Tangazo

Pages

Friday, June 3, 2016

NGUMI ZA KIMATAIFA KUPIGWA KESHO UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUNI 4

Mabondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Msafili Haule baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambao wao utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya jumamosi ya juni 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa mkanda wa ubingwa wa Dunia wa U.B.O Juma Ndamile kushoto akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza mpambano uho pamoja na upimaji uzito kwa mabondia wengine ni Kulwa Makaranga na bondia Cosmas Cheka atakaegombania ubingwa wa Dunia na Chrispin Moliyati mpambao wao utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya jumamosi ya juni 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Lulu Kayage kushoto akitunishiana misuli na mpinzani wake Will Enelesi wa Malawi mpambano wao utafanyika juni 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ashiraf Selemani kutoka Zanzibar  kushoto akitunishiana misuli na ElickGogodo wa Malawi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS



Mabondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Msafili Haule baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambao wao utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya jumamosi ya juni 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Msafili Haule baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambao wao utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya jumamosi ya juni 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Cosmas chka anapanda uringoni kugombania ubingwa wa Dunia wa U.B.O kwa kupambana na Chrispin Moliyati kutoka Malawi mpambano wa raundi 12

wakisindikiza na mabondia chipkizi ambapo bondia kutoka katika kambi ya 'Super D' Vicent Mbilinyi ata kabiliana na bondia kutoka kambi ya akina ukoo wa Matumla Msafili Haule watazipiga katika uzito wa kg 63 mpambano wa raundi 6

mipambano mingine ya kimataifa yaa wakutanisha mabondia wa kike Lulu Kayage wa Tanzania atakaezipiga na Will Eneles kutoka Malawi

wengine ni Japhert Kaseba atazidunda na Amour Mzungu kutoka Zanzibar na Ashiraf Selemani kutoka Zanziba atakumbana na Elick Gogodo wa Malawi katika mchezo wa uzito wa juu kabisa

wakati Alphonce Mchumiatumbo atakabiliana na Mussa Ajibu kutoka Malawi mpambano wa raundi sita

siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi pia ngumi zitaanza mapema kuepusha usumbufu unaojitokezaga kwa wapenzi kuchelewa majumbani mwao kwa ajili ya mchezo wa masumbwi

siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba sheria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo
 

Wednesday, June 1, 2016

TASWA YAUNDA KAMATI YA TUZO ZA WANAMCHEZO BORA TANZANIA 2015/2016


DAR ES SALAAM
 
KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) imemteua Makamu Mwenyekiti wa TASWA, ambaye pia Mhadhiri Msaidizi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Egbert Mkoko (pichani), kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania mwaka 2015/2016.
 
Pia TASWA imeteua wajumbe tisa wa kamati hiyo. Majina yao na vyombo vyao katika mabano ni Mahmoud Zubeiry (Bin Zubeiry Sports- Online), Jane John (TBC), Baruani Muhuza (Azam Media), Limonga Justine (Redio Uhuru), Maulid Kitenge (E-FM Redio), Deogratias Rweyunga (Redio One/ITV), Shaffih Dauda (Clouds Media), Asha Muhaji (Bingwa) na Nelly Mtema (Daily News).
 
Kamati inaweza kuongeza wajumbe wengine au kupunguza kwa kadri itakavyoona inafaa. Utaratibu wa kuizindua kamati hiyo unaandaliwa na sekreterieti ya TASWA. Jukumu la kamati itakuwa ni kuandaa utaratibu wa kuwapata wanamichezo watakaowania tuzo hiyo na pia kuteua washindi kwa kila mchezo.
 
Tuzo za Wanamichezo Bora zinazotolewa kila mwaka na TASWA zimepangwa kufanyika Agosti 26, mwaka huu, Dar es Salaam zikihusisha michezo mbalimbali.
ZIARA YA MAFUNZO NAIROBI
 
TASWA kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Kenya, vimeanzisha program ya ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu baina ya vyama hivyo viwili, ikiwa katika makundi tofauti ya wahariri/waandishi waandamizi na kundi lingine la waandishi wa habari chipukizi.
 
Kwa kuanzia wahariri wa habari za michezo 18 au wale wenye uzoefu katika uandishi usiopungua miaka kumi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wataenda Nairobi kwa ziara ya mafunzo kuanzia Julai 6-9 mwaka huu.
 
Tunaamini wakirudi wataendelea kuwa waalimu wazuri kwa wale chipukizi, ambao nao watapata fursa kama hiyo siku za usoni.
 
Imetolewa na :
 
Amir Mhando
Katibu Mkuu TASWA
01/06/2016

SUPER D BOXING PROMOTION AKIWA NA WADAU WA UKWELI KATIKA BOXING

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AKIWA NA MDAU MKUWA WA MASUMBWI NCHINI KHALIFA MOHAMED
NIKIWA NA MAPROMOTA WAKUBWA NCHINI WA MCHEZO WA NGUMI KUTOKA KUSHOTO NI KAIKE SIRAJU NA ALLY MAZOWA PAMOJA NA KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJHABU MHAMILA 'SUPER D'
KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' KUSHOTO AKIWA NA MABONDIA MADA MAUGO, ABDALLAH PAZI NA RAIS WA TPBO YASINI ABDALLAH
WADAU WA MCHEZOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
WADAU WA MCHEZOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
WADAU WA MCHEZOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
RAJABU MHAMILA 'SUPER D

RAJABU MHAMILA 'SUPER D
RAJABU MHAMILA 'SUPER D
RAJABU MHAMILA 'SUPER D
RAJABU MHAMILA 'SUPER D

RAJABU MHAMILA 'SUPER D
RAJABU MHAMILA 'SUPER D'  KUSHOTO AKIWA KATIKA MOJA YA MIPAMBANO YA NDONDI YA KIMATAIFA ILIYOSHILIKISHA TANZANIA VS ZIMBAMBWE
RAJABU MHAMILA 'SUPER D'  KUSHOTO AKIWA KATIKA MOJA YA MIPAMBANO YA NDONDI YA KIMATAIFA ILIYOSHILIKISHA TANZANIA VS ZIMBAMBWE
RAJABU MHAMILA 'SUPER D'  KUSHOTO AKIWA KATIKA MOJA YA MIPAMBANO YA NDONDI YA KIMATAIFA ILIYOSHILIKISHA TANZANIA VS ZIMBAMBWE
RAJABU MHAMILA 'SUPER D'  KUSHOTO AKIWA KATIKA MOJA YA MIPAMBANO YA NDONDI YA KIMATAIFA ILIYOSHILIKISHA TANZANIA VS ZIMBAMBWE



WADAU WA MCHEZOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA
WADAU WA MCHEZOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA









Saturday, May 21, 2016

BONDIA VICENT MBILINYI AENDELEA NA MAZOEZI KUPANDA URINGONI JUNE 4 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimnowa bondia Vicent Mbilinyi akimwelekeza jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'Upucat'   Mbilinyi ambaye atapanda uringoni katika mpambano wake mwingine utakaofanyika juni 4 katika uanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimnowa bondia Vicent Mbilinyi ambaye atapambana katika mpambano wake mwingine utakaofanyika juni 4 katika uanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yanayoendelea katika uwanja wa basket Uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yanayoendelea katika uwanja wa basket Uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Maokola wakati wa mazoezi yanayoendelea katika viwanja vya hule ya Uhuru Dar es salaam Mbilinyi anajiandaa na mpambano wake mwingine utakaofanyika juni 4 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yako yanayoendelea katika shule ya msingu Uhuru Wasichana Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

WADAU WA NGUMI WAKUTANA KUJADILI MWENENDO WA NGUMI NCHINI

 Mdau  wa mchezo wa ngumi nchini Chaurembo Palasa akifafanua jambo wakati wa mkutano wa wadau wa mchezo wa masumbwi nchini   kushoto ni Chuku Dusso Ally Bakari na Yassin Abdallah Picha na SUPER BOXING NEWS           
 BAADHI YA WADAU WALIOJITOKEZA KATIKA MKUTANDO WA KUNUSURU MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA MWENENDO WAKE MZIMA KUTOKA KULIA WALIO SIMAMA NI sHOMARI kIMBAU,SHABANI KAONEKA,CHUKU DUSO Mkali Kaizum CHAUREMBO PALAS NA WALIOKAA KUTOKA KUSHOTO NI FIDEL HYNES  ALLY BAKARI NA RATIBU WA MKUTANO UHO SADICK KINYOGOLI
Mdau wa mchezo wa masumbwi nchini Yasin Abdallah katikati akiongea katika mkutano wa wadau wa mchezo wa masumbwi nchini kushoto ni Chuku Duso na kulia ni Chaulembo Palasa Picha na SUPER BOXING NEWS





WAJUMBE WA MKUTANO SHOMARI KIMBAU KUSHOTO NA KULWAMAKALANGA WAJKISIKILIZA MADAS MBALIMBALI

Monday, May 16, 2016

MABONDIA WA TANZANIA WALIVYOWAADHIBU WAGENI JANA TAIFA




Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho (kushoto) akimchapa konde bondia wa Uganda, Ben Sajjabi katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa Super Bantam usiku wa jana Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam. Miyeyusho 'Chichi Mawe' alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya raundi ya pili
Ben Sajjabi akiwa amelala chini baada ya kuchapwa ngumi ya uzito wa juu na Chichi Mawe
Bondia Thomas Mashali (kulia) wa Tanzania akimchapa konde Sajad Mehrabi wa Iran katika pambano la uzito wa Super Middle usiku wa jana kuwania ubingwa wa dunia wa UBU. Mashali alishinda kwa pointi
Mashali na Mehrabi wakionyesha ujuzi wa mchezo wa ngumi usiku wa jana Uwanja wa Taifa
Mashali na Mehrabi walipigaa kwa taundi 12 katika pambano kali na la kusisimua
Bondia Allan Kamote wa Tanzania (kushoto) akiwa amemchapa konde Salim Chazama wa Malawi katika pambano la uzito wa Light jana. Mabondia hao walitoka sare
Bondia Ramadhani wa Tanzania (kulia) akimchapa konde Osgood Kayuni wa Malawi (kushoto) katika pambano la uzito wa Welter. Shauri alishinda kwa pointi
Bondia Saleh Mkalekwa wa Tanzania (kushoto) akikwepa ngumi ya Mkenya, James Onyango (kulia) katika pambano la uzito wa Welter jana kuwania ubingwa wa UBO. Mkalekwa alishinda kwa pointi
Bondia Shaaban Kaoneka (kulia) akiwa amemchapa konde Mtanzania mwenzake, Hassan Mwakinyo (kushoto) katia pambano la Super Welter kuwania ubingwa wa PST. Kaoneka alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya tano
Bondia Nassib Ramadhani wa Tanzania (kulia), akimuadhibu Remmy Iga wa Uganda usiku wa jana Uwanja wa Taifa katika pambano la uzito wa Super Bantam