 Mzee  Salim Said Salim mwandishi mkongwe kutoka Zanzibar wa tatu kutoka kulia  katika picha akiwachekesha meza kuu ya JUKWAA LA  WAHARIRI, mara baada  ya kumaliza shughuli ya kugawa vyeti katika mkutano wa jukwaa la  wahariri unaomalizika leo jijini Arusha, kulia ni Mkurugenzi wa  Mawasiliano Serengeti Breweriers Tedd Mapunda, Nevile Meena Katibu wa  jukwaa la wahariri, kushoto ni   Theophil Makunga mjumbe wa Jukwaa la  Wahariri na  Mhariri mtendaji wa Mwananchi Communication na Mwenyekiti  wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda na Mhariri  wa Tanzania Daima.   Leo baada ya kumaliza mkutano huo  wahariri hao watakwenda mjini moshi ambapo watatembelea kiwanda kipya  cha bia cha Serengeti Breweriers,  baadae watakuwa na mchezo wa mpira wa  miguu kati yao na wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti ,na baadae  watakwenda kushuhudia tamasha la Serengeti Fiesta litakalofanyika  kwenye uwanja wa Ushirika Moshi leo jioni.
Mzee  Salim Said Salim mwandishi mkongwe kutoka Zanzibar wa tatu kutoka kulia  katika picha akiwachekesha meza kuu ya JUKWAA LA  WAHARIRI, mara baada  ya kumaliza shughuli ya kugawa vyeti katika mkutano wa jukwaa la  wahariri unaomalizika leo jijini Arusha, kulia ni Mkurugenzi wa  Mawasiliano Serengeti Breweriers Tedd Mapunda, Nevile Meena Katibu wa  jukwaa la wahariri, kushoto ni   Theophil Makunga mjumbe wa Jukwaa la  Wahariri na  Mhariri mtendaji wa Mwananchi Communication na Mwenyekiti  wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda na Mhariri  wa Tanzania Daima.   Leo baada ya kumaliza mkutano huo  wahariri hao watakwenda mjini moshi ambapo watatembelea kiwanda kipya  cha bia cha Serengeti Breweriers,  baadae watakuwa na mchezo wa mpira wa  miguu kati yao na wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti ,na baadae  watakwenda kushuhudia tamasha la Serengeti Fiesta litakalofanyika  kwenye uwanja wa Ushirika Moshi leo jioni. 
Theophil  Makunga mjumbe wa Jukwaa la Wahariri na  Mhariri mtendaji wa Mwananchi  Communication, akipokea cheti chake kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano  wa Serengeti (SBL)mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa jukwaa la  wahariri. 

Mhariri wa gazeti la Spotstarehe Masoud Sanane akipokea cheti chake. 

Mhariri wa gazeti la michezo la Bingwa Grace Hoka akipokea cheti chake. 

Mhariri wa gazeti la mtanzania Dani Mwakiteleko akipokea. 
 Mhariri wa gazeti la Mwanahalisi Jabir Idrissa akipokea cheti chake
Mhariri wa gazeti la Mwanahalisi Jabir Idrissa akipokea cheti chake 

Deodatus Balile kutoka New Habari akipokea cheti 

Mbaku Mnaku kutoka Busness Time akipokea cheti chake. 

Ima Mbuguni kutoka Busnes Time akipokea cheti. 

Reginand Simon kutoka mwananchi akipokea cheti. 

Scolastica Mazula kutoka Times Radio akipokea cheti. 

Abdallah Majura kutoka Sports FM akipokea cheti. 

George Njogopa mwakilishi wa Dautch velle Sauti ya Ujerumani akipokea cheti. 

John Solombi kutoka BBC akipokea cheti. 

Flora Wingia kutoka Gauardian akipokea cheti. 
 
No comments:
Post a Comment