Tangazo

Pages

Sunday, May 25, 2014

BINGWA WA KUTUNISHA MISULI HAPATIKANA

Baadhi ya watunisha misuli wakionesha misuli yao wakati wa mashindano hayo
Katibu mkuu wa wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo, Sihaba Nkinga (kushoto) akimkabidhi Muhammad Nauman cheti cha ubingwa wa michuano ya kutunisha misuli (katikati) Mwenyekiti wa Mashindano hayo Muhammad Ally,yaliofanyika juzi katika Ukumbi wa AT. Pj uliopo kinondoni jijini Dar es Salaam juzi. Picha na John Dande

No comments:

Post a Comment