Tangazo

Pages

Friday, October 14, 2011

ISSA SEWE AJIFUA KUMKABILI RAMADHANI SHAULI


Kocha mkongwe wa mchezo wa ngumi , Habibu KInyogoli (kulia) akimwelekeza jinsi ya kutupa masubwi bondia Issa Sewe wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es salaam jana Sewe anajiandaa na mpambano wake na Ramadhani Shauli litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment