Tangazo

Pages

Thursday, May 24, 2012

WAPIGANAJI WA MUAY THAI WAPEPERUSHA VEMA BENDERA YA TANZANIA IRANI

Emmanuel SHIJA wa pili kutoka kushoto akiwa na wapiganaji wenzake kabla ya kupanda ulingoni katika mashindano ya Muay thai academy of combat yaliyokua yakifanyika nchini Irani hivi karibuni


WKF TANZANIA has new leader ship. habari za kazi kuanzia 3-9  may 2012 NIMESHIRI KWA MARA YA PILI2011 .IFMA .WMC. terhan iranian kwenye mashindano ya dunia. muay-thai world competitions cup SPORT AND PEACE .tulikua inch 51 na tanzania akiwemo

Daressalam, Tanzania;  with immediate effect we have a new WKF office in Tanzania.
Our new WKF TANZANIA president is Mr. Emmanuel SHIJA. He is expert in Muay Thai and leader of “Tanzania Muay Thai academy” in Daressalam. This is the biggest City in Tanzania, located on the Indian Ocean.
Soon we will see the professional fighters of Tanzania in the World ranking. Mr. Shija confirmed also the participation of the team in the World Championship in Varazdin, Croatia in July.



:



 Emmanuel SHIJA akiwa na shabiki wake baada ya kupigana nchini irani hivi karibuni

No comments:

Post a Comment