Tangazo

Pages

Sunday, November 30, 2014

TOTO LA CHRIS EUBANK LACHAPWA NA MZUNGU


Saunders (right) uses his quick feet to escape from Eubank Junior's left hook in front of a capacity crowd at the ExCeL centre
Bondia Billy Joe Saunders (kulia) akipambana na Chris Eubank Junior kushoto usiku wa jana ukumbi wa ExCeL mjini London, katika pambano la uzito wa Middler. Saunders alishinda kwa pointi na kutetea mataji yake ya Uingereza, Jumuiya ya Madola na Ulaya- na sasa amepewa nafasi ya kuwania ubingwa wa dunia wa WBO mwakani.
Chris Eubank (centre) congratulates Saunders on his victory against his son by shaking his hand after the final bell
Chris Eubank (katikati) akimpongeza Saunders kwa ushindi dhidi ya mwanawe jana

No comments:

Post a Comment