Tangazo

Pages

Thursday, February 18, 2021

BONDIA JEMS KIBAZANGE AMTILIA MKWALA MZITO HAMIDU KWATA WATAZIPIGA APRIL 2 P.T.A SABA SABA

JEMS KIBAZANGE 'DOG LA KIVITA'
 Na Mwandishi Wetu


BONDIA Jems Kibazange 'Dog la Kivita' ameapa kuwa lazima amsambalatishe Hamidu Kwata ifikapo April 2 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba mpambano uho uliopewa jina la 'No Pain No Gain Nigth Fight' kuwa ana uwakika wa kumchakaza Kwata kama mfuko wa mazoezi

akizungumza wakati wa mazoezi yake katika     GYM, ya kocha Maneno iliyopo Manzese Midizini amesema kuwa mimi ndio kiboko ya mbwa koko na kwata ajakutana na viama mimi nimesha wapiga mabondia wote waliopo katika uzito wangu ndio
mana natamba na kwa Tanzania hii mimi sina mpinzani kwani mabondia wote kwangu ni viande nashangaa huyu amekubali vipi kupigana na mimi

naisi njaa tu inamsumbua hivyo naona pesa zake atakazo zipata zitaisha katika matibabu yake kwa kuwa nitampiga bila ya huruma kwani mimi ni kamanda katika mchezo huu wa masumbwi na akuna mtu asiejua uwezo wangu niwapo ulingoni

nakuwa mtu mwingine kabisa ndio mana mtaani kwetu wananita Dog la Kivita na vita hii itaenda kumwangamiza Kwata na kumsababishia kilema cha maisha kwani ngumi ni mchezo wangu nilio uwekea nadhiri ya kuendesha maisha yangu hivyo sito kubali bondia mdogo kama huyu aje kuniaribia kiraisi tu

Nae Promota wa Mpambano Uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka ambapo bondia


vicent Mbilinyi vs Deo samweli rd 10
Ramadhani Mbegu "Migwede" vs Albano Clement Rd 8
4.Daudi Mwita vs Abdul Ubaya Rd 6
5. Hamidu kwata vs James kibazange 10 rd
6.Mustafa Khalidi vs Mrisho mzezele rd 6
7.kassim Ahmad vs Gabriel Chola rd 8
8.Juma Abdul vs Hamza Mchanjo rd6
9.Veronika Thomas vs Fatima Yazidu rd6
10.Frank Lucian vs Juma Kaiza rd8

pia kutakuwa na burudani mbalimbali kwa ajili ya kusapoti mchezo uho utakao kuwa siku ya Ijumaa kuu ya Pasaka


No comments:

Post a Comment