Tangazo

Pages

Saturday, February 18, 2012

MABONDIA WA UZITO WA JUU KUONESHANA KAZI MANZESE KESHO

Mabondia wa Uzito wa juu, Obadia Mwangi kutoka Kenya (kushoto) na Alphpnce Mchumiatumbo wa Tanzania, wakitunishiana misuri baada ya kupima uzito, Dar es salaam mabondia hawo watapambana kesho katika ukumbi wa Frensi Kona Manzese katikati ni Mratibu wa pambano hilo Huseni Omari.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment