Tangazo

Pages

Friday, March 27, 2015

NGUMI KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MANYARA PARCK CCM TANDALE JUMAMOSI MARCH 28

Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na  Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm Picha na SUPER D BOXING NEWS
Chirstopher Mzazi katikaki akiwainua juu mabondia Julius Kisalawe kushoto na Said Uwezo kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumamosi ya march 28 utakaofanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Yusuph Mkali kushoto akitunishiana misuli na  Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumamosi ya march 28 katika ukumbi wa manyara parck uliopo tandale ccm Picha na SUPER D BOXING NEWS


Na Mwandishi Wetu

Mabondia Julius Kisalawe kutoka Ndame Clab na Said Uwezo kutoka Mzazi GYM wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa taifa utakao fanyika katika ukumbi wa manyara parck ccm tandale march 28 jumamosi

mpambano uho utakuwa chini ya oganaizesheni ya mchezo wa ngumi za kulipwa T.P.B.O ambapo msimamizi wa upimaji uzito Ibrahimu Kamwe alitoa taharifa kuwa bondia Uwezo alikuwa kazidi uzito na kumfanya apewe mda wa kukata uzito kwa masaa matano zaidi ili afikie lengo lake la kugombanmia ubingwa uho ambao unashikiliwa na Kisalawe

bondia huyo alikata uzito kwa mda unaotakiwa na kurusiwa kuwania ubingwa uho wa kg 52

mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali ya kusindikiza mtanange uho ambapo bondia kutoka Super D GYM iliyopo shule ya Uhuru Vicent Mbilinyi atapambana na Yusuph Mkali mpambano wa raundi sita ambapo kiingilio katika mpambano uho ni silingi. 5000 tu na wanawake ni bule kabisa 
 siku hiyo kutakuwa na ulinzi na usalama wa kutosha kwa watu na mali zao 

siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za ngumi  mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywether, Roy Jones,Miguel Cotto,Linox Lewis, David Haye,Mohamed Ali
na wengine wengi DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema kuwa kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.
 

No comments:

Post a Comment