Tangazo

Pages

Saturday, May 5, 2012

MDAU WA MASUMBWI AMPA SAPOTI KOCHA KINYOGOLI

 Mdau wa Mchezo wa Masumbwi Yusufu Selemani kushoto akimkabidhi vifaa vya kufundishia Mkurugenzi wa Taasisi ya Kinyogoli Fondition. Habibu Kinyogoli kwa ajili ya kufundisha mabondia katika taasisi hiyo inayoendelea na mchakato wa kutafuta mashindano ya 10 bora yanayoendelea katika ukumbi wa pananda panandi Ilala Bungoni Dar es salaam Kinyogoli ndie kocha mkongwe wa masumbwi aliyewaibua vijana wengi wakiwemo ukoo wa kina Matumla,Josefu Marwa,Iraq Hudu,Rajabu Mhamila 'Super D',Shabani Mhamila 'Star Boy; na wengineo
Mdau wa Mchezo wa Masumbwi Yusufu Selemani kushoto akimkabidhi vifaa vya kufundishia Mkurugenzi wa Taasisi ya Kinyogoli Fondition. Habibu Kinyogoli kwa ajili ya kufundisha mabondia katika taasisi hiyo inayoendelea na mchakato wa kutafuta mashindano ya 10 bora yanayoendelea katika ukumbi wa pananda panandi Ilala Bungoni Dar es salaam Kinyogoli ndie kocha mkongwe wa masumbwi aliyewaibua vijana wengi wakiwemo ukoo wa kina Matumla,Josefu Marwa,Iraq Hudu,Rajabu Mhamila 'Super D',Shabani Mhamila 'Star Boy; na wengineo

No comments:

Post a Comment