Tangazo

Pages

Tuesday, March 1, 2016

NGUM KUPIGWA MWANANYAMALA MARCH 3

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA mbalimbali wanatarajia kupmbana siku ya Alhamisi ya March 3 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala jijini Dar Es Salaam
akizungumza wakati wa utambulisho wa mpambano uho wenye lengo la kuinua vipaji vya mabondia chipkizi na kuendeleza wale ambao wanafanya vizuri katika mchezo wa masumbwi

Mratibu wa mpambano uho Ibrahimu Kamwe 'Big Rght'  amesema kuwa uwo ni mpango maalumu ya kukuza vipaji vya mabondia chipkizi utakaokuwa endelevu mpaka pale watakapo wachuja na kupata mabondia wa kuwaendelez zaidi 

alitaja watakaozipiga siku hiyo kuwa ni Mwinyi Mzengera atakaezipiga na George Geremiya wakati Herman Shekivul akimenyana na Seleman Daud wakati Hassani Mbalale atazidunda na Amos Mohando Kassim Chuma atakumbana na Said Nyonzo uku Shaban Manjoly akipambana na Paul Nachelewa wakati Mbena Rajabu atapimana ubavu na Said Katinko na HashimuChisola atakumbana na Sebastian Mkombozi na Maono Ally atacheza na Amani Juma

katika mchezo uho siku hiyo kingilio kitakuwa ni Tsh;5000/= kwa watu wote

nae Promota wa mpambano uho Abuu Chaka  aliongeza kwa kuseka kuwa wameamua kuwainua vijana kwa ajili ya kuendeleza vipaji vyao hivyo amewataka mabondia wote chipkizi kufanya mazoezi na kujituma kwa ajili ya mashindano mbalimbali yatakayokuwa yakifanyika kila mwanzoni mwa mwezi kwa kuwainuwa vijana hawo nimeamua kujitolea 

hivyo naomba wadau wengine wainge mfano uhu wa kujali michezo pia watoe sapoti mbalimbali kwa ajili ya mchezo wa masumbwi mchezo


Katika mpambano uho siku hiyo kutakuwa na huzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria za mchezi huo zikiwa na mabondia wakali akiwemo


Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha


No comments:

Post a Comment