Tangazo

Pages

Tuesday, June 11, 2013

SUPER D AKIAMASISHA MASUMBWI KWA NJIA HII YA KUJIFUNZA KWA DVD

Kocha wa mchezo wa ngumi nchini Rajabu Mhamila Super D akiuza CD za kuona za mchezo huo kwa mabondia tofauti wa ndani na nje ya nchi kabla ya kuanza kwa pambano la ngumi la kuwania ubingwa wa taifa wa PST uwanja wa jamhuri Morogoro Mei 25/ 2013.
 
Hapa Super D akiwa na CD za kuona akiwa amezitandaza mkononi wakati akiwauzia mashabiki wa mchezo wa ngumi kwenye uwanja wa Jamhuri.

No comments:

Post a Comment