Tangazo

Pages

Sunday, February 5, 2012

SUPER D BOXING COACH AJIDHATITI KUENDELEZA MCHEZO WA NGUMI 2012

Baadhi ya Viongozi wa Kamati ya Olimpic Tanzania 'TOC' na viongozi wa Shirikisho la ngumi za Ridhaa Nchini 'BFT' wakiwa katika picha ya pamoja na makocha wa mchezo wa ngumi toka mikoa mbalimbali nchini Tanzania baada ya kupatiwa vyeti vya kutambulika kimataifa baada ya kuhitimu kozi kwa makocha hao
Baadhi ya makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vyeti vyao wakati wa mafunzo ya kimataifa ya mchezo huo yaliyomalizika Kibaha Mkoa wa Pwani jana huku wakiwa wameng'arishwa na fulana zilizotolewa na SUPER D BOXING COACH kama zawadi kwa makocha hao.Baadhi ya makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vyeti vyao wakati wa mafunzo ya kimataifa ya mchezo huo yaliyomalizika Kibaha Mkoa wa Pwani jana huku wakiwa wameng'arishwa na fulana zilizotolewa na SUPER D BOXING COACH kama zawadi kwa makocha hao.
Mkufunzi Mkuu wa Makocha wa Ngumi kutoka Chama cha Mchezo wa Ngumi za Ridhaa Duniani ( AIBA), Josephe Diouf, akimkabidhi cheti cha kufuzu ukocha wa mchezo wa ngumi Kimataifa, Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
Kocha wa KImataifa wa Mchezo wa Ngumi Rajabu Mhamila 'Super d' akiwa ameshika cheti chake alichopewa baada ya kufuzu mafunzo ya ukocha kimataifa yaliyoandaliwa na Kamati ya Olimpic Tanzania kwa kushirikiana na chama cha ngumi cha Dunia 'AIBA'

No comments:

Post a Comment