Tangazo

Pages

Friday, February 19, 2016

KOCHA SUPER D AWAKILISHA MICHANGO YA WADAU WA MASUMBWI KWA FAMILIYA YA MAREHEMU MOHAMED CHIBUMBUI

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimkabidhi mama mzazi wa marehemu Mohamed Chibumbui  Hadija Likamba ubani uliotolewa na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini kutoka Tanzania Boxing Fans pamoja na chama cha ngumi za ridhaa BFT katikati ni Baba mzazi Said Chibumbui Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment