Tangazo

Pages

Wednesday, July 31, 2013

MABONDIA WA BIGRIGHT BOXING GYM WAJIFUA KUWAKABILI WAPINZANI


Mabondia wa bigright boxing ya mwananyamala wapo kambini wakiendelea kujifua kwa ajili ya kuwakabili wapinzani  wao ambao watazichapa nao katika wakati tofauti na maeneo mbalimbali hapa nchini na nje ya nchi.
Mabondia hao ni  issa omar anaetarajiwa kuzipiga katika ukumbi wa Government complex nchini zambia na Pethias Chisonga wa Zambia chini ya uratibu wa Exodus Stable ya nchini humo. Hapa dare s salaam friends corner hotel Mustafa doto atazipiga na rajab mjeshi, martin Richard na mbena Rajab wao watakuwa mkoani Tanga huku zumba kukwe akizipiga kibaha na mabondia waliobaki watamsidikiza Daudi Anthony’odinga’ kuzipiga tom-po  katika ukumbi wa eagles  pub Bagamoyo. Katika mapambano ya bagamoyo yameratibiwa na Tan academy chini ya kiongozi wake Japhet kaseba yatakuwa  na ushindani mkali sana kwa wanafunzi watano wa kaseba watakapozipiga na wanafunzi wa bigright nje ya mkoa wao

No comments:

Post a Comment