Tangazo

Pages

Thursday, June 20, 2019

SUPER D KUWAPAMBANISHA ABDUL ZUGO NA RAMADHANI MBEGU SIKU YA SABASABA DAY CHANIKA

Na Mwandishi Wetu
Baada ya tamba mbalimbali za hapa na pale sasa mabondia Abdul Zugo na Ramadhani Mbegu' Migwede' watazipiga julai 7 katika ukumbi wa Manka Pub Chanika Magenge mpambano wa raundi 8

Mpambano uho ulio andaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kupitia kampuni ya Super D boxing Promotion amesema kuwa pambano hili ndio litakalo amua nani zaidi bada ya mabondia hawo kuwa na viwango sawa kwa sawa ambapo mabondia hwao wmecheza mapambano yao 12 kila mmoja na kushinda 10 kila mmoja na ku droo 2 kila mmoja katika mapambano yao

mpambano huo utakuwa wa kukata na shoka kwa kuwa kila mmoja anataka kuendeleza wimbi la ushindi

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ambapo Hamidu Kwata atazipiga na Luckman Ramadhani na Salum Mandai 'Pacho' atazidunda na Waziri Rosta wakati Juma Zingiziwa ataoneshana umwamba na Alex Kachelewa juma Malenda atavaana na Ibrahimu Makubi na Hussein Shemdoe atazipiga na Juma Kadoda wakati Said Mbelwa atazidunda na Shabni Kaoneka na mapambano mengine mbalimbali ya vijana chipkizi

Super D aliendelea kwa kuseka kuwa siku hiyo ngumi zitaanza mapema sana kutokana na kuwa na mapambano mengi na makali hivyo kuwataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuwai kufika ukumbini ili ngumi zianze kwa wakati

usalamab wa mali zao ni wakutosha kabisa kwani mashabiki wanatakiwa waje na familia zao wapate burudani ya mchezo wa masumbwi

No comments:

Post a Comment