Tangazo

Pages

Wednesday, October 8, 2014

HAMZA MCHANJO AMKAMIA JUMA FUNDI KUMPIGA K,O MBAYA

Bondia Hamza Mchanjo akinolewa na kocha Saidi Chaku katika GYM ya Gongolamboto Dar es salaam jana Mchanjo anajiandaa na mpambano wake na Juma Fundi utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Picha na SUPER D BLOG
Bondia Hamza Mchanjo akinolewa na kocha Saidi Chaku katika GYM ya Gongolamboto Dar es salaam jana Mchanjo anajiandaa na mpambano wake na Juma Fundi utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends Corne Manzese Picha na SUPER D BLOG
Bondia Hamza Mchanjo kushoto akizipiga na Hassan Hoza wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika katika GYM ya Gongolamboto makaburi ya Kichina Dar es salaam Mchanjo anajianaa na mpambano wake na Juma Fundi utakaofanyika

October 25 katika ukumbi wa frends corner manzese Picha na SUPER D BLOG

Bondia Hamza Mchanjo kushoto akizipiga na Hassan Hoza wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika katika GYM ya Gongolamboto makaburi ya Kichina Dar es salaam Mchanjo anajianaa na mpambano wake na Juma Fundi utakaofanyika

October 25 katika ukumbi wa frends corner manzese Picha na SUPER D BLOG

RATIBA YA MABONDIA WATAKAOCHEZA SIKU HIYO YA TAREHE 25/7/2014

No comments:

Post a Comment