Tangazo

Pages

Saturday, January 2, 2016

MABONDIA KUNYUKANA LEO MANZESE FRENDS CORNER

Mabondia Mwinyi Mzengela akitunishiana misuli na Mohamed Kashinde  baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya mpambano wao wa leo litakalofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese leo jumanmosi ya january 2 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Shomari Milundi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wa leo kushoto ni mpinzani wake Hussein Mbonde mpambano wao wa leo litakalofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese leo jumanmosi ya january 2 Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment