Tangazo

Pages

Monday, June 3, 2013

NGUMI ZAPIGWA GONGOLAMBOTO

Bondia Said Mbelwa kulia akimkabizi kikombe cha ushindi bondia Abdul Kessy wakati wa mashinano ya mchezo uho uliofanyika katika ukumbi wa bluu star gongolamboto dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Refarii Said Chaku katikati akiwanyoosha mkono juu mabonia wa kike waliojitokeza kusapoti mchezo huo

ngumi zikipigwa vilivyo wakati wa mpambano uho

mapambano ya utangulizi yakiendelea
Refarii Said Chaku akikata mpambano baada ya bondia mmoja kupigwa upcut na kudondoka chini kushindwa kuendelea na mpambano

Bondia Ane Julius kushoto na Abdul Kessy wakishambuliana kwa zamu wakati wa mchezo huo uliofanyika gongolamboto mwishoni mwa wiki iliyopita kessy alishinda kwa TKO ya raund ya tano picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mada Maugo akimkabizi tuzo bondia Ane Julias baada ya kupigwa na Abdul Kessy kushoto anaeshudia na Said Mbelwa

Bondia Ane Julius kushoto na Abdul Kessy wakishambuliana kwa zamu wakati wa mchezo huo uliofanyika gongolamboto mwishoni mwa wiki iliyopita kessy alishinda kwa TKO ya raund ya tano picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment