Tangazo

Pages

Tuesday, November 27, 2012

TIKETI ZA VIP SASA ZINAPATIKANA

Promota  wa mchezo wa masumbwi Mohamed Bawazir katikati akiwainua mikono juu bondia Fransic Miyayusho kushoto na Nassibu Ramadhani wakati wa kutambulisha mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba siku ya DECEMBER 9, 2012. Tiketi za VIP za mpambano huo kwa sasa zipo tayali kwa maitaji ya kuwai kununua mapema kabla azijaisha wasiliana na Promota kupitia namba  0715 666686 Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Nassibu Ramadhani na Fransic Miyayusho wakitunishiana misuri wakati wa kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa WBF utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam  Tiketi za VIP za mpambano huo kwa sasa zipo tayali kwa maitaji ya kuwai kununua mapema kabla azijaisha wasiliana na Promota kupitia namba  0715 666686   Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mwandaji wa mpambano wa ubingwa wa WBF Mohamed Bawazir katikati akiwa ameshika mkanda na mabondia Nassibu Ramadhani kushoto na Fransic Miyayusho kulia wengine kulia ni Rais wa PST Emanuel Mlundwa ambao na wasimamizi wa mpambano huo na Kushoto ni Mratibu Paul Kunanga na Kocha wa Nasibu Christopher Mzazi

Mabondia Nassibu Ramadhani na Fransic Miyayusho wakitunishiana misuri wakati wa kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa WBF utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment