Tangazo

Pages

Saturday, January 21, 2012

KOZI YA MCHEZO WA NGUMI KWA MAKOCHA YAENDELEA KIVITENDO KIBAHA PWANI

Kocha wa Tmu ya JKT, Saidi Omari 'Gogo Poa' (kushoto) wakioneshana ufundi wa kutupa makonde na Kocha wa Timu ya Ashanti pamoja na Timu ya
Mkoa wa Kimichezo Ilala. Rajabu Mhamila'Super D' wakati wa mazoezi ya vitendo yanayoendelea Kibaha Mkoa wa Pwani leo kwenye kozi ya kimataifa ya mchezo wa ngumi.(Picha na
http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/)


kocha wa Mkoa wa Pwani, Gaudence Uyaga wakati wa mazoezi kwa vitendo kwa makocha hawo ambao wapo katika kozi ya kimataifa ya mchezo wa
masumbwi Duniani.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)






kocha wa Mkoa wa Pwani, Gaudence Uyaga wakati wa mazoezi kwa vitendo kwa makocha hawo ambao wapo katika kozi ya kimataifa ya mchezo wa
masumbwi Duniani.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)






Kocha wa Tmu ya JKT, Saidi Omari 'Gogo Poa' (kushoto) wakioneshana ufundi wa kutupa makonde na Kocha wa Timu ya Ashanti pamoja na Timu yaMkoa wa Kimichezo Ilala. Rajabu Mhamila'Super D' wakati wa mazoezi ya vitendo yanayoendelea Kibaha Mkoa wa Pwani leo kwenye kozi ya kimataifa ya
mchezo wa ngumi.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)




Mkufazi wa kimataifa wa makocha kutoka chama cha ngumi za ridhaa Duniani (AIBA) Josephe Diof (kushoto) akimpatia maelekezoKocha mchezo wa ngumi wa Timu ya Ashanti pamoja na Timu ya Mkoa wa Kimichezo Ilala. Rajabu Mhamila'Super D' wakati wa mazoezi kwa vitendo
katika kozi ya kimataifa ya mchezo wa ngumi duniani(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)




SUPER D BOXING COACH AKIWA MAPUMZIKO





MAPUMZIKO





MAPUMZIKO YA MDA



Baadhi ya makocha wakiwa na mkufuzi wao wa kimataifa Joseph Diof katikati kushoto na Lema ,Super D boxing Coach na Mohamedi wa timu ya polisi


Super D Boxing coach akiwa na Josephe Diof wakati wa Kozi ya Kimataifa ya Mchezo wa Ngumi





Super D bOXING cOACH NA jOSEPHE dIOF



lEMA kUSHOTO NA MOHAMED




kATIBU WA TOC AKIWA NA BAADHI YA MAKOCHA





MAKOCHA WA MIKOA MBALIMBALI YA TANZANIA BARA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




MAKOWA MASUMBWI WAKIWA KATIKA KOZI YA KIMATAIFA

No comments:

Post a Comment