Tangazo

Pages

Saturday, July 12, 2014

CANELO ALVEREZ AMPIGA KWA POINT ERISLANDY LARA

Bondia Canelo Alvarez akinyoshwa mkono juu na refarii, baada ya kumpiga, Erislandy Lara  kwa point baada ya raund  12- kumalizika 

Bondia Canelo Alvarez, kushoto , akipambana na Erislandy Lara wakati wa mpambano wao uliofanyika alfajiri ya leo wa uzito wa super welterweight mpambano uliofanyika katika ukumbi wa MGM Grand.(Photo: Stephen R. Sylvanie, USA TODAY Sports)

No comments:

Post a Comment