Tangazo

Pages

Tuesday, December 4, 2012

Primetime YAKIRI MAKOSA KULIPA FIDIA !



Kituo cha Runinga cha kulipia cha  Primetime kimeomba radhi  kwa mamia ya wateja ambao walishindwa kutazama pambano la bondia  Ricky Hatton's aliporejea ulingoni mara baada ya kupata matatizo ya kiufundi  .' 

Watu walio jaribu kuweka oda zao katika majira ya saa  moja usiku hadi  saa tatu na dakika hamsini 7.10pm and 9.50pm siku ya jumamosi   hawakuweza kutazama  kutokana matatizo ya kiufundi na kukatika kwa matangazo  .

Wateja wengine walilalamika kuwa walikuwa wakiona mwanga wa bluu na mweusi katika kioo baada ya kulipa pauni  £14.95 sawa na shiligi 35000 elfu za kitanzania na wameimbia bbc radio 4 kuwa  Matangazo yao yalipatwa na matatatizo na wanaweza kuwasiliana na mtu yeyote katika kampuni 

Primetime imesema kuwa itashughurikia kila mteja na italipa wateja wote madai yao hasa wale ambao walishindwa kutazama pambano hilo  

Hiii sio mara kwanza kwa  Primetime Au kituo chochote cha runinga cha kulipia kupata matatizo kama hayo .
Mwaka  2009 kituo hicho kilikumbwa na matatizo makubwa ya kiutangazji  katika pambano la  Carl Froch vs Andre Dirrell.
Sky Box  Frank Warren's Box  walikumbwa na matatizo kama hayo .

Primetime Imesema kuwa matatizo ya kuifundi ina maana  tulishundwa kuendelea kufanya kazi hasa pale simu nyingi zilipo kuwa zikimimi nika tulishindwa kuzimudu na haikuwa na maana kuwa tuliziipuuza

No comments:

Post a Comment