Tangazo

Pages

Saturday, January 2, 2016

MABONDIA WATIFUANA KATIKAS KUFUNGUA MWAKA

Mabondia Shedrack Ignas kushoto akipambana na Abdallah Luwanje wakati wa mpambano wa kufungulia mwaka uliofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese Luwanje alishinda kwa point katika mpambano uho wa kufungulia mwaka 2016 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Abdallah Luwanje akinyooshwa mkono kuashilia ushindi

Bondia Hassani Mgos kushoto akipambana na Hassani Kitango wakati wa mpambano wao Kitango alishinda kwa point katika mpambano uho wa kufungulia mwaka 2016 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Hassan Kitango akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi

Mohamed Kashinde akipambana na Mwinyi Mzengela masbondioa hawo walitoka droo

matokeo ni drooo


Hussein Mbonde akipambana na Shomari milundi katika mpambano uho wa kufungulia mwaka 2016 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Hussein Mbonde akipambana na Shomari milundi katika mpambano uho wa kufungulia mwaka 2016 Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment