Tangazo

Pages

Wednesday, December 19, 2018

BONDIA AZIZI ULIZA AJIFUA KUMKABILI RAMADHANI SHAURI DESEMBA 31 KINESI SHEKILANGO

Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'
Bondia Azizi Uliza akifanya mazoezi ya kuimalisha misuli ya tumbo kwa ajili ya kujiandaa na mpmbano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza akijifua kwa kupiga spidboll wakati wa mazoezo yake ya kujiandaa na mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'


Na Mwandishi Wetu


BONDIA AZIZI ULIZA amendelea kujifua kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango nyuma ya urafiki

akizungumza na mwandishi wa habari hizi uliza amesema kuwa Shauri asumbui ata siku moja kwani yeye ni mkongwa na mimi ndio nachpkia hivyo sio kazi rahisi kushindana na mimi ingawa anatamba katika vyombo vya habari ikiwa kapigwa K,O mbaya na Idd Mkwera raundi ya 9 kwangu mimi asitegemee kuwa upenyo nitamwadabisha vya kutosha kwani nimejiandaa kwa ajili ya kupigana

hivyo nawaomba wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi mje muone Uliza namfanya nini Shauri nitampiga kipigo ambacho akijawai kumtokea tangu aanze ngumi

alimaliza kwa kusema Azizi Uliza

nae Promota wa mpambano uho Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports  amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni




siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine



No comments:

Post a Comment