambanaji mzuri ,huwa anaishiwa nguvu

No comments:

Post a Comment