Tangazo

Pages

Tuesday, April 29, 2014

MIKANDA YA DUNIA NA KIMATAIFA YA NGUMI YAWASILI NCHINI

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiwa ameshikilia mikanda ya ubingwa wa dunia kushoto na ubingwa wa kimataifa kulia utakaogombaniwa na bondia Thomas Mashali na Kalama Nyilawila na mwingine atagombania bondia Alan Kamote wa Tanga na bondia kutoka nje
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiwa ameshikilia mikanda ya ubingwa wa dunia kushoto na ubingwa wa kimataifa kulia utakaogombaniwa na bondia Thomas Mashali na Kalama Nyilawila na mwingine atagombania bondia Alan Kamote wa Tanga na bondia kutoka nje

Bondia Obota Ameme akiwa ameshikilia mikanda ya ubingwa wa dunia kushoto na ubingwa wa kimataifa kulia utakaogombaniwa na bondia Thomas Mashali na Kalama Nyilawila na mwingine atagombania bondia Alan Kamote wa Tanga na bondia kutoka nje
Bondia Obota Ameme akiwa ameshikilia mikanda ya ubingwa wa dunia kushoto na ubingwa wa kimataifa kulia utakaogombaniwa na bondia Thomas Mashali na Kalama Nyilawila na mwingine atagombania bondia Alan Kamote wa Tanga na bondia kutoka nje

No comments:

Post a Comment