Tangazo

Pages

Monday, October 20, 2014

MABONDIA WALIVYO CHAPANA KIN'GONGO KIMARA

 Bondia Stevin Kobelo kushoto akioneshana umwamba na Ally Jaka wakati wa mpambano wao uliofanyika kimara king'ongo Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita Kobelo alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
 Bondia Julius Kisalawe kushoto akipambana na Issa Mangweni wakati wa mpambano wao Kisalawe alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
Bondia Azizi Abdallah kulia akipokea DVD ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kutoka kwa Katibu wa Afya na mazingira katika kata ya kin'gongo Yusuph Malipula picha na SUPER D BLOG

No comments:

Post a Comment